Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
hahahaha pitia kwenye kijiwe changu magomeni
Hahahaha! Makande unajua kuyatia nazi vizuri?
hahahaha pitia kwenye kijiwe changu magomeni
mie sijambo kipenzi, umeniota lakini leo?Carmel darling, habari ya asubuhi? Nimekumisi vibaya mno.
yaani hiyo haiwahusu unaweza kuta kaka yao ana enjoy huo ukimeo wangu je? si waangalie ndoa zao, mie kwa kweli mambo ya makaka zangu na wake zao hayanihusu kabisa na sipendi kutia neno no matter what, mwisho wa siku wale ni wapenzi watakavyokua kitandani wanabembelezana hata uwe mama mzazi hutathaminiwa, thats the truth.Hata kama wewe wifi yao kimeo wabaki kimyaa unamwangamiza kaka yao vp bana? Damu nzito kuliko maji ukiwa kimeo utanyooshewa kidole na mawifi mpaka utakapo jirekebisha ebo.
yaani hiyo haiwahusu unaweza kuta kaka yao ana enjoy huo ukimeo wangu je? si waangalie ndoa zao, mie kwa kweli mambo ya makaka zangu na wake zao hayanihusu kabisa na sipendi kutia neno no matter what, mwisho wa siku wale ni wapenzi watakavyokua kitandani wanabembelezana hata uwe mama mzazi hutathaminiwa, thats the truth.
yaani hiyo haiwahusu unaweza kuta kaka yao ana enjoy huo ukimeo wangu je? si waangalie ndoa zao, mie kwa kweli mambo ya makaka zangu na wake zao hayanihusu kabisa na sipendi kutia neno no matter what, mwisho wa siku wale ni wapenzi watakavyokua kitandani wanabembelezana hata uwe mama mzazi hutathaminiwa, thats the truth.
Wewe si unasema hivyo kutokana na ukimeo wako na umedata sana wewe. Huthamini na hujali ndugu zako wewe wifi akiwa anamchuna kaka ako lazima ukomae sio eti kaolewa tu jamaa nyumba anaenda kujenga ukweni wapi na wapi bana.
wewe mbona una mawazo ya mlengo wa nyuma ..kama anamchuna si vya kwake kwani vya kwao
mie sijambo kipenzi, umeniota lakini leo?
haha haa, eti nimedata poa tu, ndo vizuri si unajua maisha yenyewe haya usipodata unaweza kuchomwa vidole machoni?Wewe si unasema hivyo kutokana na ukimeo wako na umedata sana wewe. Huthamini na hujali ndugu zako wewe wifi akiwa anamchuna kaka ako lazima ukomae sio eti kaolewa tu jamaa nyumba anaenda kujenga ukweni wapi na wapi bana.
hkwi kwi, hapa break, walitakaga kuanza wakakuta no entry. sas hivi heshima mbele yani tunapeana nafasi.Nisipokuota wewe ntamuota nani tena? Usisahau bado niko kwenye maombi. Vipi mawifi zako hawakuletei za kuleta?
hkwi kwi, hapa break, walitakaga kuanza wakakuta no entry. sas hivi heshima mbele yani tunapeana nafasi.
aah wapi, mimi ndo mwenye mumeb bwana., tangu pale kanisani niliposema i do, ni mimi ndo nina haki kushinda mawifi na hata mama mzazi so watu tunatakiwa kuelewa na kuacha mume na mke waishi maisha yao na siyo kuwaingilia saana. muhimu heshima iwepo tu.Una bahati hujaolewa usukumani. Ungeipata habari yako.
wamsaidie ndugu yao kivipi, kama makubaliano yao ndo ya kuchunana je?Yeah lazima wamsaidie ndugu yao bana sio kesho na kesho kutwa ana fulia janamke linakimbia na kufuata mme mwenye pesa si akili zenu mnazijua wenyewe mawazo kwenye mkwanja tu na si tru love.
aah wapi, mimi ndo mwenye mumeb bwana., tangu pale kanisani niliposema i do, ni mimi ndo nina haki kushinda mawifi na hata mama mzazi so watu tunatakiwa kuelewa na kuacha mume na mke waishi maisha yao na siyo kuwaingilia saana. muhimu heshima iwepo tu.
Habari zenu wanaJF,
Hivi mawifi wana nini lakini? Natarajia kujitosa kwenye ndoa, lakini wifi ananiletea vituko mapema kabla ya kufika huko. Mama mkwe wangu ananipenda lakini wifi yangu maneno maneno. Ana kazi na familia yake lakini bado tuu ananisema, eti anataka nimpigie magoti ninapomsalimia, anawaambia watu kaka yake anaoa binti wa mjini hawana heshima.
Hivi unapomsalimia mtu ukimpigia goti ndio heshima?Wadada mliolewa hebu nipeni mbinu za kumdhibiti huyu wifi.
kubadili mawazo haiwezekani, nataka mbinu za kumdhibiti huyu wifi.
Nilishasema dua za kuku hazinitishi, hata kama ikifika mahala nikatafuta wasuluhishi sawa tu, hiyo itakuwa kwa wakati wake, lakini siwezi kuishi kwa vitisho na wasiwasi ndani ya nyumba yangu mwenyewe. mimi nawaheshimu watu wote kama binadamu lakini dharau ndo sikubaliani nazo. haya ndo tunafanya turudi kwenye ile thread ya wanawake hatupendani, kwa nini usimuache mwanamke mwenzio a enjoy ndoa yake na mumwe, kutwa kucha vijineno kisa ni kaka yako. Lakini wadada this begins with you, maana sisi ndo waolewaji, sisi ndo mawifi, kila mtu aplay part yake.Hahaha! Haya bwana, angalia usije ukatafuta wasuluhishi desperately. Hahahaha! Niliipenda sana ile desperately ya wakati ule.
mimi nasema hata mama mkwe anatakiwa kuheshimu ndoa ya mwanae. kila mtu aachwe aplay part yake, akumbuke mwanae kakua ndo maana kaoa na ana independent family na ni baba wa familia wjhich means anaweza kuongoza family yake bila maelekezo toka kwake.Usibadili mawazo utampa kichwa sana pambana naye,
msalimie kawaida bora humdharau asikusumbue kabisa, kwani utakaa naye kwako, hawa watu wa hivi ukiwaendekeza atakupelekesha mpaka utakonda ubaki kama nyoka, mapema kabisa anza kumuonesha rangi zako zote.
ingekuwa mama mkwe hapo sawa kuna point lakini, wifi tena mwenye kwake, huyo lazima anakutafuta uchokozi tu.