Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,209
- 40,650
Tuseme tu RIP.......
Hizo gharama nyingi ni kwa "saccos" tu au pia Vyama vingine
Pomoja na kushabikia ushogaRIP ,uchunguzi ufanyike
Natumaini mpo mbinguni saivi ,hongereni kwa kufa katika kupigania haki hakika umekufa kishujaa
Pole kwa nyingi kwa familia ya mawakala wetu.RIP mawakala.Mawakala wanne wa CHADEMA wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa, katika ajali ya gari iliyotokea barabara ya Molo Sumbawanga mkoani Rukwa, Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa, Shadrack Malila amesema.
Endelea kufuatilia kwa taarifa zaidi
Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi. Hawa ni mashujaa na lazima siku moja tutawakumbuka kama sehemu ya watu walioshiriki kuleta mabadiliko ya kihistoria TanzaniaMawakala wanne wa CHADEMA wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa, katika ajali ya gari iliyotokea barabara ya Molo Sumbawanga mkoani Rukwa, Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa, Shadrack Malila amesema.
Endelea kufuatilia kwa taarifa zaidi
Maana ya saccos ni nini?Hizo gharama nyingi ni kwa "saccos" tu au pia Vyama vingine
next ni mazeri wakoWafe tu![]()
Poleni makamanda,Pumzikeni kwa amani makamanda, kazi iliyobakia tunaimaliza asubuhi tu!
Kufika mbinguni ni rahisi kihivyo? Acha masihara basiRIP ,uchunguzi ufanyike
Natumaini mpo mbinguni saivi ,hongereni kwa kufa katika kupigania haki hakika umekufa kishujaa
Malikia kulikoni?? Maana kuwasiliana na Malikia ni jambo kubwa, au labda Malikia mwenyewe awe na akili za "hovyo" lakini I believe ni mtu muelewa, "Saccos" ni chama fulani cha siasa lakini organisation yake ni ya ki "saccos"Maana ya saccos ni nini?
Kwa watenda haki ni kitendo cha kufumba na kufumbua ila kwa wasio haki ni ndoto ya alinachaKufika mbinguni ni rahisi kihivyo? Acha masihara basi
Utende haki halafu uwe mzinzi na madhambi mengine ufike mbinguniKwa watenda haki ni kitendo cha kufumba na kufumbua ila kwa wasio haki ni ndoto ya alinacha
. Hizi imani hizi loh