Mawakili wa Serikali kukata rufaa kwenye kesi ya Mbowe, Wana lengo la kuifanyia "delaying tactics" katika kesi hiyo?

Mystery

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
15,484
30,160
Tumewasikia hao mawakili wa Serikali wakikata rufaa kwenye kesi ya Mbowe, iliyopo Mahakama Kuu, wakidai kuwa hao mawakili wa upande wa utetezi, eti hawakufuata utaratibu Katika kufungua maombi hayo!

Imekuwa ni kawaida kwa hao mawakili wa serikali kufanya hiyo ninayoiita "delaying tactics" kwenye kesi ya Mbowe, kwani wanafahamu fika kuwa "at the end of the day" hiyo kesi ya kubambika, itatupiliwa mbali.

Hata hivyo niwaulize hao mawakili wa Serikali, hivi wanapata faida gani, kwa kumuona Mbowe, akiendelea kuteseka kwa kukaa gerezani kwa kipindi kirefu hivyo??

Hao mawakili wa serikali wanajua fika kuwa hiyo kesi waliyombambika nayo Mbowe ya ugaidi, haina dhamana, lakini pia wanajua kwa kwa mwenendo wa kesi hiyo unavyoendelea wataangukia pua huko mbeleni

Najaribu kufikiria kama Mbowe angelikuwa ni wao, wasingeliyaona hayo maumivu makubwa anayopitia Mbowe, kwa kusota gerezani kwa kipindi kirefu kwa kesi ya kubambika??

Ni vizuri kwa hao mawakili wa serikali wakawa na "sympathy" kwa Mbowe, ikiwa "kosa" tu la kudai Katiba mpya, ambalo ni hitaji la Umma wa watanzania, ndiyo inayompa mateso yote hayo!

Refer hit of the Nation wa Rais wa kitaa, ya msanii Ney wa Mitego
 
Tumewasikia hao mawakili wa serikali wakikata rufaa kwenye kesi ya Mbowe, iliyopo Mahakama Kuu, wakidai kuwa hao mawakili wa upande wa utetezi, eti hawakufuata utaratibu Katika kufungua maombi hayo!

Imekuwa ni kawaida kwa hao mawakili wa serikali kufanya hiyo ninayoiita "delaying tactics" kwenye kesi ya Mbowe, kwani wanafahamu fika kuwa "at the end of the day" hiyo kesi ya kubambika, itatupiliwa mbali.

Hata hivyo niwaulize hao mawakili wa serikali, hivi wanapata faida gani, kwa kumuona Mbowe, akiendelea kuteseka kwa kukaa gerezsni kwa kipindi kirefu hivyo??

Hao mawakili wa serikali wanajua fika kuwa hiyo kesi waliyombambika nayo Mbowe, haina dhamana

Wajaribu kufikiria kama Mbowe angelikuwa ni wao, wasingeliyaona hayo maumivu makubwa anayopitia Mbowe, kwa kusota gerezsni kwa kipindi kirefu kwa kesi ya kubambika??

Ni vizuri kwa hao mawakili wa serikali wakawa na "sympathy" kwa anayoyapitia Mbowe, ikiwa "kosa" tu la kudai Katiba mpya, ambalo ni hitaji la Umma wa watanzania!

Refer hit of the Nation wa Rais wa kitaa, wa msanii Ney wa Mitego
Sijakuelewa. Una maana huyu Kibatala aliyeweka pingamizi, ndiye wakili wa serikali na si wakili wa Mbowe?
 
Sijakuelewa. Una maana huyu Kibatala aliyeweka pingamizi, ndiye wakili wa serikali na si wakili wa Mbowe?

kifaulongo
Wewe hajawasikia mawakili wa serikali wakikata rufaa kupinga mawakili wa upande wa mshitakiwa kuleta pingamizi lao Katika Mahakama hiyo??

Kwa mwenendo wa kesi hiyo, ni pingamizi juu ya pingamizi!
 
Tumewasikia hao mawakili wa serikali wakikata rufaa kwenye kesi ya Mbowe, iliyopo Mahakama Kuu, wakidai kuwa hao mawakili wa upande wa utetezi, eti hawakufuata utaratibu Katika kufungua maombi hayo!

Imekuwa ni kawaida kwa hao mawakili wa serikali kufanya hiyo ninayoiita "delaying tactics" kwenye kesi ya Mbowe, kwani wanafahamu fika kuwa "at the end of the day" hiyo kesi ya kubambika, itatupiliwa mbali.

Hata hivyo niwaulize hao mawakili wa serikali, hivi wanapata faida gani, kwa kumuona Mbowe, akiendelea kuteseka kwa kukaa gerezsni kwa kipindi kirefu hivyo??

Hao mawakili wa serikali wanajua fika kuwa hiyo kesi waliyombambika nayo Mbowe ya ugaidi, haina dhamana, lakini pia wanajua kwa kwa mwenendo wa kesi hiyo unavyoendelea wataangukia pua huko mbeleni

Najaribu kufikiria kama Mbowe angelikuwa ni wao, wasingeliyaona hayo maumivu makubwa anayopitia Mbowe, kwa kusota gerezsni kwa kipindi kirefu kwa kesi ya kubambika??

Ni vizuri kwa hao mawakili wa serikali wakawa na "sympathy" kwa Mbowe, ikiwa "kosa" tu la kudai Katiba mpya, ambalo ni hitaji la Umma wa watanzania, ndiyo inayompa mateso yote hayo!

Refer hit of the Nation wa Rais wa kitaa, ya msanii Ney wa Mitego
Hawa mawakili wamuogope Mungu na wajifunze kwa Hamza Mohamed
 
kifaulongo
Wewe hajawasikia mawakili wa serikali wakikata rufaa kupinga mawakili wa upande wa mshitakiwa kuleta pingamizi lao Katika Mahakama hiyo??

Kwa mwenendo wa kesi hiyo, ni pingamizi juu ya pingamizi!
Lugha za kisheria zinabadilika kwa kasi sana, kumbe siku hizi pingamizi dhidi ya pingamizi ktk mahakama hiyohiyo na hakimu huyohuyo ni rufaa😂😂
 
Yeye mwenyewe mbowe ndiye anatumia delaying tactics ili kesi ya msingi isisikilizwe kwa kufungua kesi nyingine isiyo na mashiko ya kuwashitaki wanaomshitaki.
Mawakili wa upande wa kina Mbowe, wameleta pingamizi kwa ajili ya kujinasua, lakini mawakili wa serikali wameleta Katika kesi hiyo hiyo, pingamizi kwa lengo la kufanya delaying tactics!
 
Masheikh wa uamsho wamekaa gerezani miaka 7 kwa kesi ya ugaidi isiyo na ushahidi,tulipojaribu kuwatetea mlipinga sana kisa tu eti ni Waislam......!!
Magaidi wameutengenezea uislam sura ya nyongeza. Wakiwa kwenye mission zao wanajinasibu kuupigania uislam. Hii ndiyo sababu mtu unashindwa kupinga kwa nguvu zote mwislam anapohusishwa na ugaidi.

Lakini haikuwa haki wale mashehe kusota lumande kwa muda wote huo bila kuhumiwa.
 
Back
Top Bottom