oldonyosambu
Senior Member
- Apr 28, 2015
- 168
- 40
Wasamehe
Kalagabaho babu weeee.Usinipangie cha kusema.
wewe nini kinakukwaza hapo??.. ana wa treat vibaya wake zake?? anawatelekeza watoto anaozaa na hao wana wake??... hao wanawake wamelazimishwa kuolewa nae???...wasemeni watu kwa ubaya na kuwakosoa kama wametenda mabaya otherwise kama hajatenda vibaya na hajavunja sheria vipi mbinue midomo juu!!...
Hata kama,habari za huyu bwana nzito naogopa mie!
Weka habari wapwa zako tupo tutakuja kukuwekea dhamana mbele ya hakimu mkazi
Lazima atakonda tuuuu, kucheza na K kila siku unazan ni kazi ndogo
Mimi sioni kosa lake hapo, kwani kitabu kinaruhusu mwisho wangapi? Nini cha ajabu kama anatumia peza aliyovuna kwenye mkataba mpya na EFM?
Wapigwe tu maana hamna jinsi.
Kweli ya kwanza ni ya kwanza tu,anaoa na kuacha ila Eshe wapo pale pale hawaachaniYule mtu mzima mbona aliachwa zamani tu,yule mama alimuoa upgrade maulidi mno, Ila jamaa alimchuna kisawasawa, alivyotosheka akamuacha akabaki na mmoja, huyo mmoja akaenda kufanya kazi nje ya tz,jamaa akaoa mwengine, si chini ya mwaka jamaa akamuacha, Huyu jamaa ana hekaheka zake
Enzi hizo aya zinapitishwa enzi za mtume wanawake walikua wametulia wanajisitiri,wanawaheshimu waume zao,magonjwa yalikuwa hayapo,
Sasa hivi maradhi mengii mume akichepuka mke anajibu,wanawake wanakaa uchi,wamekua na tamaa,sasa hivi ukioa wanawake wengi ni unaongeza ugonjwa moyo tu,,mmoja tu anawashindaa sembuse wanne au watatu nguvu zenyewe hamna mnakula chipsi muda woteee haloooooooo
Shkamoo...!
Nguvu zipi unazungumzia?
Ana akili kweli huyu? Wenzake wanaongeza maghorofa yeye anaongeza wake!
Napita lakini Bofya...Kitenge: Afafanua skendo ya kuoa wake wengi â Global Publishers