Mawasiliano na Mahusiano

wa unajitetea ... but kuna ile ya nakwenda motoni lakini nakwenda motoni nikiwa clean. Found guild out of cicumstances. Naimagine mwanamke/mume ambaye mkewe/mumewe amekuwa busy kwa muda mrefu (sijui kama tunakubaliana kuwa kuna wanandoa wengine wanakaa hata miaka miwili. mitatu wakiwa ignored simply because mume amejipatia mahali pa kulaza kichwa chake. Anahemea (Ingawa amepata pa kulaza kichwa chake.

How do we help??

Nakubaliana na wewe kwamba wapo watu ambao wanaweza kujikuta wameachwa njia panda na wenzao bila sababu yoyote ya msingi wala maelezo ya maana!

Hata hivyo siamini kama dawa yake ni kwenda kujianika uchi huko nje...Bado naamini kuwa mtu akiamua kuzini ni ameamua tu, kwani kuna watu wana mahusiano ya ajabu ajabu lakini hawatoki nje ya mahusiano yao.
 
Aksante Darl. Tunakubaliana lkuwa kuna sababu hakuna marefu yasokuwa na chanzo. Baadhi ya marefu haya ni
Kwa Mke
1. Mume kwa sababu moja au nyingine he doesnt find the wife attractive anymore- anaanza kudoubt penzi lake kwakev2. Baada ya kuwekwa kwenye himaya ya mume, mume akaamua kuyarudia makoloni au koloni lake na mapenzi yote kuhamia kwa small houses na yale maviapo ya laiti ningejua nisingemuoa. (Ikifikia hali hii jua kuwa uwezekano wa mke kumketisha mume chini kumweleza kuwa hapendi alivyobadilika siku hizi, ni ndogo sana. Mume atafanya juu chini asimpe nafasi mke kumbana.
2. Mume ameshamchoka, (after three to four years love lifespan yake imekwisha - kuwa alimwoa outs of infatuation and not love. Sasa all he feels kwa mkewe ni hatrage and hata muda wa discuss naye issues anaona kero e.t.c.

Mume:ri ikamtia jeu nzu1
1. Mke amepata kazi nzuri ikamtia jeuri na kumwona mume mwanaume suruali hana hali wala muhali
2. Mke amepata mshefa huko barabarani mwenye kumfanya amwone mumewe si mali kitu asimbabaishe (kumbuka victim hapa ni Mbaba anayenyimwa haki zake za ndoa. e.t.c.

Sasa hapa victims tunawashauri vipi kurejesha mawasiliano?????

...naam, naam.. angalau sasa tupo ukurasa mmoja, ndio maana nikasema wamefikaje hatua hiyo
ya kuamua kutembeza naniliu zao nje!...

Chanzo ni dharau, jeuri, kiburi, etc etc...period!!!
je, tuna haja kweli ya kutafuta mchawi aliyevunja "mawasiliano?"

"mawasiliano" yalivunjwa kwa makusudi mydarling...mimi sipendi wala sitaki kudharauliwa,
kurejesha mawasiliano kutawezekanika tu iwapo patafanyika U Turn ya ukweli ya wote wawili
kukiri makosa kwa kauli na vitendo...pia kujutia!

kinyume na hapo, hakuna kinachoweza sawazisha hayo.
 
Mawasiliano ndo kitu kinachotofautisha level ya mahusiano. Kama mwenza wako tunasema 'ur better half' halafu unawasiliana na jf (ni mfano tu) zaidi kuliko yeye,usitegemee mahusiano yako na mwenza wako kuwa better than yako na jf(ambapo utaongeza na communication kabisaa).
Ni kweli cheating is a premeditated action,tena a very well planned! Lakini kukosekana kwa communication ni chanzo cha yote. Hata mume kushindwa ku-communicate feelings zake kwa mke,mke ku-communicate na mume kuhusu matamanio yake kwake is all abt communication! Ila kwa wanawake tunajitahidi ku-communicate in the form ya 'kulalamika' na ukishaanza kuitwa vuvuzela ndo unaimalizia communication with the last nail. Mara ngapi umesikia mwanamke akimuambia mumewe 'sitakuuliza wala kulalamika juu ya hili tena,EVER!!' Na mume kujiskia sasa ndo uhuru umetangazwa? Na hii ya mwanaume kulalamika mkewe hapendi sex, samahani kwa kuwakwaza for nina hakika nitawakwaza,ni kosa la mume kushindwa kuwasiliana na feelings za mke! Kama flirting unayofanya na small house ungefanya half of it nyumbani mambo yangekua bam-bam,lol!mtu anondoka home asubuhi,anapotea kutwa anatokea saa tano usiku na pombe zilizochachia mdomoni halafu anategemea intimacy? Hiyo ni communication breakdown,trl wanahusika! Tofauti ya mzazi wako na mwenza iko kwenye communication tuuuu!narudia kuomba radhi kwa kuwakwaza
 
Mchumba wangu kapata kazi juzi juzi hata miezi miwili haijapita!! Tangu apate kazi, mawasiliano yamekuwa shida! sababu anachoka akirudi kutoka kazini anadai anaingia jikoni moja kwa moja! Na hata wakati wa weekend, nayo inakuwa shida kumpata!!

Nirudi nyuma kidogo! wakati hajapata kazi, tulikuwa tunawasiliana vizuri sana tena sana tu! Sasa hapo ndo napoanza kunusa harufu ya ama kuachana (which is not a solution at all) au kuvumilia huku nikijipa maumivu makali ya hisia za huyo mchumba wangu kunicheat. Kwa hiyo nachotaka kusema hapa, watu wanaobligation nyingi sana kwenye mahusiano! ukikuta wanamahusiano wako na furaha muda wote basi hao wanakitu kinachowaweka pamoja pengine kikitoweka wanaweza wasiwe na furaha tena kwani ni wachache sana siku hizi wanaweza kuvumiliana kutokana na previous life story zao.
 
kingast na Ashadii leo mtakula nini wapenzi niwaleteeni mmenifurahisha na post zenu ingawaje najua vidume vya humu ndani vitanuna si m2he9o
 
Nakubaliana a wewe asilimia mia kwa mia.


Kelvin sweetheart, msitari wangu wa mwisho unaelezea kabisa kuwa hakuna sababu yoyote inayokubalika kwa kucheat. Ishu yangu ipo kwenye hizo nukuu mbili. Cheating an lack of communication.

Chukulia mifano hii
Scenerio I. Mwanamke mwenye mumewe ambaye (kwa sababu anazozijua yeye) anamdharau, anamuignore, hamjali na kumwuumiza psychologically. Na mwanaume huyo huyo hana compromise wala haitaji discussion yoyote ndani ya nyumba hata kama analeta chakula, analipa ada kwa watoto n.k But hana intimacy na mkewe. Na kwa bahati mbaya mke huyu hana guts/ uwezo wa kuquit hiyo relationship (either watoto, jamii n.k)

Scenerio II. Mwanaume anayeishi na mke anayemdharau, hamjali, yeye na remote (kama mnavyolalamika hapa). Mke ambaye kushiriki tendo la unyumba ni nadra, e.t.c..

Jamii inapoombwa kutoa ushauri kati ya hawa, mara nyingi utasikia mwanaume anaambiwa ......Kiboko ya mkeo, mtafutie msaidizi (nyumba ndogo) atanyooka. Lakini mwanamke anaambiwa avumilie ndio maisha ya ndoa yalivyo!!

Tukisema tuapply communication skills hapa, hebu tupeni ujuzi wengine hapa, katika situation kama hii, unavunjaje ukimya??

mw1j, ni kwl tatizo hapa ni kubwa bt hujakabliana na tatzo lenyewe bdala yake unaanzsha anther prob, hb tuanglie mfano huu nymba yako inavuja na inakukera kweli sasa kwa sababu unaona huwez kutatua unaamua kuchoma moto paa lote, if thre is problm ni lazma uwajbke nalo syo kucheat, camon
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Topic ngumu hii Jamani... Inapasua kichwa ile mbaya!! Na Roho kuuma mno! I wish kwamba Mungu angeweka ukioa/olewa feelings zinafia hapo na wala huwezi pata hisia juu ya mwingine kamwe - Married life would have been So simple! Enways tuendelee.....

....lol...umenifurahishha sana....
hisia za nini?

hapa sasa inategemeana na kiwango cha imani yako...kama roho imetakasika
kila tamanio utaajua ni nguvu ya kishetani...lakini kama imani yenyewe ni ya viraka viraka, weee!....


Mawasiliano ndo kitu kinachotofautisha level ya mahusiano. Kama mwenza wako tunasema 'ur better half' halafu unawasiliana na jf (ni mfano tu)zaidi kuliko yeye,usitegemee mahusiano yako na mwenza wako kuwa better than yako na jf(ambapo utaongeza na communication kabisaa).
Ni kweli cheating is a premeditated action,tena a very well planned! Lakini kukosekana kwa communication ni chanzo cha yote. Hata mume kushindwa ku-communicate feelings zake kwa mke,mke ku-communicate na mume kuhusu matamanio yake kwake is all abt communication! Ila kwa wanawake tunajitahidi ku-communicate in the form ya 'kulalamika' na ukishaanza kuitwa vuvuzela ndo unaimalizia communication with the last nail. Mara ngapi umesikia mwanamke akimuambia mumewe 'sitakuuliza wala kulalamika juu ya hili tena,EVER!!' Na mume kujiskia sasa ndo uhuru umetangazwa? Na hii ya mwanaume kulalamika mkewe hapendi sex, samahani kwa kuwakwaza for nina hakika nitawakwaza,ni kosa la mume kushindwa kuwasiliana na feelings za mke! Kama flirting unayofanya na small house ungefanya half of it nyumbani mambo yangekua bam-bam,lol!mtu anondoka home asubuhi,anapotea kutwa anatokea saa tano usiku na pombe zilizochachia mdomoni halafu anategemea intimacy? Hiyo ni communication breakdown,trl wanahusika! Tofauti ya mzazi wako na mwenza iko kwenye communication tuuuu!narudia kuomba radhi kwa kuwakwaza

...thats the word dear!...

ukizidisha kiasi cha "kupunguza kuliko ilivyokuwa (awali!)" ...ndio chanzo cha vurugu zote hizi...
mnakumbuka niliwahi leta mdahalo kuhusu wheel of life?
lile gurudumu lina apply kotekote!


Mchumba wangu kapata kazi juzi juzi hata miezi miwili haijapita!! Tangu apate kazi, mawasiliano yamekuwa shida! sababu anachoka akirudi kutoka kazini anadai anaingia jikoni moja kwa moja! Na hata wakati wa weekend, nayo inakuwa shida kumpata!!

Nirudi nyuma kidogo! wakati hajapata kazi, tulikuwa tunawasiliana vizuri sana tena sana tu! Sasa hapo ndo napoanza kunusa harufu ya ama kuachana (which is not a solution at all) au kuvumilia huku nikijipa maumivu makali ya hisia za huyo mchumba wangu kunicheat. Kwa hiyo nachotaka kusema hapa, watu wanaobligation nyingi sana kwenye mahusiano! ukikuta wanamahusiano wako na furaha muda wote basi hao wanakitu kinachowaweka pamoja pengine kikitoweka wanaweza wasiwe na furaha tena kwani ni wachache sana siku hizi wanaweza kuvumiliana kutokana na previous life story zao.

....dahhhh pole kaka,.... you are not alone!
huenda kuna wataokuja na ushauri wa ajabu ajabu sana hapa,
kuna wataokushauri kumpunguzia mzigo muajiri house girl amsaidie japo
tayari mkeo anakuwa ameshachoka sana akirudi kazini!

mawasiliano tayari yeshaathirika hapa...msipouziba huo ufa kilio kitafuatia, pheeeww!
 
"Hata mume kushindwa ku-communicate feelings zake kwa mke,mke ku-communicate na mume kuhusu matamanio yake kwake is all abt communication! Ila kwa wanawake tunajitahidi ku-communicate in the form ya 'kulalamika'
Na hii ya mwanaume kulalamika mkewe hapendi sex"

king'asti umenena but, hapa nagundua kuna matatizo mawili, moja ni lack of comminication na la pili ni how to communicate,
hii ya kulalamika si njia nzuri ya ku-communicate hata kidogo tena inaweza kuongeza matatizo mengine ikaonekana wewe ni mlalamishi na hakuna
mwanaume anayependa mwanamke mlalamishi so ni lazima muwe wabunifu wa kujua nzuri ya ku-communicate.
 
MJ1 kama unaweka mizani, wanawake ndio wanaoongoza kwa ku-cheat ukilinganisha na wanawake. Kwa sisi waawake kucheat huchukuliwa kama moja ya maamuzi magumu baada ya kutendwa sana na kuvumulia vituko vya wanaume kwa muda mrefu
 
Nakubaliana na wewe kwamba wapo watu ambao wanaweza kujikuta wameachwa njia panda na wenzao bila sababu yoyote ya msingi wala maelezo ya maana!

Hata hivyo siamini kama dawa yake ni kwenda kujianika uchi huko nje...Bado naamini kuwa mtu akiamua kuzini ni ameamua tu, kwani kuna watu wana mahusiano ya ajabu ajabu lakini hawatoki nje ya mahusiano yao.
Babu nimekuelewa ni kweli kuwa hii si sababu ya kwenda nje ya ndoa. But leo Mjukuu wako Mtiifu mmenichanganya kabisa kwa sababu mwanzoni nilidhani hii kwenu huwa ni ticket halali ya kutoka maana hapa hapa nilishasoma sana mwanaume akijalalamika kuhusu mapungufu ya mkewe mnamshauri atafute nyumba ndogo!! Au ni mimi tu nlichanganya madawa?!
 

...ilikuwaje wakafikia hatua hii ya ndoa?

Kuna kitu kinaitwa kwa lugha ya malikia ;HOPE!

Mtu akipenda anakuwa na hope! yaani ubaya wote unaweza kuwa dhahiri na kwa macho ya wengine hata asieleweke lakini mume/mke huyu na HOPE mambo yatabadilika siku moja! Ana HOPE kuwa mwenza atagundua thamani ya umoja wao na atajirekebisha! bahati mbaya hii mara nyingi imetokea kuwa FALSE HOPE!

Hali inaharibika na kuwa mbaya mpaka inafikia hatu hii!
 
MJ1 kama unaweka mizani, wanawake ndio wanaoongoza kwa ku-cheat ukilinganisha na wanawake. Kwa sisi waawake kucheat huchukuliwa kama moja ya maamuzi magumu baada ya kutendwa sana na kuvumulia vituko vya wanaume kwa muda mrefu
Aksante Zinduna nafikiri ulimaanisha wanaume wanaongoza zaidi ya wanawake sio?!

Hiyo sababu uliyoitoa Zinduna ndio wenzetu hawa wanadai si sababu ya kukufanya utoke nje ya ndoa Ndio maana nikauliza what to do ili kumsaidia huyu mwanandoa anayenyanyasika asitoke nje ya ndoa na bado akafurahia maisha yake na si kukazana kumuhubiria avumilie avumilie tu. ?
 
.
ukizidisha kiasi cha "kupunguza kuliko ilivyokuwa (awali!)" ...ndio chanzo cha vurugu zote hizi...
mnakumbuka niliwahi leta mdahalo kuhusu wheel of life?
lile gurudumu lina apply kotekote!



Ni kweli mgogro huanzia hapo na hasa haya mabadiliko yanopotokea ghafla bila hata mwenza kuelezwa kwa upendo ikiwa kuna sababu ya mabadiliko hayo!

Mbu ninaomba link ya hiyo post ya wheel of life
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
...naam, naam.. angalau sasa tupo ukurasa mmoja, ndio maana nikasema wamefikaje hatua hiyo
ya kuamua kutembeza naniliu zao nje!...

Chanzo ni dharau, jeuri, kiburi, etc etc...period!!!
je, tuna haja kweli ya kutafuta mchawi aliyevunja "mawasiliano?"

"mawasiliano" yalivunjwa kwa makusudi mydarling...mimi sipendi wala sitaki kudharauliwa,
kurejesha mawasiliano kutawezekanika tu iwapo patafanyika U Turn ya ukweli ya wote wawili
kukiri makosa kwa kauli na vitendo...pia kujutia!

kinyume na hapo, hakuna kinachoweza sawazisha hayo.

We always tuko pamoja mpenzi wa roho yangu wala hapo hatuhitilafiani. Umeliweka vizuri kabisa aksante. Sasa tushajua chanzo na ikatokea mmoja wa hawa wawili hayuko tayari kufanya U turn na kurekebisha hali. Na yule anayeumia kwa neglection hana uwezo wa kuquit hayo mahusiano kwa sababu mbalimbali! Tunamsaidiaje asitoke nje ya ndoa? Maana kama ni hadithi za vumilia vumilia mh sometimez zinachosha nazo wakati wamwona mwenzio anarudi midomo imenona kwa mafuta ya vinono wewe wakaukiana tu ndani ka samaki wa kubanika kwa moshi!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
....lol...umenifurahishha sana....
hisia za nini?

hapa sasa inategemeana na kiwango cha imani yako...kama roho imetakasika
kila tamanio utaajua ni nguvu ya kishetani...lakini kama imani yenyewe ni ya viraka viraka, weee!....
!



