Maumivu ya mapenzi ni zaidi ya msiba

Maumivu ya mapenzi ni zaidi ya msiba

Naona baada ya kutendwa umekua muhubiri wa upendo teh teh teh

Unampenda mwanamke kama akikuacha huyo hupati mwengine kwani mama yako mzazi huyo

Kuna vitu vya kuweka mwanzo ila sio mapenzi



Nmekusoma mkuu,ila tunajifunza kutokana na makosa.vp hayajawah kukukuta?
 
Ila ushapona eee,hebu jaribu tenaaa chaaaa[emoji3] saiv utapata mkwel kabisaaa
 
Tunapoachana na wale tuliodhani kuwa wanatupenda kumbe wanatulaghai hatupaswi kulia wala kuangusha chozi na kupunguza maji yako ya mwili bali ujipongeze na kumshukuru Mungu kwa kukuondolea huyo kiumbe hatari maishani mwako....Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema anajua hata yaliyo nafsini mwa mtu na ndio maana kamwe huwa hamfichi mnafiki.....
Tunapotenganishwa na wanafiki na matapeli wa mapenzi haimaanishi kwamba tunapaswa kujutia yale yote tuliyoyafanya nyuma...bali tunatakiwa tujifunze kutokana na makosa ya nyuma...mwanadamu hakamiliki pasi na kufanya makosa....lakini kunahekima kubwa na busara kujifunza kutokana na makosa hayo....

Unachotakiwa kufanya ni kusonga mbele na kujiweka karibu zaidi na wale wenye upendo wa dhati kwako....

Imeandikwa kuwa tutawatambua kwa matendo....
 
Tunapoachana na wale tuliodhani kuwa wanatupenda kumbe wanatulaghai hatupaswi kulia wala kuangusha chozi na kupunguza maji yako ya mwili bali ujipongeze na kumshukuru Mungu kwa kukuondolea huyo kiumbe hatari maishani mwako....Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema anajua hata yaliyo nafsini mwa mtu na ndio maana kamwe huwa hamfichi mnafiki.....
Tunapotenganishwa na wanafiki na matapeli wa mapenzi haimaanishi kwamba tunapaswa kujutia yale yote tuliyoyafanya nyuma...bali tunatakiwa tujifunze kutokana na makosa ya nyuma...mwanadamu hakamiliki pasi na kufanya makosa....lakini kunahekima kubwa na busara kujifunza kutokana na makosa hayo....

Unachotakiwa kufanya ni kusonga mbele na kujiweka karibu zaidi na wale wenye upendo wa dhati kwako....

Imeandikwa kuwa tutawatambua kwa matendo....


Ahsante sana kwa ushaur wako mkuu.
 
Don't Blame Gravity for falling in love!


Bitchhhhhhhh
 
Pole sana...ulichosema kama mtu hajawahi kuexperience akae tu kimya...huwa nawashangaa wale wanaoconclude kwenye mahusisno ya watu et c umuache Huyo mwanamke/ mwanamme utafute Mwingine...aisee ni kitu ngumu sana kuachana hasa km ulipenda kwa asilimia 100
 
Pole sana...ulichosema kama mtu hajawahi kuexperience akae tu kimya...huwa nawashangaa wale wanaoconclude kwenye mahusisno ya watu et c umuache Huyo mwanamke/ mwanamme utafute Mwingine...aisee ni kitu ngumu sana kuachana hasa km ulipenda kwa asilimia 100



Ahsante sana mkuu kwa kulifahamu hlo
 
I feel you pain, hapa watakana tu ila everyman kuna a lady once broke his heart akaumia deeply, though we differ on how we mourn but inatokea. Naomba nikupe hongera kwa kuwa sasa UMEKOMAAA.You are now finally a REAL MAN
Kutokana na kuumizwa huko, moyo wako sasa unajenga ka immunity flani hivi, hutotokea kupenda mazima mazima tena ili usi experience the same pain, in other words...... Welcome to the play boys family brother.
 
koma kupenda gubi gubi .. penda kishakaji la sivyo utakufa eti unasema ukuoga na unalia .. kiruuuuuu pole bwana
 
I feel you pain, hapa watakana tu ila everyman kuna a lady once broke his heart akaumia deeply, though we differ on how we mourn but inatokea. Naomba nikupe hongera kwa kuwa sasa UMEKOMAAA.You are now finally a REAL MAN
Kutokana na kuumizwa huko, moyo wako sasa unajenga ka immunity flani hivi, hutotokea kupenda mazima mazima tena ili usi experience the same pain, in other words...... Welcome to the play boys family brother.




Hakika nmekomaa mkuu,soon nakaribia kwenye hyo family Tukufu.maana hamna namna
 
koma kupenda gubi gubi .. penda kishakaji la sivyo utakufa eti unasema ukuoga na unalia .. kiruuuuuu pole bwana


Ahsante miss chaga,yaan nimejifunza saana.siwez sahau kwa kweli.yaan ukichaa ulikuwa unaninyemelea
 
Pole mwenzangu! kuna watu wanajua kuigiza kama wahindi
 
Back
Top Bottom