nafikiri hapo ni swala la naming tu, kuna Block ya Site, Blocks letters za majengo kama yapomengi, blocks kwa maana ya floors kisha apartments numbers, nahisi walichemka kwenye kutoa majina.Mkuu Invisible heshima mbele!
Tunashukuru kwa taarifa. Ila kutoka kwenye exhibit 1 inasomeka Block A, Apptmnt A4 na 1st floor, Sep. Title 84881/10.
Kwenye Sep. Title ni No. 84881/17 na ni Block A iliyobadilishwa kusomwa C na Apptmnt C5 Second Floor. Exhibit 2.
Na umeweka picha ya Block C kwenye Exhibit 3.
Anaweza kuwa ameuziwa mbuzi kwenye gunia. Bongo hii!
Hivi mbona kwenye picha hakuna Block A? mimi naona Block C ama ni kama hii?. Halafu mbona hati yenyewe yaonekana kama zile za ,miaka ya 80? wakati hii yaonekana ni ya 2010?!!!. nauliza tu isije ikawa ni Photoshop?
Lakini kama ni kweli basi TWAFA
Unadhani itakuwa photocopy ya kitu gani? we nawe akili zako, hovyooooooooooo!
Kamanda;Nothing personal, hivi Ngeleja ana biashara gani? Ni mkopo? Ni mshahara wake tu? Isijekuwa ni mgawo wa DOWANS...
Hivi hiyo figure ya $350,000. 00 imetoka wapi? Manake mi siioni kwenye hizo images zilizobandikwa hapa
Hivi hiyo figure ya $350,000. 00 imetoka wapi? Manake mi siioni kwenye hizo images zilizobandikwa hapa
Invisible atakuwa amefanya survey mwenyewe maana na mimi sijaona:target:
Hivi 'Uwaziri' ni DEAL?
Huyo mleta mada kaibuni tu hiyo, lakini haelewi kuwa hata vibanda vya Kariakoo ambavyo bado havijauzwa kwa sasa vina fetch zaidi ya hizo.
Mleta mada unazijuwa nyumba za Mbowe Uingereza na Dubai? na lile jumba la Disko pale Dar unaweza kutuambia kalipataje?
vijisenti tu hivo,
tuvijengo tu huto