Mbu unafikir Love ama tamaa ingekua ina apply logic zake moyoni yasitokee kungekua na shida... Hapa suala la kuoana ni lingine na... Ni wazi wengi wameona na wenza wao out of obligation more than Love... What happens pale unataka kuoa then unaenda kwenye familia za maadili mema na kueleza shida yako ya kutaka kuoa na wa-suggest binti ambae walau ana muelekeo.... YES wapata binti mzuri afaa kua mke kwa kila hali, mama mzuri na a responsible wife... and Yes you love her.... BUT It happens Mapenzi yalivokosa adabu out of NOWHERE You fall for another completly different person for reason even you yourself can not fathom....

Hapo ndo hio comment yangu nili-draw.... Take note: Sio kwamba nasapot but that is the reality of it....
 
Topic ngumu hii Jamani... Inapasua kichwa ile mbaya!! Na Roho kuuma mno! I wish kwamba Mungu angeweka ukioa/olewa feelings zinafia hapo na wala huwezi pata hisia juu ya mwingine kamwe - Married life would have been So simple! Enways tuendelee.....
Hahahaha AshaDii umewaza mbali mpenz but ni ukweli mtupu! Laiti ingekuwa hivyo. Mimi nilishashuhudia mahusiano ambayo mmoja wa wanandoa alijikuta kwenye wakati mgumu,ambao mwenzie alikuwa anamfanyia visa vya kila aina yaani ile ya mashati kurudi na milipstick, handkerchiefs za kike n.k lakini Mdada yule hakurevenge may be kwa sababu alikuwa na guts za kuquit. But kwa yule ambaye hana guts hizo, kuna mbinu yoyote ya kumsaidia akamketisha mumewena kuongea nae?
Maana ni wazi hali ikiendelea vile bila matuimaini huyu mdada atakuwa vunerable na yeyote atakayempa attention na kuonyesha kumjali anaweza akamshawishi naye akashawoishika.

The same kwa mwanaume anayedharauliwa na mkewe na hana uwezo wa kumwacha pengine naye watoto au jamii inamzuia
 
Kuna kitu kinaitwa kwa lugha ya malikia ;HOPE!

Mtu akipenda anakuwa na hope! yaani ubaya wote unaweza kuwa dhahiri na kwa macho ya wengine hata asieleweke lakini mume/mke huyu na HOPE mambo yatabadilika siku moja! Ana HOPE kuwa mwenza atagundua thamani ya umoja wao na atajirekebisha! bahati mbaya hii mara nyingi imetokea kuwa FALSE HOPE!

Hali inaharibika na kuwa mbaya mpaka inafikia hatu hii!

Maskini_Jeuri umenena! Hiyo HOPE hiyo ndio inatuponza wengi! Na on your way kuisubiria hiyo HOPE kama itakuwepo! Ndo mtu anakuwa vulnerable! Atokee rafiki anayemwonyesha kumjali kidogo tu!
 
MJ1 kwanini lawama ziende kwa partner wakati maamuzi na tendo la kucheat hakulifanya yeye??
Kwanini watu wawe na visingizio vya ''alinifanya..alinisukuma kutoka nje ya mahusiano'' wakati hakushikiwa mtutu wala mwenzake hakumshika mkono mpaka gesti hausi na kumkabidhi kwa huyo anaecheat nae???
Kwanini lawama ziende kwa partner wakati pengine hata hajui kwamba mwenzake ana matatizo nae??
Kwanini partner alaumiwe kwa uoga wa cheater (kung'ang'ania ndo isiyofikia matakwa na matarajio yake) ?

Cheaters wanaamua wenyewe kucheat...wanaondoka wenyewe majumbani mwao na kwenda huko wanakocheat bila msaada wowote toka kwa wenzi wao hivyo lawama zote ni zao and no one else. Sometimes not even the one they are cheating with...it's their decion, their doing and they should own up to it.
Wengine unakuta hata hiyo intimacy na attention wanayosingizia ilikosekana na kuwapelekea kucheat hawajaonyesha kwamba wanataka kwa wenzao. Mtu anaecheat na kurudi kulaumu watu wengine isipokua yeye mwenyewe simheshimu....ukiamua kutoka nje ya mahusiano ukakamatwa kubali kwamba u-responsible.
 
Back
Top Bottom