Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Waziri Mkuu atatoa mwelekeo mpya wa uwajibikaji leo saa 7 mchana, bungeni. Don't miss it.
 
WAMEJIUZULU KWELI? mpaka tuwasikie wakikiri mbele ya waandishi wa habari.
 
Wanahitaji kuondoka, wanahitaji kuondolewa, ni lazima wapelekwe mahakamani....... Kwanini serikali inafuga wezi????????? Eti na mkuu wa bunge anasimama na kuaza kufanyia kazi tetesi.... Fwata kanuni, hoja ije mezani ndio aifanyie maamuzi.....
 
mkuu mbona kicha cha habari kinaongelea mambo ya kale 21 April 2011? au bado unaota
 
Ivi hakuna sheria ambayo mwananchi wa kawaida kuwafungulia mashata hawa wakawapuaji wa mali zetu?
 
tusubiri taarifa rasmi lakini baraza loooooooooooooooote 0
 
kujiuzulu haitoshi! washitakiwe kwa matumizi mabaya ya ofisi walizokuwa wakizitumikia.
 
Sidhan kama kuna haja ya naibu kujiuzulu. anaewajibika ni boss wake na ye ni automatic amejiuzulu

wewe ungependa kumuona Dr LUCY nNKYA AKIENDELEA NA UWAZIRI? YEYE NI NAIBU WAZIRI LAKINI ULIWAHI KUYASIKIA MATAMSHI YAKE WAKATI WA MGOMO WA MADAKTARI. HAIJALISHI MTU YUKO KATIKA NAFASI GANI. KAMA NI MTENDAJI MBOVU ATAENDELEA KUWA MBOVU TU NA DAWA YAO NI KUWAPISHA WENYE UWEZO WAFANYE KAZI HIZO
 
Kinachofata; WANYONGWE hadharani kama wabunge walivyopendekeza

Una akili timamu wewe? Ingekuwa baba yako au mjomba ungeshabikia hivyo?

Tuna uhakika gani kuwa na wewe huibii serikali hata kwa hicho kidogo ulicho na uwezo nacho?
 
Kwa kuwa mawaziri wote waandamizi wamejiuzuru ni wakati muafaka sasa kwa JK kushauriwa kuunda baraza dogo la mawaziri atakalolimudu. Aidha achague vijana wachapakazi watakaorudisha hadhi ya serikali mbele ya wananchi.

Hakika huu ni wakati murua (Golden chance) kwa JK kurudisha heshima yake!
JK na Pinda ndio waondoke otherwise ni kubadili chupa tu wakati mvinyo ni ule ule.
 
Kuna jamaa kapiga simu startv kuna issue nyeti sana inaendelea bungeni, mliopo huko updates please...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom