Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Jamani mwacheni kwanza Pinda akalie weee, then kesho atasema, si unajua akili za ki-msukule.
 
Pinda ni mzito kwa kila idara!
Mbona uwaziri mkuu ni nafasi ya utendaji anangoja amri ya nani huyu stooge?
Naanza kujiuliza nje ya Box kuwa alimpataje Tunu!

That guy is an old fashioned spy. He is never a politician. Anapata mahangaiko sana kufanya kazi na wajanja wanaomzunguka.
 
Mbona hii isssue inakuwa kama, trilion za yule mzee wa jeshini,, tupeni habari bana tujue mojaaa agghhh
 
pinda ni mzito kwa kila idara!
Mbona uwaziri mkuu ni nafasi ya utendaji anangoja amri ya nani huyu stooge?
Naanza kujiuliza nje ya box kuwa alimpataje tunu!
anasubiri smg za kina zitto na deo.f
 
Open Group mpya imefunguliwa facebook kwa jina la Ukombozi Tanzania. Unaruhusiwa kujoin pamoja na kuinvite watu mbalimbali kwenye group. Aim ni kuwa na kila mtanzania anayetumia mtandao wa internet awe kwenye hili group tayari kupashana habari pamoja na Kuikomboa nchi yetu. Ndio kwanza tumeanza kuchukua hatua sio kila siku maneno.. Jiunge na hiyo group sasa na unganisha na wenzako.


Ukombozi Tanzania Admin
 
Makamba anajaribu ku take the glory away from Zitto and CDM. This is beyond wewe na your dirty tricks, lil fisadi
 
Waziri Mkuu anaondoka katika Mazingira Tatanishi licha ya kuwaita kwa nguvu waandishi wa vyombo mbalimbali ambao walitegemea angetoa Tamko kuhusiana na maamuzi mazito ambayo tayari yamekwishazungumzwa hapa JF, Bahati mbaya sasa anatoka yeye kupitia mlango wa uani na muda mfupi kidogo anatoka Jenista Mhagama na yeye anapotakiwa kutoa Tamko kama ilivyoagizwa awali anasema maelezo yote atayatoa mwenyekiti wao Waziri Mkuu ambaye kisha chepuka kama dk 15 zilizopita.

  1. Kimejiri Nini hakuna anayejua
  2. Atatangaza kesho asubuhi katika Bunge, Inaelekea hii ndo plan ili wasipre-empty kikao cha Bunge
  3. Au wanasubiri baraka za Vasco Da Gama, hakuna anayejua

Ila kwa kauli ya Jenista Mhagama Mawaziri saba wameamuriwa Kujiuzuru mara moja nyadhifa zao....Nakamata detail za mwisho kabla sijaondoka niwajuze wanajamvi

Kwa sasa hayo ndo yanajiri kutoka viwanja vya Bunge

Adios

GR ulipotelea wapi mkuu
 
Mie huwa nachoka na PM wetu hasa pale anaposema "mimi nadhani......mimi nafikiri ....mimi naona tusubiri" yaani hakuna maamuzi na hivi ajua wabongo yunapenda porojo ndio kabisaaaa
 
Pinda ni mzito kwa kila idara!
Mbona uwaziri mkuu ni nafasi ya utendaji anangoja amri ya nani huyu stooge?
Naanza kujiuliza nje ya Box kuwa alimpataje Tunu!

PJ tena unataka kuhoji alimpataje Tunu!!! Kweli imemzarau PM!!!
 
Pinda ni mzito kwa kila idara!
Mbona uwaziri mkuu ni nafasi ya utendaji anangoja amri ya nani huyu stooge?
Naanza kujiuliza nje ya Box kuwa alimpataje Tunu!

Nahisi kunywa Bia usiku huu hapa Florida japo nina Dozi ya Flagyl (Metronidazole[FONT=arial, sans-serif])...Tatizo sio Pinda tu, ata Sindbad baharia mwenyewe yampasa sasa ajue kuwa hana vichwa. [/FONT]
 
Tunu alifuata mali ya Pinda.
Hakuna mapenzi pale!
Pinda ni mzito kwa kila idara!
Mbona uwaziri mkuu ni nafasi ya utendaji anangoja amri ya nani huyu stooge?
Naanza kujiuliza nje ya Box kuwa alimpataje Tunu!
 
Pinda anaupenda sana huo u W/M ila ajue a minimal chance made him to enter is a biger chance for his exit. hakutakiwa kabisaaa! sasa kama bado anapenda kujenga bara2 za kwao, kuunda mikoa mipya kwao, kuanzisha matawi mapya ya kina Kimei nk amwambie bosi wako awatoe hao wapenda nyama za mbuzi kina Mkulo. ulafi bwana, lijamaa linashuka pale chalinze ya Dom linaagiza nyama za kula watu wa 5 linatafuna peke yake. ufisadi ni tabia jamani, Hatufai, kutoka kwenye nyama mpaka bakaa zetu. uwe na aibu we kilosa
 
Kudadadeki Adam Malima kauchuna

Manaibu Waziri ni nadra kusombwa kwa kuwa wao hufanya shughuli za wizara kwa maelekezo ya Waziri, na ndio maana hata wakijibu maswali Bungeni huwa wanasema kwa niaba ya Waziri.

Ndio maana Jamaa amepona pamoja na Dr. Nkya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom