Mawakala wanne CHADEMA wafa ajalini

Mawakala wanne CHADEMA wafa ajalini

Siyo sawa kupoteza maisha yako kwa manufaa ya wengine, hata hivyo wapumzike kwa Amani, ...
Nlitegemea hii comment kwenye huu uzi.

Hvi viongozi wanapaswa kuwa wawakilidhi wa wananchi kwahyo wakichagua ndio anaenda kulink shida zao na serikali.

.... Sasa hapo amekufa kwa maslahi ya mgombea au ya kutumikia haki ya Raia wote ya kuchagua viongozi na kupata muwakilishi kwenye vyombo vya maamuzi?

Reasoning ya waTZ cjui ipoje.
 
Mawakala wanne wa CHADEMA wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa, katika ajali ya gari iliyotokea barabara ya Molo Sumbawanga mkoani Rukwa, Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa, Shadrack Malila amesema.

Endelea kufuatilia kwa taarifa zaidi



Mwenyezi Mungu Awarehemu, na majeruhi awaponye. Yote hii ni vile tunaipenda nchi yetu na tunataka kuchagua kiongozi makini kama hivi tutakavyopiga 28 Oktoba
 

Attachments

  • IMG-20201021-WA0002.jpg
    IMG-20201021-WA0002.jpg
    98.5 KB · Views: 6
Haikawii kusemwa kusemwa Ccm waliwalegezea tyre ya gari ndio sababu ya ajali,yote kwa yote Sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea.
 
Nlitegemea hii comment kwenye huu uzi.

Hvi viongozi wanapaswa kuwa wawakilidhi wa wananchi kwahyo wakichagua ndio anaenda kulink shida zao na serikali.

.... Sasa hapo amekufa kwa maslahi ya mgombea au ya kutumikia haki ya Raia wote ya kuchagua viongozi na kupata muwakilishi kwenye vyombo vya maamuzi?

Reasoning ya waTZ cjui ipoje.
Yana mwisho haya yote....!!! Na mwisho wao hauko mbali
 
Pole nyingi kwa ndugu, jamaa, na marafiki, waliopoteza wapendwa wao.
 
Back
Top Bottom