Baadhi ya maneno yaliyopo katika wimbo wa taifa wa Ukraine.
" we will lay down soul and body for our freedom "
"We will never let anyone be master in our land"
"We will stand in a fierce bloody battle,...".
Nimeangalia wimbo wa Russia nao maudhui yake yanafanana na tabia zake.
Nimeangalia wa Israel na wenyewe sishangazwi na yanayoendelea. Wanasema " Then our hope, the two thousand year old hope will not be lost, to be a free people in our land. The land of Zion and Jerusalem "
Nimeangalia wa Marekani na Uingereza napo sijashangaa ni kwanini wapo vile na ni kwanini wameendelea sana, na ni kwanini huwa wanataka kutawala hadi nje ya mipaka yao/Dunia.
Nikarudi wimbo wetu wa Taifa/Tanzania. Kwa kweli sijashangazwa na tabia ya nchi yetu kama Taifa. Maudhui ya wimbo wetu yapo KIROHO ZAIDI/MAOMBI na hakika ndicho tunachokipata, nchi imebarikiwa hasa rasilimali za Ardhi nzuri, Misitu, wanyama, milima ya kipekee, mbuga za utalii, Bahari, maziwa, mito na vijito, mvua ya kutosha, hali ya hewa ya kila aina nk.
Tuliomba kudumisha umoja na hakika Mungu alitusikiliza, tukaomba amani na hakika tumepewa.
Binafsi nafikiri tulitakiwa kufanya zaidi ya hapo, inavyoonekana wimbo wetu mwanzo mwisho ni Maombi NA NDIO MAANA TUMEKUWA TUKISUBIRIA NEEMA YA MUNGU KATIKA KILA JAMBO. Tulitakiwa kutaja fahari zetu, Ushujaa wetu, miiko yetu, upendo, uzalendo , utayari wetu, tunu zetu na malengo yetu KISHA TUNAMUWEKA MUNGU MBELE.
JAMANI ANGALIENI NYIMBO ZA MATAIFA MBALIMBALI MTAGUNDUA KITU
" we will lay down soul and body for our freedom "
"We will never let anyone be master in our land"
"We will stand in a fierce bloody battle,...".
Nimeangalia wimbo wa Russia nao maudhui yake yanafanana na tabia zake.
Nimeangalia wa Israel na wenyewe sishangazwi na yanayoendelea. Wanasema " Then our hope, the two thousand year old hope will not be lost, to be a free people in our land. The land of Zion and Jerusalem "
Nimeangalia wa Marekani na Uingereza napo sijashangaa ni kwanini wapo vile na ni kwanini wameendelea sana, na ni kwanini huwa wanataka kutawala hadi nje ya mipaka yao/Dunia.
Nikarudi wimbo wetu wa Taifa/Tanzania. Kwa kweli sijashangazwa na tabia ya nchi yetu kama Taifa. Maudhui ya wimbo wetu yapo KIROHO ZAIDI/MAOMBI na hakika ndicho tunachokipata, nchi imebarikiwa hasa rasilimali za Ardhi nzuri, Misitu, wanyama, milima ya kipekee, mbuga za utalii, Bahari, maziwa, mito na vijito, mvua ya kutosha, hali ya hewa ya kila aina nk.
Tuliomba kudumisha umoja na hakika Mungu alitusikiliza, tukaomba amani na hakika tumepewa.
Binafsi nafikiri tulitakiwa kufanya zaidi ya hapo, inavyoonekana wimbo wetu mwanzo mwisho ni Maombi NA NDIO MAANA TUMEKUWA TUKISUBIRIA NEEMA YA MUNGU KATIKA KILA JAMBO. Tulitakiwa kutaja fahari zetu, Ushujaa wetu, miiko yetu, upendo, uzalendo , utayari wetu, tunu zetu na malengo yetu KISHA TUNAMUWEKA MUNGU MBELE.
JAMANI ANGALIENI NYIMBO ZA MATAIFA MBALIMBALI MTAGUNDUA KITU