Mawaziri waghushi vyeti


Mkuu Skills4ever, suala si kuwa hicho chuo "kinatambuliwa UK" bali kuwa kuwa kinatoa kitu cha maana.Hivi vyuo ni kama kampuni hewa ya kufua umeme ya Richmond, iliyosajiliwa sawasawa lakini inafanya kazi hewa.Vyuo vya aina hii huko nje vingi tu na unatoa pesa kidogo na unapewa hiyo PhD, mihuri ni kwa wingi tu.
Ukitaka kuwa weza wakupatie ingalau Professor mmoja wa chuo hicho na wakupe resume yake-HAKUNA.
Respectable learning dunia nzima wahadhiri wana mitandao inayojulikana katika fani mbali mbali.
Kwa kifupi hili li PhD la waziri ni fafa au linaelekea huko.
 

KAMALA ACHA KUJITETEA, HERI UNYAMAZE UONEWE HURUMA!
Yeye ni mmoja wa wahuni wa Mzumbe University wakiongozwa na VC feki wa chuo hicho aliyefukuzwa (Warioba) waliochukua shortcut kupata Ph.D za miezi mitatu mitatu! Aliyeharibu zaidi ni Nchimbi aliyepata hiyo Ph.D hata kabla hajafaulu mitihani yake ya Diploma! Huu ni udanganyifu unaostahili kufungwa!

Naelewa kuwa Kamala anajutia sana kwa ujinga huo aliofanya na ndiyo maana ameamua sasa kufanya Ph.D ya kweli kweli. Ni kwa sababu anaelewa vema kuwa a Ph.D is the highest academic degree one can earn, a degree which demands extended study and intense intellectual effort. Ndiyo maana mhitimu wa shahada hiyo ya juu kabisa kuliko zote, tunamtambulisha kwa kumwita "Dk", maana yake tunamtambua kuwa amebobea kwenye eneo maalum la elimu. Seriously, unaweza kusema Kamala, amebobea kwenye nini? Tena afadhali ya Kamala, Nchimbi ambaye ni typical mbumbumbu ambaye hata Diploma ya Mzumbe alisaidiwa sana na mkewe, kabobea kwenye nini?Shahada ya Ph.D ni utambulisho kuwa the holder has not only mastered a specific subject exhaustively, but has also extended the body of knowledge about that specific subject. In other words, he or she, has made significant contribution to knowledge in the specific area of study. Ndiyo maana, msingi mkuu wa Ph.D study, msingi unaotofautisha Ph.D na shahada zingine, ni utafiti wa kina, intense research which enables the candidate to explore, investigate, contemplate and come out with results which add value to existing knowledge. The candidate is, at the end of the "day", expected to produce a thesis for assessment and defend his or her work on oral examination or other method.

Kamala, Nchimbi, Makongoro, Nagu and company wanaweza kabisa kushitakiwa kwa false pretence? Ni Ph.D gani unaipata katika miezi mitatu kama wewe si mdanganyifu? I challenge the whole group: Kamala, Nchimbi, Makongoro, Nagu, Sigallah, Mafwenga etc to produce their theses here for scrutiny, kama hatujaona vioja! Naambiwa thesis ya Nchimbi iliyompa Ph.D ya uchumi ni paper ya kurasa saba, nayo aliandikiwa na Tutotial Assistant mmoja wa Mzumbe! Ongea naye, hata abc ya elementary economics hajui!

Penal Code inasema "any person who conspires with another by deceit ... to defraud the public ... is guilty of an offence and is liable for imprisonment for five years". Mimi naiona conspiracy ya wazi kati ya vyuo hivyo feki vya Ulaya na "madokta" wetu hao, conspiracy ya kuudanganya umma kuwa ni wasomi wa kubobea na kumdanganya Rais kiasi cha kuwaamini na kuwapa nyadhifa nzito Serikalini ambazo hawana ubavu kielimu kuzibeba.

