Maumivu makali

Maumivu makali

Siku dawa ya kuchepuka ikipatikana babu naomba unipe taarifa!


Bahati mbaya hutaweza kuinywa....wakati huo watu watakuwa wanakuimbia pambio na wengine kukurushia ile salamu ambayo huwezi kuiona (almaarufu, RIP)!!!

When driving, take care of speed and ensure you wear a seat belt all the times...!!
 
Pole sana Luv, but you are now a philosopher....You have been there, wala husimuliwi!

Ila kwa ufupi ni kwamba huyo mwanamume hakuwa riziki. Mume ambaye ni wako hawezi kufanya vitu kama hivyo mbele yako.

Mwenzio na uzee wote mbele ya Bibi nakuwa mdogo kama punje ya ulezi!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana Luv, but you are now a philosopher....You have been there, wala husimuliwi!

Ila kwa ufupi ni kwamba huyo mwanamume hakuwa riziki. Mume ambaye ni wako hawezi kufanya vitu kama hivyo mbele yako.

Mwenzio na uzee wote mbele ya Bibi nakuwa mdogo kama punje ya ulezi!

Ahsante, nimejifunza mengi.

Shida nyingine wanawake tunapenda sana kupekua ile simu ilikuwa na password ila nilikuwa najitahidi kuangalia bila yeye kujua anavyoitoa sababu aliweka pattern ilikuwa rahisi kukariri
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mpendwa Tina Buu kwa yaliyokufika. Hakuna kidonda kisichopona ila wakati mwingine kidonda hicho kinaweza kuchukua mda mrefu kupona kutegemea na ukubwa wa kidonda hicho na infections zilizomo kwenye kidonda hicho, hivyo hata wewe hayo maumivu na mawazo yataondoka tu kadiri muda inavyozidi kwenda endapo utajitahidi kusamehe na kusahau.

Pia nakushauri uende ukapime magonjwa ya zinaa hasa UKIMWI ili ujue kama umeathirika au la. Na kama hujaathirika basi ni vyema umshukuru Mungu na uchukue tahadhari ili usipate maambukizi. Na kama itatokea majibu yakasema kuwa umeathirika basi usikate tamaa kwani kuathirika sio mwisho wa maisha. Endelea kuishi maisha yako kama ulivyozoea huku ukiomba msaada wa Mungu ili kwa upendo na huruma yake kwako akuponye huo ugonjwa ambao umeupata pasipo kutarajia maana yeye ni muweza wa yote na hakuna kinachoshindikana kwake.
 
Last edited by a moderator:
Ahsante, nimejifunza mengi.

Shida nyingine wanawake tunapenda sana kupekua ile simu ilikuwa na password ila nilikuwa najitahidi kuangalia bila yeye kujua anavyoitoa sababu aliweka pattern ilikuwa rahisi kukariri

Hakuna sababu kabisa mdogo wangu.

Hata tuliokwisha staafu bado tunaishi kwa taabu pia. Kila ndoa ina changamoto zake. Hata hivyo, kila mwanandoa anatakiwa kutafuta mbinu za kumfanya aweza kuwa salama ili asijipe ugonjwa wa moyo.

Kuna mama alipata stroke na kupitiliza baada ya kumkuta mume wake juu ya beki tatu. Kama hakuna ulazima, achana na hayo mambo. Ukiona yamekushinda unakaa pembeni kwa sababu huyo mwenzi wako hamjapigwa superglue!

Kitu cha msingi ni kuhakikisha safari inaisha salama!
 
Fanya mpango tulipize kisasi jino kwa jino tu
 
Ahsante Dark City nimekuelewa sana. Me nilikaribia kuwa chizi.

Nipo huru sasa
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mpendwa Tina Buu kwa yaliyokufika. Hakuna kidonda kisichopona ila wakati mwingine kidonda hicho kinaweza kuchukua mda mrefu kupona kutegemea na ukubwa wa kidonda hicho na infections zilizomo kwenye kidonda hicho, hivyo hata wewe hayo maumivu na mawazo yataondoka tu kadiri muda inavyozidi kwenda endapo utajitahidi kusamehe na kusahau.

Pia nakushauri uende ukapime magonjwa ya zinaa hasa UKIMWI ili ujue kama umeathirika au la. Na kama hujaathirika basi ni vyema umshukuru Mungu na uchukue tahadhari ili usipate maambukizi. Na kama itatokea majibu yakasema kuwa umeathirika basi usikate tamaa kwani kuathirika sio mwisho wa maisha. Endelea kuishi maisha yako kama ulivyozoea huku ukiomba msaada wa Mungu ili kwa upendo na huruma yake kwako akuponye huo ugonjwa ambao umeupata pasipo kutarajia maana yeye ni muweza wa yote na hakuna kinachoshindikana kwake.


Ushauri mzuri sana ila umesahau kumwambia kuwa kazi ya mchungaji ni kuhakikisha hakuna hata kondoo mmoja anayepotea. Ajitahidi sana kumwokoa huyo kondoo (mume) hata kama mambo mengine yanasababishwa na uzembe wake!
 
Ahsante Dark City nimekuelewa sana. Me nilikaribia kuwa chizi.

Nipo huru sasa


Umekuwa huru kwa sababu ulistuka na kuwa mbayu wayu mapema. Halafu kwa jinsi hawa wajukuu zangu walivyo wajinga, unaweza kukuta anahangaika kurudisha majeshi!
 
Umekuwa huru kwa sababu ulistuka na kuwa mbayu wayu mapema. Halafu kwa jinsi hawa wajukuu zangu walivyo wajinga, unaweza kukuta anahangaika kurudisha majeshi!

Hahahahahahahahah hadi nimecheka kwa sauti kweli unawajua vzuri. Hadi mama yake mzazi anapiga simu mara kwa mara namuheshimu sana yule mama alinipenda na ananipenda kama mtoto wake wa kumzaa hivyo mwanaume anamtumia sana mama yake kunishawishi.
 
Ahsante, nimejifunza mengi.

Shida nyingine wanawake tunapenda sana kupekua ile simu ilikuwa na password ila nilikuwa najitahidi kuangalia bila yeye kujua anavyoitoa sababu aliweka pattern ilikuwa rahisi kukariri

Koh koh unanikumbusha juzi juzi hapa mamsapu akaniambia wewe umebadlisha password eeh.kumbe aliwahi kunisoma kimya kimya kwenye simu.wanawake mna mambo sanaaa
 
Koh koh unanikumbusha juzi juzi hapa mamsapu akaniambia wewe umebadlisha password eeh.kumbe aliwahi kunisoma kimya kimya kwenye simu.wanawake mna mambo sanaaa

Yaani hiyo mtu anakuwa anajidai yuko busy kumbe macho yote kwenye simu yako aone unavyotoa password
 
Siyo nyie tu....hata sisi tunajitahidi kuwasamehe....match zinapigwa kila upande mbona?

Umesahau mijadala ya wiki iliyopita ambayo ilitaka kuwatoa roho wanaume?

cc atoto, Asprin (".....kama wanaume wanacheat, na wanawake ni innocent, kwani wanacheat na miti"?), Kaizer

ndo hapo sasa.....mdada wa watu sijui kimemsibu nini kuyachokonoa asiyoweza kuhimili?
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahahah hadi nimecheka kwa sauti kweli unawajua vzuri. Hadi mama yake mzazi anapiga simu mara kwa mara namuheshimu sana yule mama alinipenda na ananipenda kama mtoto wake wa kumzaa hivyo mwanaume anamtumia sana mama yake kunishawishi.

Mbona kawaida mdogo wangu Luv,

Kwa binadamu wengi, kizuri ni kile tusichokuwa nacho sasa. Na kwenye mambo ya MMU, watu walitakiwa kujua kuwa wale wa nje ni wazuri kwa kuongezea pale unapongukiwa. Hawezi hata siku moja kukujazia kibaba.

Uangalie moyo wako tu... Kama uko tayari kwa jaribio jingine basi jitose. Ila ujue kuwa hata akivua gamba, nyoka anabaki kuwa yule yule na sumu haibadiliki!
 
Last edited by a moderator:
Sijaribu kabisa siku zote "jasiri haachi asili" Dark City
 
Last edited by a moderator:
ndo hapo sasa.....mdada wa watu sijui kimemsibu nini kuyachokonoa asiyoweza kuhimili?


Tatizo hawataki kukaa wakatusikiliza....hatukuvuka kwa sababu mto ulikuwa umekauka mkuu...Tulipiga mbizi kwa nguvu zote. Ila tukiwamegea, wanaweza kutafuta eneo la mto ambalo ni nafuu kuvukia!

Shida ya hawa wajukuu ni kutaka ligi!
 
Back
Top Bottom