Maumivu makali

Maumivu makali

Yeah nimemshukuru Mungu Kwa Yote na Nimemuachia Yeye anipatie mwanamke sahihi na bora
Kabisa, tena uzuri una vibaby viwili tayari khaa usijipe stress. Enjoy maisha, muda wako ukifika Mungu atafanya tu
 
Hahaha me naona hadi siku nidondoke kwa presha ndo ntaacha. Sasa wewe ni mtata, muache mwenzio ashike yako, yake usishike coz umeamua teh teh. Nipe umbea kidogo ulikuta breaking news gani humo

Hahahaaaaa!! Akuuu akitaka ashike at his own risk ila ndio marufuku kunihoji, we acha tu hiyo breaking news alafu nikajikaushaaa kama sio mimi nagugumia tu.
 
Wrong quote kivipi? Sijakuelewa

aah nimekosea miye bhana.. Nimeangalia kwa Macho kumchuzi... Niliyoyapitia mimi ungeyapitia wewe tungekuwa tunasema mengine mpaka muda huo
 
aah nimekosea miye bhana.. Nimeangalia kwa Macho kumchuzi... Niliyoyapitia mimi ungeyapitia wewe tungekuwa tunasema mengine mpaka muda huo

Mmmmh!! Kwakweli sijapitia maziiiito ya kukatisha tamaa, ila naona tu watu wanavyoteseka na mapenzi naishia tu kuwahurumia, pole mwaya utaja tu mpata aliye wako.
 
Mmmmh!! Kwakweli sijapitia maziiiito ya kukatisha tamaa, ila naona tu watu wanavyoteseka na mapenzi naishia tu kuwahurumia, pole mwaya utaja tu mpata aliye wako.

ahsante hata mimi naamini ipo siku nitaondokana na haya
 
nawakumbusha mabinti usije olewa na mzee ukaacha kijana mwenzako kisa eti watu wazima wametulia??!!! olewa na mtu roho yako imeridhia kutulia kutotulia ni tabia haiangalii umri yamewakuta wengi
 
..japo siku hizi hunipi tamu kama mwanzo...teh! Nakumbuka mwanzoni ulivyokuwa unanipa bila kukuomba..

Hahahhahah bora umefunguka yaani Ubize tu,sasa nakuja kwa kiasi ya Magufuli utakoma hapa kwa kazi tu.....
 
Mbona mzee kabisa huyo 52? Na tena si ajabu anachepuka na under 18
 
Back
Top Bottom