Mauza uza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2008
- 2,094
- 1,375
​Una uhakika anacheza na k kweli???au anasaidiwa.Lazima atakonda tuuuu, kucheza na K kila siku unazan ni kazi ndogo
​Una uhakika anacheza na k kweli???au anasaidiwa.Lazima atakonda tuuuu, kucheza na K kila siku unazan ni kazi ndogo
Acha tu.Huyu mwanaume hata kama uislam umetoa fursa hiyo hii sasa ni too much!
Kuzaa anazaa nao vizuri tu na ana watoto wakubwa, binti yake mkubwa anaweza kuolewa sasa.
Kila siku atakuwaa analalamikaa mshahara mdOgo
Huyo sasa amezidi alafu huyo mke anaonekana hana furaha ya kuolewa au kwa kua wako wengi haha
Acha tu.Huyu mwanaume hata kama uislam umetoa fursa hiyo hii sasa ni too much!
Kuzaa anazaa nao vizuri tu na ana watoto wakubwa, binti yake mkubwa anaweza kuolewa sasa.
Hapo itakua imependwa pesa tu. Alafu jamaa kama amekonda hivi.
Ulivyoisimamishia kifua hii habari.., ka mke mwenza!!
Huyu kaka ana matatizo, huyu ni mke wa nne, ndani ya miaka kumi kama sikosei... Dah... Alikuwa na watu wazima wawili, halafu akaoa kadada fulani keupe sana kanafanya benk fulani sasa sikui imekuaje ameoa tena... Hao wanawake anazaa nao kweli..!
Sheria imesainiwa lakini haijatangazwa rasmi, tiririkeni cha mwisho mwisho...
wewe nini kinakukwaza hapo??.. ana wa treat vibaya wake zake?? anawatelekeza watoto anaozaa na hao wana wake??... hao wanawake wamelazimishwa kuolewa nae???...wasemeni watu kwa ubaya na kuwakosoa kama wametenda mabaya otherwise kama hajatenda vibaya na hajavunja sheria vipi mbinue midomo juu!!...
Jamani Maulid, yule dada mtu mzima kidogo, hlf Eshe, hawakutoshi tu ndg yangu? Aisee nimebakia nimekodoa tu hapa