Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
Nothing personal, hivi Ngeleja ana biashara gani? Ni mkopo? Ni mshahara wake tu? Isijekuwa ni mgawo wa DOWANS...
Hizo apartments zilijengwa na msomali mmoja anaitwa Mohamed amesajili kampuni inaitwa AFRICAN VILLAGE ESTATE zipo msasani nimepata kuziona zipo Block A,B,C alikuwa anaziuza 350,000/-usd ni sahihi kabisa!