Acha ugasho sasa unamlaumu nani kwa kufa kwao? Lilaumu gariKikombe chenu cha uovu naona sasa kimejaa na mtapata pigo kubwa sana kabla ya tarehe 28 October. Mungu hadhihakiwi damu hizi lazima zilipwe.
Acha wafe tuMsiba mzito!
Acha wafe tu
Nlitegemea hii comment kwenye huu uzi.Siyo sawa kupoteza maisha yako kwa manufaa ya wengine, hata hivyo wapumzike kwa Amani, ...
Mawakala wanne wa CHADEMA wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa, katika ajali ya gari iliyotokea barabara ya Molo Sumbawanga mkoani Rukwa, Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa, Shadrack Malila amesema.
Endelea kufuatilia kwa taarifa zaidi
Jaribu kuwa serious kidogo. Usifikiri kila kitu ni siasa. Hili ni suala zito na linagusa familia piaHujuma za CCM
Yana mwisho haya yote....!!! Na mwisho wao hauko mbaliNlitegemea hii comment kwenye huu uzi.
Hvi viongozi wanapaswa kuwa wawakilidhi wa wananchi kwahyo wakichagua ndio anaenda kulink shida zao na serikali.
.... Sasa hapo amekufa kwa maslahi ya mgombea au ya kutumikia haki ya Raia wote ya kuchagua viongozi na kupata muwakilishi kwenye vyombo vya maamuzi?
Reasoning ya waTZ cjui ipoje.
Katika CCM wote, Ni wewe peke yako una roho ya utu. Tundu Lissu alipopigwa risasi tulishuhudia kauli za ajabu Sana, za kishetani kutoka kwa Wana CCMWapumzike kwa amani
Pole sana kwa familia za wafiwa, chadema na watanzania wote
Kwani CCM wameshawahi kuthamini maisha ya wapinzani? Mnazikumbuka kauli zenu za dhihaka mlizokuwa mkizitoa pindi Tundu Lissu aliposhambuliwa kwa marisasi?Jaribu kuwa serious kidogo. Usifikiri kila kitu ni siasa. Hili ni suala zito na linagusa familia pia