Mawifi jamani, hivi wana nini?

heeh mama mkwe plus wifi wote kimeo

harafu hivi nini kinawshinda kukaa makwao jamani mpaka wakaharibu ndoa za wenzao gosh..................................................??


madai kwa kaka yao na huyo mwingine kwa mwanangu,...mama mkwe nae cku hiyo nikamtolea uvivu, mama kanical ana shida nimfate home kwake, nilikuwa nimemnunulia vitu baadhi vya home kwake, mama mkwe kaona nimevipaki na kumuaga naenda kumwona mama mara moja, mwanae karudi anamwambia mwali ameniacha naumwa kaenda kumwona mamake, wakati mie nimefika home namwuliza mama salama najibiwa salama na nimeshinda salama hayo ya kuumwa yamezuka alivyoniona naenda kwa mamangu, akidhani ni pesa za mwanaenilizotumia kumnunulia mamangu bidhaa, anarudi mr anataka kugomba fulani nikamwambia aaahhh maneno ya chini chini ctaki, nikamfata mamake kumuuliza, nikamwambia mbona nilivyokuja hukunimbia kama unaumwa lakini unamwambia mwanao anieleweje? akaanza oohhh ahaa, nikamwambia yule ni mamangu alienileta kwenye hii dunia mpaka nikakutana na mwanao, lazima nimckilize kwa lolote analotaka kuongea na mie mwanae, sio kuolewa bac na mamangu nimsahau, nikwambia mama wewe nakuona kama mamangu mzazi kabisa lakini hunitendei haki wewe ukiwa na shida zako utakuja kumwambia mwanao hapa na mie nakupokea vizuri, mamangu hapendi kuja kuja hapa kwangu coz hapamuhusu kivile, anajua nimeolewa na nipo kwa mume sasa wewe kuja huku na kuniharibia ndoa kwa maneno yacyo ya kweli haipenndezi...jamani niliongea mpaka bac, mpaka leo mama mkwe/wifi tupo pa1....leo nimeandika sana mana hawa mawatu waninisumbua sana uwiiiii.
 
Habari zenu wanaJF,
Hivi mawifi wana nini lakini? Natarajia kujitosa kwenye ndoa, lakini wifi ananiletea vituko mapema kabla ya kufika huko. Mama mkwe wangu ananipenda lakini wifi yangu maneno maneno. Ana kazi na familia yake lakini bado tuu ananisema, eti anataka nimpigie magoti ninapomsalimia, anawaambia watu kaka yake anaoa binti wa mjini hawana heshima.
Hivi unapomsalimia mtu ukimpigia goti ndio heshima?Wadada mliolewa hebu nipeni mbinu za kumdhibiti huyu wifi.

Pretty, Pole sana rafiki. lakini ngoja nikupe uzoefu; Mawifi hawaendewi na mbinu. Wewe nenda kama unavyoenda, I mean kama kawaida ya maisha yako. na usithubutu kuwanyenyekea kipindi hiki kabla hujaolewa maana itakuwa tabu ukishaingia ndani.
huyo wifi kama ni mkubwa kwako muheshimu tu, na kama kabila lao heshima ni kupiga goti wakati wa kusalimu, basi piga, kwa sababu hupungukiwi na lolote ukipiga goti, na hasa kama unapiga kwa heshima na sio kama adhabu.
Mimi, kwa mfano, huwa naamkiwa na wifi yangu kanizidi miaka 3, ila anasema kwa sababu anamwamkia kaka yake kwa hiyo na mimi ni lazima aniamkie, mwanzoni nilikuwa nashangaa lakini sasa nimeshazoea
Kwa hiyo rafiki, wewe fwata mila za huko unakotarajia kuolewa sababu ndo unajiunga kwenye hizo mila, na ukizifwata kwa mapenzi hutaona kama unanyanyaswa.
Nakutakia kila la heri na welcome to the club
 
