kimfly
Member
- Aug 27, 2021
- 12
- 29
Rais Samia atatangaza baraza jipya la mawaziri hapo baadae kwa mtazamo wangu,Hawa siwaoni Tena kwenye uwaziri
Dotto biteko
Jafo
Pro kabudi
Kitila mkumbo
Mhaga mpina
Hawa nahisi mama atapitanao kwa kasi ya ajabu ,kwa sababu utendaji wao kwa sasa umepungua tofauti na awamu ya 5 chini ya magufuli,nawasilisha
Dotto biteko
Jafo
Pro kabudi
Kitila mkumbo
Mhaga mpina
Hawa nahisi mama atapitanao kwa kasi ya ajabu ,kwa sababu utendaji wao kwa sasa umepungua tofauti na awamu ya 5 chini ya magufuli,nawasilisha