Mawakili wa Chadema wajitoe tu kwenye kesi ya Mbowe!

MkanyageniKijiji

New Member
May 16, 2017
3
6
Mimi kama raia wa kawaida nisiye na chama chochote hapa Tz, napenda kuwashauri mawakili wa chama cha Chadema ambao wanamtetea Freeman Mbowe kwenye kesi ya ugaidi wajitoe mapema tu. Nimefuatilia sana hii kesi ya mbowe mwanzo mwisho nimegundua vitu vingi sana ikiwemo ukiukwaji wa mambo mengi sana na sarakasi nyingi zikiwa zinafanyika pale mahakamani. Kiuweli kabisa napenda kuwapongeza wanasheria wote wanaomtetea Mbowe kwa kipindi chotee lakini pia sio vibaya kama watafikilia na kuafikiana kwa pamoja kujitoa mazima kwenye kesi ya mbowe. Lengo kuu linajurikana kwenye kesi hii ni kumfunga Mbowe tu then kuja kumtoa kwa msamaha wa Raisi. Ndugu kibatala kama unasoma huu ujumbe nawaomba pumzikeni kwenye hii kesi ya ugaidi then serikali itajua nini cha kufanya. Mwishowe wa siku mtakuja kwa wananchi kuanza kulalamika wakati sisi wenyewe tunajua mwisho wa hii kesi ni nini. Watu wengi wanafahamu uwezo wenu ni mkubwa sana lakini hamtaweza kubadirisha kitu chochote hapo zaidi ya kuendelea kupotezana muda tu na kusumbua watu.
 
AIgmal.jpg
 
Kweli kabisa japo Nimemsikia Kibatala akizungimzia mahakama ya rufaa Ila huko nako ndio walewale tu.
Kabla rufaa nadhani washariane na washtakiwa. Ili wamkatae jaji. Nimeskia mahama ina kwenda likizo hadi januari 31. Sio mbaya kina Mbowe kumkataa jaji wakae magereza hadi muda huo kusubiria jaji mwingine. Kudai haki hakuna kikomo. Maamuzi mengi ya huyu jaji ana fanya watu wana chukiana huku mtaani. Namchukia polisi, naichukia mahakama. Maana hawatendi haki.
 
Mimi kama raia wa kawaida nisiye na chama chochote hapa Tz, napenda kuwashauri mawakili wa chama cha Chadema ambao wanamtetea Freeman Mbowe kwenye kesi ya ugaidi wajitoe mapema tu. Nimefuatilia sana hii kesi ya mbowe mwanzo mwisho nimegundua vitu vingi sana ikiwemo ukiukwaji wa mambo mengi sana na sarakasi nyingi zikiwa zinafanyika pale mahakamani. Kiuweli kabisa napenda kuwapongeza wanasheria wote wanaomtetea Mbowe kwa kipindi chotee lakini pia sio vibaya kama watafikilia na kuafikiana kwa pamoja kujitoa mazima kwenye kesi ya mbowe. Lengo kuu linajurikana kwenye kesi hii ni kumfunga Mbowe tu then kuja kumtoa kwa msamaha wa Raisi. Ndugu kibatala kama unasoma huu ujumbe nawaomba pumzikeni kwenye hii kesi ya ugaidi then serikali itajua nini cha kufanya. Mwishowe wa siku mtakuja kwa wananchi kuanza kulalamika wakati sisi wenyewe tunajua mwisho wa hii kesi ni nini. Watu wengi wanafahamu uwezo wenu ni mkubwa sana lakini hamtaweza kubadirisha kitu chochote hapo zaidi ya kuendelea kupotezana muda tu na kusumbua watu.
Mkipigwa kwenye sheria mnajifanya mnaonewa,
Mlizoea kuhonga mahakimu na majaji kisha mkajifanya maarufu huku mkitumia rushwa.
Pambaneni kwa uwezo wenu mkishinda basi na mkishindwa tulieni.
 
Mimi kama raia wa kawaida nisiye na chama chochote hapa Tz, napenda kuwashauri mawakili wa chama cha Chadema ambao wanamtetea Freeman Mbowe kwenye kesi ya ugaidi wajitoe mapema tu. Nimefuatilia sana hii kesi ya mbowe mwanzo mwisho nimegundua vitu vingi sana ikiwemo ukiukwaji wa mambo mengi sana na sarakasi nyingi zikiwa zinafanyika pale mahakamani. Kiuweli kabisa napenda kuwapongeza wanasheria wote wanaomtetea Mbowe kwa kipindi chotee lakini pia sio vibaya kama watafikilia na kuafikiana kwa pamoja kujitoa mazima kwenye kesi ya mbowe. Lengo kuu linajurikana kwenye kesi hii ni kumfunga Mbowe tu then kuja kumtoa kwa msamaha wa Raisi. Ndugu kibatala kama unasoma huu ujumbe nawaomba pumzikeni kwenye hii kesi ya ugaidi then serikali itajua nini cha kufanya. Mwishowe wa siku mtakuja kwa wananchi kuanza kulalamika wakati sisi wenyewe tunajua mwisho wa hii kesi ni nini. Watu wengi wanafahamu uwezo wenu ni mkubwa sana lakini hamtaweza kubadirisha kitu chochote hapo zaidi ya kuendelea kupotezana muda tu na kusumbua watu.
Akifungwa hawezi kutolewa kwa msamaha wa Rais!! Rais hana mamlaka ya kumsamehe na kumwacha hurj mfungwa wa uhujumu uchumi!!! Nboma ikitiki
 
