jamani pema usijapopema ukipema si pema tena!!!!!!!!!!!!!!Kuku akitaga kwenye nanasi sharti ampishe mwenye nanasi wakati wa mavuno hata kama anaatamia kwani wakati ukifika umefika!!!!!!!!!!!!Hawa mawaziri walikuwa wamepewa hifadhi na mzee wa brazil wakakosa uaminifu wa kuilinda kazi yao hata kama hawana sifa na nadhani taaluma yao ina mashaka,na licha ya kujiuzulu mamlaka hausika yapaswa kuchunguza vyeti vyao haraka iwezekanavyo na wasisingizie shinikizo lolote toka uongozi wa juu.Kama ni mbwai ni mbwai tu!!!!NA NIMEPATA TAARIFA (BREAKING NEWS) KWA VYOMBO VYA HABARI USIKU HUU KUWA NANE TAYARI WAMESHACHOMOKA KAMA MSHALE WA SUMU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Acha tuone timbwili asubuhi kwa mama mawigi na mimi walah nasema yeye ale dog, anywe ulanzi,komoni, hakatakalika mjegoni kesho!!!!!!!!!!!!