Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 45,886
- 101,877
Wakati tukilisubiri baraza jipya la mawaziri, sio vibaya kuwazungumzia waliokuwa mawaziri katika baraza lililopita lakini hawatarudishwa kwenye baraza jipya.<br />
Hawa ni wale waliokuwa mawaziri, ama hawakupita kwenye kura za maoni ndani ya CCM ama wamekataliwa na wananchi kwenye sanduku la kura.<br />
<br />
Najue wengi wanamatumaini ya kurea kwa mlango nyuma kwa huruma JK kuwateua tena kwenye zile nafasi zake 10 za uteuzi. JK kama amekubali kumtosa Sitta, then panga litawashukia hawa bila huruma. <br />
<br />
List inaongozwa na <br />
1. Shemsa Mwangunga<br />
2. Lawrance Masha<br />
3. Dr. Batilda Burian<br />
4. Deodorus Kamara<br />
5. Philip Marmo........and the list goes on<br />
Lakini pia kuna mawaziri waiokuwepo kwenye baraza lililopita ambao bado ni wabunge lakini watatemwa, hawa ni pamoja na <br />
6. Sofia Simba -ameiaibisha serekali ya JK kwa ile mipasho yake.<br />
7. Magret Sitta kwa makosa ya Mumewe.<br />
<br />
Naomba tuiendeleze list kwa kutoa na sababu.
Hawa ni wale waliokuwa mawaziri, ama hawakupita kwenye kura za maoni ndani ya CCM ama wamekataliwa na wananchi kwenye sanduku la kura.<br />
<br />
Najue wengi wanamatumaini ya kurea kwa mlango nyuma kwa huruma JK kuwateua tena kwenye zile nafasi zake 10 za uteuzi. JK kama amekubali kumtosa Sitta, then panga litawashukia hawa bila huruma. <br />
<br />
List inaongozwa na <br />
1. Shemsa Mwangunga<br />
2. Lawrance Masha<br />
3. Dr. Batilda Burian<br />
4. Deodorus Kamara<br />
5. Philip Marmo........and the list goes on<br />
Lakini pia kuna mawaziri waiokuwepo kwenye baraza lililopita ambao bado ni wabunge lakini watatemwa, hawa ni pamoja na <br />
6. Sofia Simba -ameiaibisha serekali ya JK kwa ile mipasho yake.<br />
7. Magret Sitta kwa makosa ya Mumewe.<br />
<br />
Naomba tuiendeleze list kwa kutoa na sababu.