madai kwa kaka yao na huyo mwingine kwa mwanangu,...mama mkwe nae cku hiyo nikamtolea uvivu, mama kanical ana shida nimfate home kwake, nilikuwa nimemnunulia vitu baadhi vya home kwake, mama mkwe kaona nimevipaki na kumuaga naenda kumwona mama mara moja, mwanae karudi anamwambia mwali ameniacha naumwa kaenda kumwona mamake, wakati mie nimefika home namwuliza mama salama najibiwa salama na nimeshinda salama hayo ya kuumwa yamezuka alivyoniona naenda kwa mamangu, akidhani ni pesa za mwanaenilizotumia kumnunulia mamangu bidhaa, anarudi mr anataka kugomba fulani nikamwambia aaahhh maneno ya chini chini ctaki, nikamfata mamake kumuuliza, nikamwambia mbona nilivyokuja hukunimbia kama unaumwa lakini unamwambia mwanao anieleweje? akaanza oohhh ahaa, nikamwambia yule ni mamangu alienileta kwenye hii dunia mpaka nikakutana na mwanao, lazima nimckilize kwa lolote analotaka kuongea na mie mwanae, sio kuolewa bac na mamangu nimsahau, nikwambia mama wewe nakuona kama mamangu mzazi kabisa lakini hunitendei haki wewe ukiwa na shida zako utakuja kumwambia mwanao hapa na mie nakupokea vizuri, mamangu hapendi kuja kuja hapa kwangu coz hapamuhusu kivile, anajua nimeolewa na nipo kwa mume sasa wewe kuja huku na kuniharibia ndoa kwa maneno yacyo ya kweli haipenndezi...jamani niliongea mpaka bac, mpaka leo mama mkwe/wifi tupo pa1....leo nimeandika sana mana hawa mawatu waninisumbua sana uwiiiii.

eeeh nyamayao yaani wanakuchongea harafu bado wanaendelea kukaa na wewe ..baba mkwe anakaa na nani kama mkewe miaka yote yuko kwako
wifi nae mmewe anakaa na nani ???kwanini basi wasikae kwa amani kama bado wanataka kuendelea kukaa na wewe ?
haya maisha yetu ya kiafrica jamani
 
Hapo nakupa high five tatu jamani..mawifi wanaweza kukutia vidole machoni...bora ni kumpa masharti kitambo wajue kuwa kuna limits. sijui huwa wanataka waolewe wao ama!


niliongea cku hiyo Shishi, nilihakikisha natoa kila kilicho rohoni mwangu niache roho ipumue sasa, na ilimwingia akilini haswa,mie kwake naendaga kana kuna shida/raha sio vinginevyo, huwezi kuta natoka kwangu eti naenda kwake kumsalimia cjui kupiga zogo akuu, lakini yeye kutwa kwangu, mbona kuaniza nimpe zake amekoma anakuja kwa mcmamo fulani, yaani hawa watu hawatabiriki kabisa hawana jema, kwa sasa nipo huku nai, huyo mama kila kitu ananiambia mie ndio nimwambie mwanae then atumiwe pesa wakati tukiwa home anajijia tu na kila kitu anamwambia mwanae mwenyewe, najiuliza mbona kwasasa pia asiendelee kumwambia mwanae matatizo yake kwenye cm kama alivyokuwa anakuja home bila kuniambia lolote, ni shida kumweleza mwanae shida zake kwenye cm au? hawana jema hawa.
 
eeeh nyamayao yaani wanakuchongea harafu bado wanaendelea kukaa na wewe ..baba mkwe anakaa na nani kama mkewe miaka yote yuko kwako
wifi nae mmewe anakaa na nani ???kwanini basi wasikae kwa amani kama bado wanataka kuendelea kukaa na wewe ?
haya maisha yetu ya kiafrica jamani


huyo mama mkwe ndio anafungaga masafari kutoka shinyanga, akija ujue sio wa kuondoka leo huyo, wifi tupo nae mji mmoja lakini akitibuliwa na mumewe kakimbilia kwa kakake, cku hiyo nilimuuliza mbona mie nikitibuana na mr nakaa kwangu nayamaliza kivyangu kwanini wewe ukuitibiliwa kidogo tu ndio safari kwa kakako na bado utake kumkalia mke wake kichwani? haiwezekani....sasa hivi cjui anakimbilia kwa nani.
 