Mimi kama raia wa kawaida nisiye na chama chochote hapa Tz, napenda kuwashauri mawakili wa chama cha Chadema ambao wanamtetea Freeman Mbowe kwenye kesi ya ugaidi wajitoe mapema tu. Nimefuatilia sana hii kesi ya mbowe mwanzo mwisho nimegundua vitu vingi sana ikiwemo ukiukwaji wa mambo mengi sana na sarakasi nyingi zikiwa zinafanyika pale mahakamani. Kiuweli kabisa napenda kuwapongeza wanasheria wote wanaomtetea Mbowe kwa kipindi chotee lakini pia sio vibaya kama watafikilia na kuafikiana kwa pamoja kujitoa mazima kwenye kesi ya mbowe. Lengo kuu linajurikana kwenye kesi hii ni kumfunga Mbowe tu then kuja kumtoa kwa msamaha wa Raisi. Ndugu kibatala kama unasoma huu ujumbe nawaomba pumzikeni kwenye hii kesi ya ugaidi then serikali itajua nini cha kufanya. Mwishowe wa siku mtakuja kwa wananchi kuanza kulalamika wakati sisi wenyewe tunajua mwisho wa hii kesi ni nini. Watu wengi wanafahamu uwezo wenu ni mkubwa sana lakini hamtaweza kubadirisha kitu chochote hapo zaidi ya kuendelea kupotezana muda tu na kusumbua watu.
Ushauri wa kitoto sana huu...

Halafu wakijitoa ili iweje? Ndiyo makosa (kama yapo) yanafutika, au...?

Mambo yako mahakamani. Ni lazima kila kesi iende mpaka mwisho bila kujali matokeo yatakuwaje...

Haki haipotei ila hucheleweshwa tu. Na mtu mwenye haki siku zote atabaki kuwa mwenye haki tu bila kujali wanadamu wanasemaje au wanahukumuje...

Yesu Kristo ni Mungu. Alishitakiwa kiuonevu kabisa. Hakuwa na kosa lolote. Pamoja na uwezo wake wote wa ki - Mungu ambao angeweza kuutumia kuwafanya lolote watesi wake, lakini hakufanya jambo hilo bali aliwaacha wapumbavu wafanye upumbavu wao na mwisho AIBU ilikuwa yao maana kila mmoja alilipa gharama ya uovu wake..

Hata hawa waache waendelee na hila na uovu wao lakini mwisho wao utakuwa ni AIBU na MAUMIVU makubwa na ya milele....
 
Mimi kama raia wa kawaida nisiye na chama chochote hapa Tz, napenda kuwashauri mawakili wa chama cha Chadema ambao wanamtetea Freeman Mbowe kwenye kesi ya ugaidi wajitoe mapema tu. Nimefuatilia sana hii kesi ya mbowe mwanzo mwisho nimegundua vitu vingi sana ikiwemo ukiukwaji wa mambo mengi sana na sarakasi nyingi zikiwa zinafanyika pale mahakamani. Kiuweli kabisa napenda kuwapongeza wanasheria wote wanaomtetea Mbowe kwa kipindi chotee lakini pia sio vibaya kama watafikilia na kuafikiana kwa pamoja kujitoa mazima kwenye kesi ya mbowe. Lengo kuu linajurikana kwenye kesi hii ni kumfunga Mbowe tu then kuja kumtoa kwa msamaha wa Raisi. Ndugu kibatala kama unasoma huu ujumbe nawaomba pumzikeni kwenye hii kesi ya ugaidi then serikali itajua nini cha kufanya. Mwishowe wa siku mtakuja kwa wananchi kuanza kulalamika wakati sisi wenyewe tunajua mwisho wa hii kesi ni nini. Watu wengi wanafahamu uwezo wenu ni mkubwa sana lakini hamtaweza kubadirisha kitu chochote hapo zaidi ya kuendelea kupotezana muda tu na kusumbua watu.
Wabadilishe mawakili wamtafute Amsterdam na litundu
 
Back
Top Bottom