Wabunge wote wa CCM ni wavivu wa kufikiri.....nitafafanua....!!
Naamini wote wanajua kuwa tatizo kubwa katika nchi hii siyo mawaziri wala PM....The problem is JK mwenyewe. Na wanajua kuwa JK keshawafanyizia mara kibao, na kuwasababishia matatizo makubwa kwa wapiga kura wao. Kwa nini hawataki kujivika mask na kumaliza kazi once and for ever??
Wabunge wa CCM hawana ujasiri kufanya tukio la kihistoria kama hilo ndugu yangu...ndiyo maana wanakimbizana na kuziba matundu kwenye paa ambalo limeshatoboka kila mahali...!!
I wish they had something in their heads and some courage in their hearts!!
Kweli mkuu,
Nashangaa watu wanafurahia wakati wamepigwa changa la macho...Kwani katika CCM, ni nani anaweza kuongoza nchi hii kwa nafasi yoyote ile?
Wabunge wangetusaidia sana kama wangeweza kupunguza muda badala ya kusubiri 2015; kwa sababu tunapoteza muda bure na jamaa wanaendelea kujikusanyia kama vile wanachota mchanga wa pwani!!
sasa PM anarudisha pasi nyuma tena. Eti anamsubiri baba Riz aje aamue. Mimi hapa hua sielewi Raisi anaingia wapi, waziri tumemkabidhi wizara atuendeshee, CAG na kamati ya bunge wamemsaidia kubaini uozo katika wizara yake, na nia njema kabisa ripoti hizo chafu ziliwasilishwa serekalini zaidi ya mwezi mmoja kabla ya kusomwa juzi bungeni. Cha ajabu mwezi woote huo serekali(Wizara) haikuwachukulia hatua yoyo watendaji wa wizara waliohusika na ubadhilifu huo. Sasa leo waziri unaambiwa uwajibike kwa ajili ya usimamizi mbovu wa wizara uliokabidhiwa unasema tumsubiri baba Riz.unataka aje afanye nini?
Watanzania wameshindwa kuichukua nafasi hii kudai kile wanachokita.
Sidhani kama wanachokita Watanzania ni kujiuzulu kwa mawaziri nane.
Lakini habari ya kujiuzulu kwa mawaziri nane inawafanya Watanzania so excited mpaka wamesahau kila kitu.
Ni kama vile hao mawaziri wapya nane watakaokuja wata solve kila kitu.
Huwezi kusema gari bovu sana liko fit kwa kubadilisha taa za mbele.
Na Waziri Mkuu akijiuzuru / akiondoka waamie kwa Spika wa Bunge....Pamoja na hao mawaziri kuondoka hoja ha kutokuwa na imani na Waziri Mkuu iwepo pale pale.
Sijawahi kuona Waziri Mkuu wa aina hii. Alitakiwa yeye aweza wa kwanza kuondoka.
Waziri Mkuu amepewa madaraka lakini anashindwa kufanya maamuzi magumu. Hatufai huyu.
Technically hata hao wameshaondolewa, maana baada ya kujiuzuru hao Mh. rais atalazimika kutangaza baraza lote la mawaziri kwa hiyo basi usishange wote hao hawapo kwenye baraza jipya. Hii ni nafasi pekee kwa JK kufanya marekebisho ya baraza lake lote.As for me list ya kujiuzuru ingekuwa hivi.
1. Ngeleja. 2. Kawambwa. 3. Hawa Ghasia 4. Sophia Simba. 5. Mkulo. 6. Nundu 7. Mponda. 8. Lukuvi. 9. Mkuchika. At least roho yangu ingesuuzika. But hao wa 4 haitoshi.
ni hatua moja muhimu imetusogeza ktk uwajibikaji! Najua makatibu wakuu wa wizara,wakurugenzi na wakuu wa taasisi ambazo zimetuhumiwa kutafuna pesa za umma nao watafuata! Hawa jamaa washitakiwe mahakamani kwa uzembe wa kushindwa kulinda mali ya umma na uhujumu uchumi! Adhabu mojawapo naomba wahukumiwe kuchapwa viboko!Ndugu yangu,
Kuwaondoa mawaziri ni kuwaonea bure...tatizo ni kubwa sana kuliko hawa mawaziri.
Naomba uwe shahidi wangu, ripoti ya CAG mwakani itakuwa baya sana kuliko hata hii!!
Kweli mkuu,
Nashangaa watu wanafurahia wakati wamepigwa changa la macho...Kwani katika CCM, ni nani anaweza kuongoza nchi hii kwa nafasi yoyote ile?
Wabunge wangetusaidia sana kama wangeweza kupunguza muda badala ya kusubiri 2015; kwa sababu tunapoteza muda bure na jamaa wanaendelea kujikusanyia kama vile wanachota mchanga wa pwani!!
I know the importance is to win the war and not the battles, but remember you cant win a war without winning any battle.., of course inabidi kuanzia mahali, its not enough lakini atleast Ngereja is gone and these prima donnas will know even their swaiba sometimes can not help them (labda sasa awapeleke ubalozi wa Afghanistan)Hivi wakishajiuzulu hawa mtaridhika? au mtasema "angalau tumeanza mahali" na hivyo kuonesha kuwa mmesahau kabisayaliyiotokea 2008 au ya kina Kiula miaka kadhaa nyuma?
ni hatua moja muhimu imetusogeza ktk uwajibikaji! Najua makatibu wakuu wa wizara,wakurugenzi na wakuu wa taasisi ambazo zimetuhumiwa kutafuna pesa za umma nao watafuata! Hawa jamaa washitakiwe mahakamani kwa uzembe wa kushindwa kulinda mali ya umma na uhujumu uchumi! Adhabu mojawapo naomba wahukumiwe kuchapwa viboko!
Kila jambo na wakati wake na hatua zake "Hatembei bila kutambaa" CDM walianza ukombozi na wabunge watano sasa 48 matukio ya Kiukombozi yakiongezeka. Dark City kila nyakati na matukio yake hilo nalo laja kwa wakati wake. Mungu si wa CCM bali ni wa UMMA wa wanyonge wenye kutaka haki CDM!!!! Nguvu ya UMMA ni Kubwa na siku zote INASHINDA. Tutashinda!!!!