Maulid Kitenge avuta jiko tena

Maulid Kitenge avuta jiko tena

Hapo itakua imependwa pesa tu. Alafu jamaa kama amekonda hivi.

Maulid hajaanza kukonda leo! Nakumbuka mara ya mwisho kumuona akiwa anatangaza habari za michezo ITV nilishtuka sana kumuona maana alikua kakonda kwelikweli.
Nikamtafuta insta ili nijidhihirishie,nikakuta ni yaleyale!
 
Ha ha ha ha Ruttashobolwa naona mshahara wa EFM unafanya kazi....
 
Last edited by a moderator:
Mimi sioni kosa lake hapo, kwani kitabu kinaruhusu mwisho wangapi? Nini cha ajabu kama anatumia peza aliyovuna kwenye mkataba mpya na EFM?

Wapigwe tu maana hamna jinsi.
 
Maulid hajaanza kukonda leo! Nakumbuka mara ya mwisho kumuona akiwa anatangaza habari za michezo ITV nilishtuka sana kumuona maana alikua kakonda kwelikweli.
Nikamtafuta insta ili nijidhihirishie,nikakuta ni yaleyale!

Mbna km unahukumu afya ya mwenzako...unataka kumaanisha nn
 
Mimi sioni kosa lake hapo, kwani kitabu kinaruhusu mwisho wangapi? Nini cha ajabu kama anatumia peza aliyovuna kwenye mkataba mpya na EFM?

Wapigwe tu maana hamna jinsi.

Hebu toa hasira zako za mikia huku!
 
Mleta uzi jina lako limenikumbusha Thomas luchese(three fingers brown)hii mada ya kanga sichangii.
 
Lazima atakonda tuuuu, kucheza na K kila siku unazan ni kazi ndogo
 
"Raha ya Mume muwe wanne"nilibahitika kuona kanga imeandikwa hivyo.Kama ni kweli Bw.Maulid anao wake 4 wekeni majina yao ili tukiwaona tuwape heshima zao.
 
Hahahahaaa naona chemistry imegoma kabisa!
Ila kuna wanawake wana mioyo migumu sijapa kuona!

Kweli roho ngumu zaidi ya jiwe kwenye maji aisee ni hamu tu ya kuolewa au?
Mi siwezi hata kwa kulazimishwa.
 
Back
Top Bottom