Mawakala wanne CHADEMA wafa ajalini

Mawakala wanne CHADEMA wafa ajalini

Mpumzike kwa amani, tumshukuru Mungu kwa kila jambo.

Ni ajali kama ajali zingine,mipango ya Mungu isihusishwe na mambo ya siasa.
 
Wapumzike kwa amani safiri yetu moja.

Tumetoka mavumbini na tutarudi mavumbini.
 
Mawakala wanne wa CHADEMA wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa, katika ajali ya gari iliyotokea barabara ya Molo Sumbawanga mkoani Rukwa, Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa, Shadrack Malila amesema.

Endelea kufuatilia kwa taarifa zaidi


RIP ,uchunguzi ufanyike

Natumaini mpo mbinguni saivi ,hongereni kwa kufa katika kupigania haki hakika umekufa kishujaa
 
Back
Top Bottom