wanatamani ingekuwa ndoa ya kiislamu wangemtafutia mke wa pili....alivyoshtuka na kuniona nyuma alitamani kuzimia

Hahahaha Nyamayao ulipatikana ndo maana siku hizi umekuwa kaksi
 
Jamani kwani kupiga goti kuna tatizo gani? Kama huu ndio utaratibu wa familia yetu na huyo msukuma alishamueleza Pretty basi apige makogi.....
Kama hakumueleza na yeye Pretty anaona tabu kupiga magoti basi si amwambie huyo msukuma wake kuwa bwana mimi hii siwezi...ukitaka kufurahia ndoa, muwe wawazi hata kitu kidogo sana......
 
madai kwa kaka yao na huyo mwingine kwa mwanangu,...mama mkwe nae cku hiyo nikamtolea uvivu, mama kanical ana shida nimfate home kwake, nilikuwa nimemnunulia vitu baadhi vya home kwake, mama mkwe kaona nimevipaki na kumuaga naenda kumwona mama mara moja, mwanae karudi anamwambia mwali ameniacha naumwa kaenda kumwona mamake, wakati mie nimefika home namwuliza mama salama najibiwa salama na nimeshinda salama hayo ya kuumwa yamezuka alivyoniona naenda kwa mamangu, akidhani ni pesa za mwanaenilizotumia kumnunulia mamangu bidhaa, anarudi mr anataka kugomba fulani nikamwambia aaahhh maneno ya chini chini ctaki, nikamfata mamake kumuuliza, nikamwambia mbona nilivyokuja hukunimbia kama unaumwa lakini unamwambia mwanao anieleweje? akaanza oohhh ahaa, nikamwambia yule ni mamangu alienileta kwenye hii dunia mpaka nikakutana na mwanao, lazima nimckilize kwa lolote analotaka kuongea na mie mwanae, sio kuolewa bac na mamangu nimsahau, nikwambia mama wewe nakuona kama mamangu mzazi kabisa lakini hunitendei haki wewe ukiwa na shida zako utakuja kumwambia mwanao hapa na mie nakupokea vizuri, mamangu hapendi kuja kuja hapa kwangu coz hapamuhusu kivile, anajua nimeolewa na nipo kwa mume sasa wewe kuja huku na kuniharibia ndoa kwa maneno yacyo ya kweli haipenndezi...jamani niliongea mpaka bac, mpaka leo mama mkwe/wifi tupo pa1....leo nimeandika sana mana hawa mawatu waninisumbua sana uwiiiii.

Nyamayao kama wanawake wote wangekuwa na ujasiri huu matatizo ya mawifi na wakwe yangepungua sana, tatizo wengine hawapendi halafu eti hawasemi wanayaweka tu moyoni huku ndoa zao zinaingia migogoro...
 
jamani wadada na JF tukubali kuwa sometimes sisi waolewaji ndo huwa tunakuwa na matatizo, mambo ya kwenda umejiandaa kuidhibiti familia ya mume. unajua sio familia zote ambazo ni ngumu kuishi nazo ila kwa vile tunatoka kwetu tukiwa tumejiandaa jinzi ya kuwadibiti mama mkwe na mawifi ndo inakuwa balaa. wakati mwingine wifi au mama mkwe anaweza akakosea kitu kidogo, kibinadamu, ambapo hata mama au mdogo wako anaweza akafanya kitu kama hicho lakini sababu kafanya wifi/mama mkwe inakuwa balaa.
tujitahidi na sisi kuchukulia familia za waume zetu kama familia zetu, labda haya mzogo yatapungua
 
jamani wadada na JF tukubali kuwa sometimes sisi waolewaji ndo huwa tunakuwa na matatizo,

Dah karibu dada kumbe na wewe ni muolewaji mm nilijua muoaji.
Dah nina mtihani mkubwa wa kuchagua kifaa mwaka 2012 sijui nigaili jamani naomba msaada Nyamayao
 
mie nikishindwa kitu ambacho naona ni haki yangu ujue cku zangu za kufa zimewadiaa.....wao ndio walinikoma mie japo walijaribu kunitingisha.

