Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
wewe leta mambo hapa jamvini kila mtu aone, PM za nini tena mkuu!!!?Nipe kazi hii nitaifanyia kazi kwakuwa Plot number na Block zipo nitaenda site kuhakikisha....
Na hizi nyaraka nitazichunguza....anayetaka ripoti anipm maana niko jikoni mafaili yalipo