kibori nangai
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 1,072
- 1,340
Hello This is a very good afternoon to everyone.
Nije kwenye kiswahili.
Hii nchii toka Mwamba toka Chato aondeke Mawaziri wamekuwa ovyo sana.
Zipo wizara ambazo zina umuhimu mkubwa sana katika nchi yetu kwa mstakabili wa kukuza uchumi lkn wala hao mawaziri sijawahi kuwaelewa nini wanazifanyia hizo wizara hakika.
1 . Huyu waziri wa sijui Viwanda na biashara sijawai kujua huyu mama anafanya nini na impact yake kwenye jamii ya watanzania kazi kujipendekeza kwenye hotuba zake anawaza kutaja jina la Samia mara 200 kwenye hotuba zake. Sijaona la maana alichonacho huyu dada wa Kondoa katka serikali hii. Reference Karikoo case in few days ago.
2. Wizara ya aridhi huyu mama sijui hata kazi yake kubwa nini migogoro kila kukichaa, toka Lukuvi ameondoka Wizara imebaki yatima na akawekwa mtoto wa Msoga ikaonekana itamuharibia political career katolewa chapuu kipenzi cha Mama. Reference budget yake imepita kibishi sana.
3. Mifugo na uvuvi Maskini Toka Mashimba ndaki atolewe pale tunaona huyu mzee wa mkuranga akipiga picha na waarable tuu hata sielewi.
Na weee ongeza za kwakoo.
Wito wangu kwa Rais
Hizo Wizara zitakupeleka ambako siko
Tafuta watu sahihi mfano Lukuvi sio mzee
Tafuta watu wenye kukuletea matokea
La mwisho hili la Bandari sikuungi mkono hata kidogo sitaki kuwa mnafiki
Sikia Sauti ya Watanzania walio wengii
Maana naona Nguvu kubwa inatumika
Sisi Watanzaia tulio wengi swala la bandari hapana.
Nije kwenye kiswahili.
Hii nchii toka Mwamba toka Chato aondeke Mawaziri wamekuwa ovyo sana.
Zipo wizara ambazo zina umuhimu mkubwa sana katika nchi yetu kwa mstakabili wa kukuza uchumi lkn wala hao mawaziri sijawahi kuwaelewa nini wanazifanyia hizo wizara hakika.
1 . Huyu waziri wa sijui Viwanda na biashara sijawai kujua huyu mama anafanya nini na impact yake kwenye jamii ya watanzania kazi kujipendekeza kwenye hotuba zake anawaza kutaja jina la Samia mara 200 kwenye hotuba zake. Sijaona la maana alichonacho huyu dada wa Kondoa katka serikali hii. Reference Karikoo case in few days ago.
2. Wizara ya aridhi huyu mama sijui hata kazi yake kubwa nini migogoro kila kukichaa, toka Lukuvi ameondoka Wizara imebaki yatima na akawekwa mtoto wa Msoga ikaonekana itamuharibia political career katolewa chapuu kipenzi cha Mama. Reference budget yake imepita kibishi sana.
3. Mifugo na uvuvi Maskini Toka Mashimba ndaki atolewe pale tunaona huyu mzee wa mkuranga akipiga picha na waarable tuu hata sielewi.
Na weee ongeza za kwakoo.
Wito wangu kwa Rais
Hizo Wizara zitakupeleka ambako siko
Tafuta watu sahihi mfano Lukuvi sio mzee
Tafuta watu wenye kukuletea matokea
La mwisho hili la Bandari sikuungi mkono hata kidogo sitaki kuwa mnafiki
Sikia Sauti ya Watanzania walio wengii
Maana naona Nguvu kubwa inatumika
Sisi Watanzaia tulio wengi swala la bandari hapana.