nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
Mbona Slaa kaoa mtoto mdogo
Kakuoa wewe nini? umejipendekeza wee kakuchomolea sasa unaanza kutoa povu
Mbona Slaa kaoa mtoto mdogo
ukiruka stage utarudia tu tena bila kujijua.... Si makosa yake...
Mbona Slaa kaoa mtoto mdogo
MBONA ryan seacrest
KILA SIKU ANAKUJA NA DIFFERENT HAIR STYLES???
MBONA HAMSEMI
KWANI KATI YA RYAN SEACREST NA KITENGE NANI ANA HESHIMA DUNIANI??
NA NANI ANA UMRI MKUBWA KULIKO MWENZIE??
ACHA UNAZI
ukiruka stage utarudia tu tena bila kujijua.... Si makosa yake...
mmh si ndio celebrety life ilo unakuja vingine kila siku ili usichuje, age no. tu mbona.
c naskia yule ni chakula.
Hata kama ni kweli haituhusu sisi ni maswala yao binafsi, Hata hivyo wote sijaona wapi wamekiuka sheria za nchi.
What's wrong with 'kiduku' style, kwa nini msiwashangae wanaoweka curl na kusuka nywele? Helen je? Na sasa hizo suruali mnaona zinavyovaliwa, eti ni swaga!!
huwezi jua,labda nyumba zake(wake zake)zinamsifia kuwa akinyoa hivyo ndio anakuwa mtanashati zaidi.kumbuka amekuwa akinyoa kiduku kwa mda mrefu sasa.Huyu mtangazaji wa muda mrefu tena mwenye haiba kubwa katika fani hii.
Jana nilimwona kwa mechi ya Twiga Starz, akiwa amenyoa KIDUKU a.k.a 'bwenzi'
Huyu bwana, kulingana na uzoefu wake na umri alionao, bila kusahau heshima yake kwa jamii, ni wa kufanya kitu cha namna hii?
Eti wadau...
huwezi jua,labda nyumba zake(wake zake)zinamsifia kuwa akinyoa hivyo ndio anakuwa mtanashati zaidi.kumbuka amekuwa akinyoa kiduku kwa mda mrefu sasa.