Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 90,337
- 178,792
Ogopa matapeli🤣🤣🤣Kwa ninj
Ogopa matapeli🤣🤣🤣Kwa ninj
Positive meeting negative..!To be honest space wasn’t enough for us it was like a tornado meeting a volcano.
My growth threatened her, hers threatened me too. In the end, we parted for good. Though she still blames me whenever she calls… we were meant to be.
Basi tu sina interest na hao watu.Kwa ninj
🤣🤣🤣Walikufanya nini?Sina interest na wa migombani, iwe kaskazini au kanda ya ziwa.
Meku na nshomile, mie hapanaaaa.
🤣🤣🤣Ila haramu inazaa😂
Kauli za kujipa moyo!Kwani ngo'ombe anazeeka maini!?
Mkuu vip umepigwa na kitu kizito ?Uliacha au uliachwa? Kwanini?
Mliachana? Kwa vurugu au kimyakimya?
Uliachwa na faida au na hasara?
Mlijaribu kurudiana? Mliweza?View attachment 3572743
Anapishana na gari la pesaOgopa matapeli🤣🤣🤣
La mbege na stress labda🤣Anapishana na gari la pesa
Hahahah sawaLa mbege na stress labda🤣
Mahi, huwezi amini hawajawahi nifanya chochote, ila bas tyuuh sinaga interest nao kabisaa.Walikufanya nini?



Kwanini ulinidanganya?Hahahah sawa
Kuuuumbe ndio maana ulikuwa unawatetea🤔Jamani wa mlimani, wala makande, hao na mie ni humu tu humu tuu.
![]()
Kivip shindiiKwanini ulinidanganya?
Unajisahaulisha eeh!Kivip shindii
😂Basi poa hapo mkubwa
View attachment 3572756
Mmempelekea moto mpaka juzi naona kalia jukwaaniwa uchungu😂Pisi ya popoma gentamibangi GENTAMYCINE