Maumivu ya mapenzi ni zaidi ya msiba

Maumivu ya mapenzi ni zaidi ya msiba

Achana na gharama kuna vitu vingi sana vinavyokufanya kuwa mgonjwa,mnapotoka out mkiwa pamoja na promise kadha wa kadha na mkao wa chumbani unapovuta picha ndo unakufa kabsa
 
Naona baada ya kutendwa umekua muhubiri wa upendo teh teh teh

Unampenda mwanamke kama akikuacha huyo hupati mwengine kwani mama yako mzazi huyo

Kuna vitu vya kuweka mwanzo ila sio mapenzi
Wacha we, kwa hiyo we pesa Na mapenzi kipi bora
 
Hebu niadisie ilikuwaje maana sijui kwa nini upende hivyo.......dunia ina watu bil 9.5....na zaidi.....ukipenda huyo mmoja kiasi hicho hao wengine watapendwa na nani......?......
Angalizo ...Dunia haina watu bil. 9.5 ni bil. 7+
 
Pole....kweli mapenzi yanatesa sana maana inafikia wakati unaukataza moyo na kuupa sababu bilioni za kutomzimikia mtu lakini wapi....hausikii wala. Inakuwa ni vita ya ndani kwa ndani.
 
daaaah mapenzi yalinitesa sana zamani nusura ninywe sumu. ila siku hizi siumiii kabisa usiniulize kwanini. amini Mungu yupo. mtu special kwa ajili yako yuk. amini hivo tu na nafsi yako itapona.
 
Kama uliwekeza sana ndiyo maumivu ya mapenzi utayapata!Lkn sisi wasela wala hatuumii sababu unapiga "ndondokela"
 
Mimi mwenyewe mpaka sasa nina wiki mbili ninauguza moyo pamoja mazoezi ya kutopata hamu ya kula, kiukweli nilimpenda na alikuwa hana baba wakawa anaishi kwa ndugu tukapendana nikampa kila kitu alichostairi kupewa kama mwanamke akapendeza na tumedumu ndani ya miaka mitatu but kosa tukatengana mikoa yeye akaenda sengerema mimi nikabaki musoma na alikuwa na mimba angu mimba katoa na kuendelea kunichuna kwa kudai matumizi ya mimba nikawa natuma pesa pindi mimi niko chuo nimehitimu chuo nikaenda kumuona mama kijacho weeeee hata ukuta uliopigwa plista una mimba mtoto flat na kanimwaga kuniambia fadhira zangu atanilipa mungu jaman mpaka sasa naumwa
Pole aicee kiongoz,
 
Maumivu hutokana na malengo.
Ukiwa na lengo la kuolewa/kuoa mpenzi wako lazima umpende vilivyo.Utaoaje mtu ambaye moyoni yupo nusu? hivyo akikudump lazima uumie.
Wengine wana wapenzi watatu Au wanne na hawana mipango ya kuoa/kuolewa na yeyote kati ya hao.Hata waachwe kwao ni kawaida TU.
Upo sahihi sana mkuu...ILA hata huyo wa malengo mimi nilishaumizwa naye na nikakoma na kuamua kutompenda tena kwa 100%

Kwanza yuko wapi binti wa kumpenda kwa 100% sikuhizi?

USIJE KOSEA UKAMWAMINI MWANAMKE.
 
Wazee tunasema tu ila hutojua umependa mpaka pale unapoachwa au kusalitiwa ndipo unagundua unampenda nahuez endelea bila yeye
 
Back
Top Bottom