Lol! Jifagilie mamii. Hivi MJ1 yupo? Hapa lazima tungetungiwa na kashairi. Si unakumbuka limjamaa lake lilikuwa linampeleka spidi? Sijui kama lilikuwa mawifi zake walikuwa upande upi.
 
jamani wadada na JF tukubali kuwa sometimes sisi waolewaji ndo huwa tunakuwa na matatizo, mambo ya kwenda umejiandaa kuidhibiti familia ya mume. unajua sio familia zote ambazo ni ngumu kuishi nazo ila kwa vile tunatoka kwetu tukiwa tumejiandaa jinzi ya kuwadibiti mama mkwe na mawifi ndo inakuwa balaa. wakati mwingine wifi au mama mkwe anaweza akakosea kitu kidogo, kibinadamu, ambapo hata mama au mdogo wako anaweza akafanya kitu kama hicho lakini sababu kafanya wifi/mama mkwe inakuwa balaa.
tujitahidi na sisi kuchukulia familia za waume zetu kama familia zetu, labda haya mzogo yatapungua


unajiandaaje sasa? kama mie mama mkwe/wifi nilikuwa naelewa nao mwanzoni, baadae wakanibadilikia, kwanini na mie nicbadilike?...halafu hawa watu hawafanyagi ishu za kikawada ambazo hata mamangu anaweza kufanya, mamangu hawezi kufanya kitu cha kuniumiza roho hata kidogo lakini hawa watu malengo yao yote ni kuumiza tu...
 
Si kweli kuwa ndoa ni wewe na mumeo...... Usije ukaolewa na huyo na mume kwa notion ya kuwa this is my husband, na wala wasinisumbuwe. kumbuka Umezungukwa na familia, ili uwe na ndoa nzuri basi muishi vizuri na ndugu wa pande zote.......

Ndugu wasiingilie baadhi ya maamuzi ktk ndoa yako, na si kuwa ignore wote.....si vyema

Huu umjini hatuupingi lakini kumbuka utofauti wa mawazo, makuzi, elimu n.k vilivyopo baina yako na ndugu zako.

Muheshimu mumeo mtarajiwa lakini pia usisahau kuwa hajajikuza, hajajilea, hana ndugu...waheshimu pia...usiwe kila siku mbishi, linalowezekana ambalo kwako huwezi (may be b/se your mtoto wa mujini) jitaidi kulifanya.
 
Dah karibu dada kumbe na wewe ni muolewaji mm nilijua muoaji.
Dah nina mtihani mkubwa wa kuchagua kifaa mwaka 2012 sijui nigaili jamani naomba msaada Nyamayao

Afu mpwa muolewaji mwenyewe anaitwa Fixed Point!!!!!! Stuka! Isije ikawa muolewaji kama yule wa Kenya.
 
Dah karibu dada kumbe na wewe ni muolewaji mm nilijua muoaji.
Dah nina mtihani mkubwa wa kuchagua kifaa mwaka 2012 sijui nigaili jamani naomba msaada Nyamayao


Asante kaka Fidel80
vifaa vipo vya kumwaga mbona, wewe kazani kutoa hiyo mimacho barabarani, utabambana tu na chaguo lako. huhitaji msaada wa nyamayao
 
Jamani maswala ya ndoa yanachanganya sana navyo wasoma hapa kama vile nisioe vile niwe namega tu maana yanachanganya haswa mala hiki mala unapendelea kule kha!
 
Hahahaha Nyamayao ulipatikana ndo maana siku hizi umekuwa kaksi


huyo kakae kwani anaweza kuishi bila mie sasa, haaa siishi kwa wacwac eti Fidel, c ngeyatekeleza hayo?,...ndio kwanza mwenzao tukiingia kwa room nabembelezwa na kuambiwa nicwe najipa pressure na hayo mambo......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom