kwan
kwanza nikupe pole sana mkuu kwa yaliyokukuta,this is one of the ways we learn to be men.you gotta be strong,take everything with moderation,take things a little bit calmer.Angekuwa ni mke ningeshauri vinginevyo lakini kwa kuwa ni girl friend tu na siyo hata mchumba uliyemtolea mahari au kujitambullisha kwao,kaa nae chini,mwonyeshe ulichokiona then kwa upole kabisa mwambie unadhan "perfect match" yake ni huyo jamaa yake na siyo wewe.Usikubali kumsikiliza sana mwanamke,unaweza kupoteza misimamo yako.Mtakie maisha mema.Sioni kama kuna sababu ya kumuuliza huyo jamaa japokuwa ni kama ndugu yako,mdada mwenyewe atafikisha ujumbe kwa huyo ndugu yako.
Pia jipe muda,sasa hivi unaweza ukajiona huwezi kuimudu hali uliyonayo,unaweza hata kazini ukashindwa kwenda,hata kula ikawa shida kwa kuwa utakuwa unajiuliza kwanini kakutenda hivi,usiogope bro,take time,as time goes by,you will be ok.You will gain your usual strength.