Mauzauza ya mke wangu

Mauzauza ya mke wangu

Daaah pole mkuu.
Kama hashaurik haamblki kaaz kwel kwel.
 
Kana bhono muraaa! Ai! Wewe ni kabira gani? Wacha uchinga muda, mwanaume ni ghichwa cha nyumba bhana, mleko hata kakofi mura!

Anyway, so much might be going on with her and huenda MNA unfinished and unspoken issues nyingi ambazo zinamfanya anakua hivyo coz kwake yeye anavyokufanyia ni anakutumia msg Fulani kwamba 'I want you to listen to me, something is not right'

Sasa ni wewe kujua kutafsiri.

Wanawake wameumbiwa kuto-react kwa muda mrefu/uvumilivu so unawezakua unafanyakitu wewe unaona simple ila yeye kinamkera anatunza...siku akichoka anaanza kukumbuka cha kwanza hadi mwisho, then ndo wewe unaona reaction hizo, ila kiuhalisia hayo ni matunda tu ya mambo yaliyo jaa ndani ambayo anaona hatendewi haki.

Nikushauri..

Badala ya wewe kukimbia nyumba, jitahidi uondoke na mkeo tu...nendeni mahali salama wawili tu, pateni muda wa kutafakari kilichowafanya mkaoana.

Sometimes love is not enough to keep your marriage. ...

Marriage is like any other project...work hard to make it work even at your expense.

Gudluck!
 
Punguza attention kwake kwa muda...
 
Piga chini wewe huyu sio mkeo acha kumsingizia na wanaume hebu tuoe watu waliotupenda sio kujifekisha
 
af hawa ndugu saazingine bila mashambulio ya kudhuru mwili ya hapa na pale hawaendi piga mke aisee asikuletee mazoea
 
¤ Kazi zote za nyumbani anamwachia dada wakazi.

¤ Kazini kwake amesha vuruga na wenzake karibia wote mpaka bosi wake.

¤ Kachukua mkopo 12m toka bank ya crdb hajanishirikisha mwezi wa tatu sasa nimeprove kwenye salary sleep zake.

¤ Hana muda nami tena tukiwa home yupo busy na raptop yake, nikitangulia kulala yeye anachelewa kuja kulala, akitangulia yeye busy tu na mambo yake.

¤ Mtaani amesha korofishana na watu kibao.

¤ Mtoto wetu na dada wakazi kila siku wana nambia wewe na mama hamko sawa myamalize.

¤ Hana story tena na ndungu zangu hawapigi simu hata wakimpigia hapokei akipokea majibu yake ni yamkato sana.

¤ Hashauriki hambiliki ,hanisikilizi kabisa.

¤ Majibu yake kwa sasa hanamuda wa kurumbana wala kumnyenyekea mwanaume mtumzima kama mimi.

¤ Sasa nafua mwenyewe nikiwepo nyumbani au dada wakazi.

¤ Ndugu hameshindwa kurudisha upendo unaooweka kila kukicha.

Nataka ni mnyoshe mkewangu wandoa naomba ushauri wenu.

Binafsi nataka niondoke nyumbani walau nikapumzike mbali na jiji hili for 6months.ushauri tafadhari.

Sasa bro chukua karatasi uigawanye mara tatu,upande mmoja andika dosari za mkeo,upande wa 2 andika dosari zako na upande wa 3 andika mkakati wa kujirekebisha basi utakuwa uneumaliza huu mgogoro
 
duh pole huo ndo mwanzo wa ndoa kuvunjika
 
pigia kura lowasa pindi mabadiliko yatakapotokea ktk nchi hii na mkeo atabadilishwa pia ta utafurahia na mtakua mmeresolve conflict in a simplest way,pigia kura lowasa ujionee iyo haina aja ya padre,mwanasheria wala shekh,lowasa tu anatosha
 
Kwanza vunja hiyo raptop

Raptop itakua ndo shida raptop
 
Pagumu hapo hivi huwezi kumpotezea mtafutie mke mwenza tu kwisha habari
 
Anakaribia kufa huyo mwache ndivyo walivyo wakiona 12m
 
Kama ndoa ishaexpire sasa, piga hesabu vizuri maana mwenzio mtonyo anao tafuta nyumba ndogo japo ukasafishe nyota halafu hapo panakuwa ghetto tu. Pole sana ndio walivyo hao na ukifanya mchezo anakusafirisha kwa sir God au nenda kwa babu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom