mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,028
Na upande wa pili je? Usiniulize kuhusu hilo mwenyewe keshasema kuna watu anataka kuwatoa pesa sasa mimi mwenzio nitaishia kufungwa tu!
Hahahahaaa
Aaaah kumbe ngoja nikukumbie best, usikute hata tunaokupa like tukaunganishwa!!!
Upande wa pili upi nifah? au unamaanisha alichosema Dinazarde kwenye comment yake #71
Last edited by a moderator: