Konseli Mkuu Andrew
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 740
- 855
Kuna kesi nyingi sana zilizofanyiwa hukumu na ambazo mashauri yanaendelea na wengi wa watuhumiwa ni kutokana kaya masikini sana ambao hawana uwezo wa kuweka Mawakili katika Mahakaman mbali mbali.Kwakuwa CHADEMA ni chama kinachopigania haki na demokrasia , kina program yoyote ya kuwasaidia hawa raia?
Hapa namaanisha sio hadi awe mwanachama wa CHADEMA .
Nawasilisha.
Hapa namaanisha sio hadi awe mwanachama wa CHADEMA .
Nawasilisha.