Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Amekaliwa kooni sana na waandishi wa habari maana wamesubiri kwa muda mrefu nje ya ukumbi wa kikao!
Anataka kukimbia lakini maswali yanamzidi!
Actually she is not talking any sense!
 
Bado kuna kitu kinachotakiwa kifanyike ambacho ni zaidi ya waliohusika/waliotajwa kuondoka/kuondolewa....Je bandari yetu ya mtwara..pesa zilizopotea au kufujwa...ukiukwaji wataratibu za manunuzi na udhibiti wa pesa za umma..!!!!!!
 
Waandishi wa habari wamembana aseme maamuzi ya kikao ila kakataa
 
Kumbe ccm wamewaita waandishi waandishi wa habari , halafu hawana substance...
Sasa bila kujijua wameongeza kubomoa tofali mojawapo katika himaya yao, na waandishi wamechukia!
CCM inajimaliza kwa kila upenyo inaopata, na kuongeza maadui kila ikiamka usingizini.
 
Mie huwa nachoka na PM wetu hasa pale anaposema "mimi nadhani......mimi nafikiri ....mimi naona tusubiri" yaani hakuna maamuzi na hivi ajua wabongo yunapenda porojo ndio kabisaaaa


mtu wa namna hiyo kama anatoa kauli za namna hiyo wakati ambao sio wa mjadala/kikao/kamati bali anahutubia wananchi ujue anakwepa kitu waingereza wanaita responsibility,na accauntability.

Mtu wa namna hii, anapaswa kuogobwa kama "ukoma", hatufai hata kidogo katika harakati za kuwawezesha watanzania wajiletee maendeleo
 
Kwa kweli wangeanza na kikwazo Pind
a ili huo uozo mwingine imfuate nyuma.I ca see the light from a distance!
 
:

BREAKING NEWS: Mawaziri nane waliojiuzulu ni; Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo, Waziri wa Viwanda na Biashara, Cyril Chami, Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, Waziri wa Uchukuzi, Omar Nundu, Waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige, Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi),George Mkuchika, Waziri wa Kilimo Chakula na Ushurika Jumanne Maghembe na Waziri wa Afya, Dk. Haji Mponda

Source :FREDRICK KATULANDA WHO WRITES FOR THE MWANANCHI:
 
Amekaliwa kooni sana na waandishi wa habari maana wamesubiri kwa muda mrefu nje ya ukumbi wa kikao!
Anataka kukimbia lakini maswali yanamzidi!
Actually she is not talking any sense!

anataka uwaziri
 
That's it,wamejiuzulu halafu what's next?,washtakiwe au waendeleze mitaji yao?
 
Kweli Tanzania raha sana. Unaiba mali ya umma unapewa ushauri u-step down au ujipime. Tena kizuri zaidi hulazimishwi kurudisha ulichochukua so una options nyingi tu. Argh!:A S angry:
 
kwahiya mpango wa sahini sabini ndio umekufa?kwahiyo pinda bado tunaye?dah!

mpago haujafa, kama wamejiuzulu mpango umefanikiwa tena sana. sababu ya kupeleka motion iltakuwa obsolete with success though
 
kwahiya mpango wa sahini sabini ndio umekufa?kwahiyo pinda bado tunaye?dah!

mpago haujafa, kama wamejiuzulu mpango umefanikiwa tena sana. sababu ya kupeleka motion iltakuwa obsolete with victory though
 
safii ila baraza lotelingetoka tu, hata Pinda ni zigo la mavi liondoke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom