Macos
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 1,979
- 1,416
Kama wewe ni mbunge..peke yake unatia kibindoni shillingi zaidi ya 10,000,000 kwa mwezi, sasa kama na uwaziri basi mshahara juu zaidi, nyumba bure gari na dereva bure, umeme bure maji bure , unasafiri hapa na pale unastahili allowance..kwa uchache ,waziri kwa mwezi anaondoka kwa halali kabisa na zaidi ya shillingi 20,000,000 sasa kama waziri sio mlevi wa ulevi na wanawake basi hardly matumizi yake hayatozidi 5, 000,000 kwa mwezi si anapata kila kitu bure???
Hoja yangu hata bila ya rushwa unaweza kununua nyumba kama hizi hata 5 akilmaliza miaka yake 5 au 10 kama waziri .
Hoja yangu hata bila ya rushwa unaweza kununua nyumba kama hizi hata 5 akilmaliza miaka yake 5 au 10 kama waziri .