Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,031
- 4,862
Tuna changamoto hasa.Kwa ardhi tuliyonayo sekta ya kilimo ingetogen ajira nyingi sana. Chakula ni biashara yenye faida zikuzote kwani kila siku inahitajika. Bakhresa ame tajiri la kwa biashara ya chakula.
Vyama vya ushirika vikiwa na mitano mikubwa vinaweza kuajiri vijana wa purchasing and marketing ambao wanaweza kwenda nje ya nchi kutafuta masoko.
Wakulima waelimishwe kuwa lengo liwe ni kuzalisha grade 1 na kwa grade hii bei ni 1$ kwa kilo. Itasaidia kuongeza jitihada. Ni kama mtihani kila mtu anasoma apate A ikitokea umepata C unashukuru bora umefaulu.
Kwa hiyo vipi, ulipata koneksheni za kupeleka mazao Morocco?