John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,343
- Thread starter
- #441
mwanzo mzuri wa viongozi sasa kuutumikia umma
[h=3]Chanzo: Mpayukaji blog[/h] [h=3][/h][h=3]![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
[/h]Habari tulizopokea toka kwa![]()
wezi hawa wasulubiweeeee
mwanzo mzuri wa viongozi sasa kuutumikia umma
[h=3]Chanzo: Mpayukaji blog[/h] [h=3][/h][h=3]![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
[/h]Habari tulizopokea toka kwa![]()
wezi hawa wasulubiweeeee
Nayatazama haya maamuzi kama ya kulinda masilahi binafsi zaidi kuliko masilahi ya Umma. Kuna naibu waziri mmoja anatajwa kuwa huenda akawa kundini nachelea kumuandika kwa kuwa ni kama bado palikuwa na sintofahamu na nini waazimie kama hatima yake.
Shinikizo lilikuwa kubwa na jamaa walimhakikishia mtoto wa Peasant kuwa '' kama hutawawajibisha vijana wako tuliowataja bila kuuma maneno kesho wote tunaanguka sahihi katika fomu ya ZITTO ZUBERI KABWE na kikosi cha CDM''
hapakuwa na Ujanja tena, kilichonistua ni mbwembwe zote za kualika MEDIA kisha wapashaji habari kuishia kutorokwa na zigo kutwishwa Mhagama ambaye alikuwa kama kameza kanda kwa kutoa jibu hilo hilo moja ati mambo yote kesho, mwenyekiti ataongea, Nani huyo....Si Waziri Mkuu.
Huku alikwisha ondoka kama dk 10 zilizopita. MBIVU na MBICHI kesho Asubuhi Mjengoni
GR Ntasimama LIVE kulikabili jukumu nililoliIntroduce JAMVINI
ADIOS
Hivi wakishajiuzulu hawa mtaridhika? au mtasema "angalau tumeanza mahali" na hivyo kuonesha kuwa mmesahau kabisayaliyiotokea 2008 au ya kina Kiula miaka kadhaa nyuma?
Watanzania think out of the box. Tatizo sio hao Mawaziri nane.
Tatizo ni the whole system. Sytem nzima ni mbovu from the top to the bottom.
Hata wakiletwa mawaziri wengine wapya hakutakuwa na jipya.
Mara ngapi mawaziri wamebadilishwa lakini mabo ni yale yale?
Watanzania think out of the box. Tatizo sio hao Mawaziri nane.
Tatizo ni the whole system. Sytem nzima ni mbovu from the top to the bottom.
Hata wakiletwa mawaziri wengine wapya hakutakuwa na jipya.
Mara ngapi mawaziri wamebadilishwa lakini mabo ni yale yale?
EMT, Nafikiri wengi wanaelewa hilo; lakini ugumu ni namna yaku-clean the whole system before 2015. Hiki ndio wengi kina-tu/wasumbua.