4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 11,301
- 12,952
Wakuu leo sina mengi ila amani ya Bwana ikawe kwa kila mmoja wetu katika haki na usawa.
Rejea mada tajwa hapo juu,
Taifa hili letu wote na ndo sie wa kuliponya au kulipa majeraha, hivyo nimeona ni vyema shauri yafuatayo na sio lazima kukubaliana nayo.
1. Uchaguzi usitishwe Rais aliepo asimamie mambo ya msingi kuleta Taifa pamoja ,hii inaendana na kuleta katiba huru, kuachana na kesi za visasi kwa wanasiasa na wasio wanasiasa hata kwa miaka miwili mbele huko, lengo taifa liwe moja.
2 . Kuunda task Forse ya kitaifa ili kuchunguza ndugu na jamaa waliotoweka na wahusika fikishwa kwenye vyombo vya sheria.
3. Pawepo na mjadala mpana wa wananchi ili kuhusishwa moja kwa moja nchi yetu iongozwe katika utaratibu gani .
Hii teka , poteza haitupeleki popote bali tunaenda angamiza taifa letu wenyewe, hakuna afya kwa Taifa asema Bwana
Thanks
Rejea mada tajwa hapo juu,
Taifa hili letu wote na ndo sie wa kuliponya au kulipa majeraha, hivyo nimeona ni vyema shauri yafuatayo na sio lazima kukubaliana nayo.
1. Uchaguzi usitishwe Rais aliepo asimamie mambo ya msingi kuleta Taifa pamoja ,hii inaendana na kuleta katiba huru, kuachana na kesi za visasi kwa wanasiasa na wasio wanasiasa hata kwa miaka miwili mbele huko, lengo taifa liwe moja.
2 . Kuunda task Forse ya kitaifa ili kuchunguza ndugu na jamaa waliotoweka na wahusika fikishwa kwenye vyombo vya sheria.
3. Pawepo na mjadala mpana wa wananchi ili kuhusishwa moja kwa moja nchi yetu iongozwe katika utaratibu gani .
Hii teka , poteza haitupeleki popote bali tunaenda angamiza taifa letu wenyewe, hakuna afya kwa Taifa asema Bwana
Thanks