Mawifi jamani, hivi wana nini?

Mawifi jamani, hivi wana nini?

hivi ni mimi tu imekua tabia mtu anatoa mada baada ya kuchangia watu wanaanza kupiga stori hata kusoma mtu unakosa hamu
 
hivi ni mimi tu imekua tabia mtu anatoa mada baada ya kuchangia watu wanaanza kupiga stori hata kusoma mtu unakosa hamu


wewe umechangia kipi cha maana humu cha kutufanya na sie tupate hamu ya kusoma?
 
Aisee Pretty pole sana.
Wifi yako seems to be one of those ppl wasiokuwa na satistying lives of their own. Ushauri wangu kwako; mpigie hilo goti whenever you see her (kama hamuonani often) au you will never hear the end of it. Ukiona yanakushinda, njoo kwetu Kili, ;p
 
Aisee Pretty pole sana.
Wifi yako seems to be one of those ppl wasiokuwa na satistying lives of their own. Ushauri wangu kwako; mpigie hilo goti whenever you see her (kama hamuonani often) au you will never hear the end of it. Ukiona yanakushinda, njoo kwetu Kili, ;p


Karibu JF!😛
 
Habari zenu wanaJF,
Hivi mawifi wana nini lakini? Natarajia kujitosa kwenye ndoa, lakini wifi ananiletea vituko mapema kabla ya kufika huko. Mama mkwe wangu ananipenda lakini wifi yangu maneno maneno. Ana kazi na familia yake lakini bado tuu ananisema, eti anataka nimpigie magoti ninapomsalimia, anawaambia watu kaka yake anaoa binti wa mjini hawana heshima.
Hivi unapomsalimia mtu ukimpigia goti ndio heshima?Wadada mliolewa hebu nipeni mbinu za kumdhibiti huyu wifi.

mawifi ni karaha sana miye mwenyewe nilishawahi kumletea kasheshe wifi yangu at the time anatoka tuu na bro nilikuwa namletea noma kila wakati nikimuona basi tuu nilikuwa sina lolote...ila nilidhani ulikuwa utoto sas ahivi we are cool people...i like her....so wee vumilia tuu and keep ignoring her as logn as mama mkwe anakupenda that all matters mawifi ni nomaaa asikwambia mtu......been there done that!.....
 
Nakuunga mkono my dear. U knw thiz sistaz in law wanajidai sana kama wanaeza olewa na kaka zao. Usimuinamie kwani yeye Mungu. Bora mamamkwe anakupenda n ua man loves u dont mind her. Mayb ameshindwa na ndoa yake anakuonea wivu. My dear dont giv a damn 2 anything from her akimwaga ugali we mwaga mboga.
 
Doh! Kimuhe muhe cha mawifi hakina jibu wala kosa, mzoee japo ataleta athari nyingi tu ila hamna namna
 
Habari zenu wanaJF,
Hivi mawifi wana nini lakini? Natarajia kujitosa kwenye ndoa, lakini wifi ananiletea vituko mapema kabla ya kufika huko. Mama mkwe wangu ananipenda lakini wifi yangu maneno maneno.

Ana kazi na familia yake lakini bado tuu ananisema, eti anataka nimpigie magoti ninapomsalimia, anawaambia watu kaka yake anaoa binti wa mjini hawana heshima.
Hivi unapomsalimia mtu ukimpigia goti ndio heshima?

Wadada mliolewa hebu nipeni mbinu za kumdhibiti huyu wifi.

Hahhahahahahahahaha ..... Umenikumbusha mbali sana Pretty
 
Karibu kwetu huku goti ni lazima kwa mtu anayekuzidi umri na kwakuwa ndg yangu anasukuma na ukasukumika kubali kusukumwa tuu. Makaribu nkwera
 
Nafurahia sasa hivi sina wifi eheheh navimbajee
 
Habari zenu wanaJF,
Hivi mawifi wana nini lakini? Natarajia kujitosa kwenye ndoa, lakini wifi ananiletea vituko mapema kabla ya kufika huko. Mama mkwe wangu ananipenda lakini wifi yangu maneno maneno.

Ana kazi na familia yake lakini bado tuu ananisema, eti anataka nimpigie magoti ninapomsalimia, anawaambia watu kaka yake anaoa binti wa mjini hawana heshima.
Hivi unapomsalimia mtu ukimpigia goti ndio heshima?

Wadada mliolewa hebu nipeni mbinu za kumdhibiti huyu wifi.
Huwa nashangaa sana ninaposikia wanawake wakiwalalamikia wqnawake wenzao...

Ujuwe na wewe kwa kaka yako unaitwa wifi.... na ipo siku utaitwa mama mwe ma mtoto wa mwanamke mwenzio
 
kwani ni lazima ujibu au ndo unataka tukuone unajua sana kujibu nwe hasaa ulichochangia cha umuhimu kiko wapi
Acha kukosoa wenzio, kila mtu atajibu anavyofikiri usilazimishe wajibu kama unavyotaka wewe
 
Nakushauri ufunge bawaba ili goti lilainike, kuna baadhi ya mambo tunatakiwa tukiingia kwenye familia za watu tuyapuuze na mengine tuyaendee sambamba, maana hakuna raha kama kuwa mmoja wao katika mambo yananyowezekana kufanana nao, goti kitu gani kwa mtoto wa kiAfrika? Zingatia mila na Desturi zao maana kuna watu wana mila za kuto mwangalia baba mkwe usoni sasa wewe kama umekulia mjini na hutaki kwenda sambamba nao kwa kubadirika ujue utakumbwa na mikasa isiyo ya msingi
 
Nakushauri ufunge bawaba ili goti lilainike, kuna baadhi ya mambo tunatakiwa tukiingia kwenye familia za watu tuyapuuze na mengine tuyaendee sambamba, maana hakuna raha kama kuwa mmoja wao katika mambo yananyowezekana kufanana nao, goti kitu gani kwa mtoto wa kiAfrika? Zingatia mila na Desturi zao maana kuna watu wana mila za kuto mwangalia baba mkwe usoni sasa wewe kama umekulia mjini na hutaki kwenda sambamba nao kwa kubadirika ujue utakumbwa na mikasa isiyo ya msingi
Naunga mkono hoja yako mwalimu kwa 100 %!!

Eti badala ya kutatua huo mgogoro kwa kufanana na mila za ukoo wa mumewe (wasukuma mwanamke akisalimia lazma apige goti, ndo utamaduni wao huo, kwao ndo heshima hiyo) yeye anatafuta mbinu za kumdhibiti huyo wifi!!

Sasa sijui alitaka tumpe mbinu gani huyu bibie!!
 
Habari zenu wanaJF,
Hivi mawifi wana nini lakini? Natarajia kujitosa kwenye ndoa, lakini wifi ananiletea vituko mapema kabla ya kufika huko. Mama mkwe wangu ananipenda lakini wifi yangu maneno maneno.

Ana kazi na familia yake lakini bado tuu ananisema, eti anataka nimpigie magoti ninapomsalimia, anawaambia watu kaka yake anaoa binti wa mjini hawana heshima.
Hivi unapomsalimia mtu ukimpigia goti ndio heshima?

Wadada mliolewa hebu nipeni mbinu za kumdhibiti huyu wifi.
Tupe mrejesho bibie,

Je ulifanikiwa kupata mbinu za kumdhibiti huyo wifi yako??

Ni mwaka wa saba sasa tangu ulete huu uzi, Bila Shaka umeshapata mbinu za kumdhibiti wifi na maisha yako ya ndoa yameimarika!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom