Mawaziri Wataotemwa Hawa Hapa.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,337
113,179
Wakati tukilisubiri baraza jipya la mawaziri, sio vibaya kuwazungumzia waliokuwa mawaziri katika baraza lililopita lakini hawatarudishwa kwenye baraza jipya.<br />
Hawa ni wale waliokuwa mawaziri, ama hawakupita kwenye kura za maoni ndani ya CCM ama wamekataliwa na wananchi kwenye sanduku la kura.<br />
<br />
Najue wengi wanamatumaini ya kurea kwa mlango nyuma kwa huruma JK kuwateua tena kwenye zile nafasi zake 10 za uteuzi. JK kama amekubali kumtosa Sitta, then panga litawashukia hawa bila huruma. <br />
<br />
List inaongozwa na <br />
1. Shemsa Mwangunga<br />
2. Lawrance Masha<br />
3. Dr. Batilda Burian<br />
4. Deodorus Kamara<br />
5. Philip Marmo........and the list goes on<br />
Lakini pia kuna mawaziri waiokuwepo kwenye baraza lililopita ambao bado ni wabunge lakini watatemwa, hawa ni pamoja na <br />
6. Sofia Simba -ameiaibisha serekali ya JK kwa ile mipasho yake.<br />
7. Magret Sitta kwa makosa ya Mumewe.<br />
<br />
Naomba tuiendeleze list kwa kutoa na sababu.
 
Batilda hawawezi kumuacha maana mhhh nguvu zilizotumika kutaka kumbakisha madarakani ni kubwa sana...najiuliza kwa nini alikuwa analindwa na kutetewa na dola to that level?
 
Mkumbushe Mkulu kuwa wa kutema si wale walioshindwa kwa kila hila kutangazwa na NEC TU; bali HATA wale walio-FORCE KING ushindi kama:

  1. MAKONGORO MAHANGA
 
Dr Batilda Burian huyo hata ufanyeje kwenye cabinet yumo tena kwenye wizara kuu muhimu
 
Safari hii mkwere atawashangaza atakuwa raisi wa Kwanza kuunda baraza la mawaziri wote wanawake! Kuanzia waziri Mkuu na wizara zote. Wanawake wanaweza wakiwezeshwa.
 
Safari hii mkwere atawashangaza atakuwa raisi wa Kwanza kuunda baraza la mawaziri wote wanawake! Kuanzia waziri Mkuu na wizara zote. Wanawake wanaweza wakiwezeshwa.

Unataka kunambia hadi Vicky Kamata naye atapewa wizara?
Lakini jamaa hashindwi yule.
 
Batilda hawawezi kumuacha maana mhhh nguvu zilizotumika kutaka kumbakisha madarakani ni kubwa sana...najiuliza kwa nini alikuwa analindwa na kutetewa na dola to that level?


Kalamu acha kujadili vitu (kigaloni) vya watu.
 
Pasco,<br />
<br />
Mimi nafikiri Batilda Burian atarudi kuwa mbunge na waziri.
No matter how good one is, ukishakataliwa na wananchi you are done. JK akiwabeba kwa mbeleko ya vile viti vyake, mbeleko hiyo itageuka sanda kwenye kaburi la CCM 2015
 
No matter how good one is, ukishakataliwa na wananchi you are done. JK akiwabeba kwa mbeleko ya vile viti vyake, mbeleko hiyo itageuka sanda kwenye kaburi la CCM 2015
Believe me JK atafanya lolote safari hii kwani anajua hii ndio term yake ya mwisho so hana haja ya kujisafishia njia kwani 2015 atasimamishwa mwingine hivyo uwezekano wa kuwarudisha maswahiba zake ni mkubwa sana.
 
Mbona Vicky Kamata anaongelewa sana jamani? Au mwenye kuambiwa maana hajui maana?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom