Maulid Kitenge avuta jiko tena

Maulid Kitenge avuta jiko tena

wanawake ku share uume kwa kisingizio cha iman inaruhusu!ni ukichaa kama vichaa wengine
 
uislamu mwisho wake wa4 lakini huu ni ukandamizaji na maonezi dhidi ya wanawake...watu huoa tu ili aonekane ilihali nafsin hana uhitaji wa nyama aina moja tofaut mabutcher tu!!
 
Maulid hajaanza kukonda leo! Nakumbuka mara ya mwisho kumuona akiwa anatangaza habari za michezo ITV nilishtuka sana kumuona maana alikua kakonda kwelikweli.
Nikamtafuta insta ili nijidhihirishie,nikakuta ni yaleyale!

Kujikamua kila siku si mchezo nifah, lazima ukate weight
 
Aaaah nimecheka!!!!

Hahahahaaa hiyo ndio dawa ya wanafki.Akikutuhumu usikatae, kubali tu halafu mchanganye naye kwenye tuhuma...
Take it from me, harudi tena!
 
Mhhhhh wanaume mna siri nyingi jamani! Naona umeongea kiume zaidi.......

eeeeh kumbe nimebumburua siri!!! ila ni kweli tunatumiaga nguvu nyingi sana kama unajituma lakini, halafu sasa ndo uongeze na hilo la kukutana na mionzi ya ke tofauti tofauti khaa lazima u-deteriorate
 
eeeeh kumbe nimebumburua siri!!! ila ni kweli tunatumiaga nguvu nyingi sana kama unajituma lakini, halafu sasa ndo uongeze na hilo la kukutana na mionzi ya ke tofauti tofauti khaa lazima u-deteriorate

Na upande wa pili je? Usiniulize kuhusu hilo mwenyewe keshasema kuna watu anataka kuwatoa pesa sasa mimi mwenzio nitaishia kufungwa tu!
Hahahahaaa
 
Back
Top Bottom