Maumivu makali

Maumivu makali

Jipambe,acha ushamba,mfanye ajue unajua kua anachepuka,alafu kuwa ma furaha!aibu ipo upande wake hunahaja ya kupata jakamoyo
 
Nadhani sasa atakuelewa....Bata ukimchonoa sana utakufa na jakamoyo....

Ila mimi ningeshauri huyu mama ajitahidi kuelewa kuwa game inachezwa namna hiyo. Kama anataka kuendelea basi aongee na Muzee ili wakubaliane kucheza salama.

Siyo rahisi kustaafu kabla hujakamilisha vibarua vyako vyote....Kama hawaamini watuulize!

Babu DC!
kabisa babu....
vinginevyo atakufa mapema....
 
miaka 52 si anakaribia kustaafu huyo anatafuta wa kula nao pension
 
Pole kwa unayopitia dada Tina,

Hii kauli imenishangaza sana''Nilikuwa nina uhakika kwamba anachepuka lakini nikajipa moyo anatumia condom''
Kuchepuka ni tabia ya kutokujali, kwa tabia hii usitegemee mtu huyu kujali kutumia condom maana kama mchepuko ni wa muda mrefu huwa ndio condom zinasahaulika kabisa.

Najua shida yako ni maambukizo ya magonjwa ya zinaa hasa HIV-AIDS ,fanya maamuzi na chukua muda wako na uende kupima, miaka 38 bado sana usikubali babu wa miaka 52 akushike mkono kukuwaisha ahera.
 
We kapime afya tu ujue hali yako kisha lea wanao. Hizo tabia wanazo kama chembechembe zikikua ndo unakuja gundua kama hivyo. Haijawahi tokea mbwa akizeeka ageuke mbuzi lazima zilikuwepo dalili. Asikudanganye mtu, wanandoa wengi wachepukaji hawatumii hizo condom nadhani kale ka akili ka kuamini amini mtu ndo maana waathirika wa vvu wengi ni wanandoa.
 
Wakuu mnavyomshaur mtu muwe mnatumia lugha nzuri zinazomtuliza mtu. Km huna uwezo wa kuongea lugha hizo napendekeza ukae kimya. Mtu ana ttzo na linamuumiza moyo,we unaongea km mshenz flan hivi,why? Sio lzm uandike kitu bana.
 
Nadhani sasa atakuelewa....Bata ukimchonoa sana utakufa na jakamoyo....

Ila mimi ningeshauri huyu mama ajitahidi kuelewa kuwa game inachezwa namna hiyo. Kama anataka kuendelea basi aongee na Muzee ili wakubaliane kucheza salama.

Siyo rahisi kustaafu kabla hujakamilisha vibarua vyako vyote....Kama hawaamini watuulize!

Babu DC!



inataka moyoooo
 
Back
Top Bottom