Penal Code yetu inadefine forgery as follows: "the making of a false document with intent to defraud or to deceive". Aidha inafafanua kuwa
"any person makes a false document who: (a) makes a document which is false or which he has reason to believe is untrue.(emphasis added) Akina Nchimbi, Nagu, Makongoro, Kamala, Lukuvi n.k., wametengenezesha vyeti hivyo kwa lengo la kufanya udanganyifu. Wana bahati sana kwa maana ya kwamba wanaishi nchi yenye selective rule of law: nchi ambayo sheria huwabana wepesi tu akina Kihiyo! KAMALA ACHA KUJITETEA, HERI UNYAMAZE UONEWE HURUMA!
 

Mkuu Dr. Nchimbi, anaogopa hata kujibu maswali, hivi kweli ingekuwa hii PhD yake ni sahihi anaogopa nini kuzungumza na Mwandishi wa habari kuhusu hilo. Angeulizwa kama Baba yake aliwahi kuwa Katibu wa CCM wa Mkoa, angekataa kweli jibu hilo swali, ama kashikwa pabaya.

Mheshimiwa Dr. Kamala sidhani kama kuna mtu kamwambia kuwa hakufanya "coursework" na utafiti, suala ni kuwa hicho chuo hakitambuliki. Yeye aelezee tu kinatambulika vipi inatosha. Zaidi akaze msuli pale Mzumbe, aibuke na PhD.
 

Kichakoro, tupende tusipende hatujafikia maendeleo ya kujilinganisha na hayo mataifa uliyoyataja ambayo yanaweza kujiendesha bila kiingereza. Sijasema tusijue kswahili fasaha lakini kwa sababu mambo yetu ya kitaaluma yanaendeshwa kwa kiingereza hatuna budi kukifahamu hicho kiingereza. Bila kujieleza ukaeleweka utaonyeshaje kwamba unastahili au unaelewa hicho unachokizungumzia? Tukiendeleza hiyo mentality yako hatutatoka kwenye hili dimbwi letu la umasikini. Tunaishi kwenye kijiji cha dunia, sio kwenye "bubble ya kitanzania". Tukishajikwamua na umaskini ndio uniambie "we don't need to be able to communicate properly with the outside world".
 
Mimi sidhani kama hii ni big deal as long as huyo mtu hakuforge hicho cheti kutoka kwenye hiyo university. Kuna nchi nyingi tuu ambazo azitambui degree, masters or universities from certain countries and universities especial those countries which are classified as developing countries.

Mfano: New Zealand hawatambui degree ya aina yoyote kutoka UDSM au University yoyote ya Tanzania. Sasa ndugu zanguni mtaniambia kwamba watu wote waliopata Degree/masters/Phds kutoka UDSM, Mzumbe etc wameforge hizo degree kwasababu New-Zealand hawazitambui?

Watanzania msipende kudakiwa issues, someni muunderstand what is the argument behind the story na ndio muunze kuongea..

Pia ndugu zanguni tofautisheni maana ya kutambulika kwa university in a certain country na kugushi (forging) a degree…
 


mmmhhh

...mkuu hiyo ya New Zealand can you elaborate kidogo......
 

This Guy is a B/S, and he does not have a Ph.D degree because he does not seem to understand what a Ph.D. degree is and what it is not.

A Ph.D. degree is a terminal degree awarded to an individual because of his/her original research that generated a body of new knowledge; it is obtained through original research, not by coursework. Therefore, there is nothing like getting a Ph.D. degree by correspondence.


Doing research is part of the privileges and responsibilities that go with the Ph.D. degree. For that reason, someone with a Ph.D. degree cannot be awarded another Ph.D. degree because doing research that can lead to another Ph.D. degree is exactly one of the responsibilities of his/her Ph.D degree.

 

Hebu fafanua una maana gani kusema kuwa New Zealand hawatambui degree za Tanzania. Mimi niliwahi kufundisha kwenye
School of Science & Engineering hapo University of Waikato,
New Zealand, nikiwa na degree ya UDSM.
 
Hehehehee...nitacheka sana siku mtu fulani humu atakapoibuka na kusema Kichuguu ni mwalimu feki....
 
Jamani, jamani, jamani, why waste time discussing on these issues?

hawa phd holders wawe waasajiriwa ikifika muda fulani let say miaka 2, kama hatuoni contribution yake katika society, anaporwa hiyo phd yake, regardless alichukua oxford au PWU!

Tumeishia kusema tu lakini in reality, hizi zote ni standard na walioweka ni watu, private employers let say, wanahiari wa kuikubali phd yake au la! ili mradi ana deliver. au hakuna tena informer education? au mtu kujiita phd mnauma nini kuna watu kibao wanaitwa madocta, wengine viongozi- kama Karume! wengine wachungaji wote hao ni Drs!

kama kweli hii bodi yetu iko serious, hawa jamaa wafuatiliwe mchango wao ktk jamii, na wawe na uwezo wa kumvua hiyo phd, wapewe mamlaka ya kupiga marufuku matumizi ya title Dr kwa wasiostahili!

kupigishana kelele kuhusu hawa jamaa, wakati wale waliosoma hizo degree mnazoziita bora, hatuoni wanafanya nini, ili hali nchi yetu inaongoza kwa umaskini, huku tuna wataalamu kila kona, nalo linazua maswali.

tukiwawekea standard/task/laws watatakiwa wawe wanafanya kila mwaka, ili wazilinde title zao nadhani tutapiga hatua. haya majadiliano ya nani kasoma wapi hayamsaidii mtanzania wa kawaida na hasa taifa letu!
.

NB. hili wengi huwa hampendi kuambiwa- PhD bora kabisa ni ile unayofanyia kwenye taifa lenu! sio utumwa huu wa kuvumbua kitu Japan, wala hutumii elimu yake TZ, PhD nyingi zilizofanyika nje ya nchi hazijalenga kulisaidia taifa letu, haya angalieni wanafanya nini! kwa ordinary person kwa sababu mmekosa kazi mnaanza kunyoosheana vidole nani kasoma wapi-ILI IWE NINI, TUKIWAJADILI HAWA THEN, TUNAENDELEA??

Kama JF ni kisima cha hekima, naomba dongo hili walipokee wote wenye PhD zilizopatikana kwenye vyuo bora kabisa! na wale wanaojadili mambo bila kutauta mzizi wa tatizo!

Maghembe upo? , Mkandala mlimani upo?

Maprofesa wa umeme UDSM mpo?-giza jamani

Maprofesa wa uchumi popote pale mpo?

maprofesa wa uongozi mpo?

na je tukiambiwa walioharibu nchi hii niwasomi wazuri kabisa waliosoma kabla vyuo feki kuzaliwa tutakataa??

are we weak? no, are we inferior? absolute no,

Tujadili jinsi ya kuwabana hawa wote wenye Phd nchini, hawa feki watandoka wenyewe.

tukianza hawa tutakuja na wote wenye bachelor! tuulizane je kazi unayofanya ni ya mtu wa degree? au naweza nikamtrain mtu wa kidato cha nne na akafanya? au degree ni kuwa customer care voda?

tukiweka mtindo wa kudeliver na kusajiliwa, basi feki degrees zote zitaosha.

haya mambo ya mtu akiwa na Phd basi amemaliza kazi! then nani asiyetaka mteremko?
 
Last edited:
Jana usiku nimemuona ndg.kamara akitanabaisha jambo fulani east africa ktk local tv zetu without utambulisho wa kizamivu, alisomeka mh. Diodurus kamara
 
Ndo maana hapa jf kiswahili kwa kwenda mbele, wakoloni uchwara utaona badal ya kujadili points wanajadili kiingereza

after all phyisics haina kiingereza ni namba kwa kwenda mbele bravo kichakoro(komba),kulale kawa luiva njaa
 
Jana usiku nimemuona ndg.kamara akitanabaisha jambo fulani east africa ktk local tv zetu without utambulisho wa kizamivu, alisomeka mh. Diodurus kamara

FDR.Jr kumbe nawewe uli ishutukia? Mwenyewe niliona nikadhani labda TBC wamesahu, ila nilipo kuja ona huu mjadala moto hapa nikaunganisha dots! nahisi jamaa kaisha ona soo hivyo kakubali yaishe na kiaina anabonyea kwa kuondoa hiyo tittle ambayo wengi huitamani japo hawako tayari kuitumikia!
 
Hebu fafanua una maana gani kusema kuwa New Zealand hawatambui degree za Tanzania. Mimi niliwahi kufundisha kwenye
School of Science & Engineering hapo University of Waikato,
New Zealand, nikiwa na degree ya UDSM.

Well maybe you were luck that time.. Now days my dear they don’t accept degrees from certain countries due to the teaching quality. If you have time check their website for skilled immigrant. They have stated clearly which degree certificates they accept from which country. When did u teach at Waikato?

New Zealand sio nchi pekee ambayo inakataa degree from Tanzania. Zipo nyingi sana. Na always arguments behind it ni quality of teaching and competence of those graduates in the working world.

Pia kitu ambacho Tanzania tunasahau watanzania ni kwamba ni working world especial in developed countries working experience mattes not what you learn from universities. Angalieni graduates wanaomaliza UDSM hawajui kitu.. hii sio dharau but its reality

serikari ianze kuweka more effort into mixing education na vocational training (work experience). Hii itawezesha wanafunzi kujua practical side of what they are being taught at university level and itasaidia kuwezesha good quality of research done by our universities.
 
mmmhhh

...mkuu hiyo ya New Zealand can you elaborate kidogo......

As we all know that, New Zealand, Australia, now UK and other countries (too many to mention) have very strictly policies on skilled immigration due to the fact that they want to protect their economy interest and their people. Hence they do research on each countries teaching quality at universities level and they state clearly on their immigration website what university and countries they accept degrees from. Ukienda kwenye some of these developed countries immigration websites find your country of original (Tanzania) then angalia university gani toka Tanzania zinakubalika. For New-Zealand none!

For this thus why I am saying if someone ajaforge certificate then hauwezi ukamwita ameiba degree. Kama Tanzania haiaccept those degrees fair enough. Ila hao watu are still qualified in their field of expertise in the countries ambazo zinakubali hizo certificate.

Alafu kitu kingine… watanzania we have to understand having a PhD isn’t big deal. What is the most important is can they manage the work they do? Thus is why in most developed countries they focus to be charted rather than having PhD as they know the difference.

Why do think watanzania wengi wanamaPhd na wanakosa kazi wakienda Abroad?
 
When you USE SHORT CUT, YOUR SHAMED!!!

Ila TCU kuweni wazi na facilitative ili watu wanaotaka kusoma/kufanya phd studies waweze kuwafuata mara kwa mara.

nina mashaka kama mko supportive enough au bado mna thinking lines za pre 1990 wakati wa urasimu wa mambo mengi kiuchumi, kisiasa na kijamii.

nakubaliana nanyi kwa ajili ya kumaintain stds ila pia lazima mfanye mambo yenu kwa uwazi na haki.

Bado mfumo wetu wa elimu umejiegemeza kuwa discriminatory kwa maana ya wanaopata nafasi ya kusongo mbele ni wachache. tukumbuke ni majuzi mabadiliko ya MMEM na MMES yamepelekea influx ya wananfunzi katika elimu ya juuu.

bado huenda tunachukulia kuwa na PHD is for the few ones!!!! very wrong approach.
nkunya na wenzio hapo naomba mbadilike kifikra na msimamie vema kwa lengo la kuongeza hizo PHD na sio zipungue.

tumeshuhudia UDSM ilivyodumaza maendeleo ya elimu ya juu nchini kwa ukiritimba wa kutotaka kusonga mbele mpaka mabadiliko yalipowasukuma na kujikuta after 40yrs ndo wanakuwa na off campus college (iringa na duce) wakijua geographical logistics ya nchii yetu..

ILA HAKUNA MASIKA ISIYOKUWA NA MBUUU.. MABADILIKO YAMEKUJA NA YANATAKA NAFASIII....
 
………………Ukienda kwenye some of these developed countries immigration websites find your country of original (Tanzania) then angalia university gani toka Tanzania zinakubalika. For New-Zealand none! ……..

.........sidhani kwa kutokuwepo kwenye list ndio inamaanisha kutoitambua degree za bongo...........

……..For this thus why I am saying if someone ajaforge certificate then hauwezi ukamwita ameiba degree. .……………..
.......Sidhani kama kuna mtu anasema Waziri ka-forge cheti.......Ndugu yangu hata ukitaka Cheti sasa hivi.......mimi naweza kumwambia mwanangu akakutengenezea PhD/Masters certificate nzuri sana........nikakupatia.......hautakuwa ume-forge


……. Ila hao watu are still qualified in their field of expertise in the countries ambazo zinakubali hizo certificate. ………..
No.........hayuko qualifield kwenye in the field of expertise kutokana na hiyo PhD feki kwani haikubaliki hata kwenye nchi hiyo hiyo alikoipata


…………..Alafu kitu kingine… watanzania we have to understand having a PhD isn't big deal. …………….
Let me assume you are correct.......then why rush for un-genuine Masters and PhDs


…………. What is the most important is can they manage the work they do? ……………..
Manage the work?.......which work.....remember specialised field need a specialised person......and ofcourse this differ in the level of education


…………. Thus is why in most developed countries they focus to be charted rather than having PhD as they know the difference………………
Wrong....because it depends na area/level unayofanyia kazi


……………………..Why do think watanzania wengi wanamaPhd na wanakosa kazi wakienda Abroad?............
Mwl Kichuguu naona keshakuwekea mfano mzuri tu...wa kwake yeye mwenyewe....
 
Last edited:

Mkuu hii sikuelewi. Nchi unazozungumzia zinapima excelency ya mtu kutokaa na kigezo cha elimu. Kuwa na PhD ni big deal na ndio maana hao wengine wamezisotea, na hata huko kwa walioendelea nako wanaziheshimu. Kukosa kazi kwa PhD holer hakuna maana kuwa hawathaminiwi maana yake ni kuwa soko la ajira limejaa kwa watu wa aina ya huyo mwenye PhD. Hizo most of deleveloped countries ambazo unasema hazi-focus sana kwenye elimu ni zipi? Kama hazi-focus kwa nini zinavyuo vingi na zinafundisha watu wake kwenye leel hiyo? Au kwao elim ni kama entertainment???
KAma PhD ni ya kuokota au wameipata kwenye chuo ambao ni cha level ya chini, ambacho hakitambuliwi kuwa kimefika standard tunayoitaka, ina maana uwezo wao ni wa chini. Hata ukiagalia uwezo wa serikali ya sasa ni mdogo sana kwa kuwa title za walioko serikalini ni tofauti na uwezo wao. Na PhD huwa haziw defended kwenye magazeti, kuwa na panel ya watu ambao wanakuulia maswali waone uwezo wako wa kuchanganua kiuyakinifu. Kwa hiyounaweza kuona hata defending yao si academic, kwa hiyo inaconfirm hypothesis ya kuwa ni PhD ambazo hazifikii kiwango cha kitanzania.
 

Mkuu, kama mwenzetu una degree ya New Zealand, basi elimu imeharibika kila sehemu, si Tanzania tu! Sijarishishwa na jinsi unavyojieleza na vilevile nashindwa kuona tofauti yako na hao graduates wa UDSM unaodai "hawajui kitu"!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…