Mwana wa Mungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2008
- 1,003
- 83
Jamani, hivi kwanini watz wengine hawaonekani kuwapinga mafisadi? nikianza na Game theory aliyeko humu ndani, nakuja kwa sophia simba yule anayejifanya kusali makanisa ya kilokole kumbe anawaaibisha walokole bure, mkuchika na kikwete?
Nikianza na kikwete, kwanini anapata kigugumizi kuwashughulikia mafisadi papa?
sophia simba, ana nini cha kutuambia, au kwasababu ana mwili mkubwa?hahaha, akili nazo ni kubwa? anafikiri wao kama wanakaa masaki sisi sote tunakaa masaki?
wengine ni wengi, lakini hivi kwanini watz wengine hadi sasa hawajafunguka tu kuwapinga hawa mafisadi hata tukaandamana mtaani kuwalaani na kuwashinikiza wakamatwe watiwe pingu? hivi kama Game theory hivi, si anatia hasira zaidi jamani, watu hawa wanaongeza hasira kwa watz masikini, kwasababu ukweli upo na unajilikana ya kwamba KUNA MAFISADI WANAOTUMIA HELA ZETU KUTUTESA NA KUWAWINDA WATZ WENZETU. tukubali hii vita mafisadi washinde? watumie hela yetu sisiwenyewe walioiba ili kutunyamazisha na kutupiga changa la macho, kukodi majambazi kuwaua wapigania haki? tukubali kushindwa? kwanini? sasa kwanini watz wengine hasa wenye rungu, wanaonekana wana kigugumizi? hii inatia hasira, ngojeni mwakani wakati wa kampeni, patachimbika.
Nikianza na kikwete, kwanini anapata kigugumizi kuwashughulikia mafisadi papa?
sophia simba, ana nini cha kutuambia, au kwasababu ana mwili mkubwa?hahaha, akili nazo ni kubwa? anafikiri wao kama wanakaa masaki sisi sote tunakaa masaki?
wengine ni wengi, lakini hivi kwanini watz wengine hadi sasa hawajafunguka tu kuwapinga hawa mafisadi hata tukaandamana mtaani kuwalaani na kuwashinikiza wakamatwe watiwe pingu? hivi kama Game theory hivi, si anatia hasira zaidi jamani, watu hawa wanaongeza hasira kwa watz masikini, kwasababu ukweli upo na unajilikana ya kwamba KUNA MAFISADI WANAOTUMIA HELA ZETU KUTUTESA NA KUWAWINDA WATZ WENZETU. tukubali hii vita mafisadi washinde? watumie hela yetu sisiwenyewe walioiba ili kutunyamazisha na kutupiga changa la macho, kukodi majambazi kuwaua wapigania haki? tukubali kushindwa? kwanini? sasa kwanini watz wengine hasa wenye rungu, wanaonekana wana kigugumizi? hii inatia hasira, ngojeni mwakani wakati wa kampeni, patachimbika.