Mauaji ya watu 3 Ilala - Dar

Mauaji ya watu 3 Ilala - Dar

mie leo nimeogopa acha kabisa hata akili haijanikaa sawa nikasema najutaa kwenda boma asbh ya leo.
nimeamua kurudi ofcn hata kazi siwez kufanya kwa nilichokiona leo, tena bhana ni mita chache tu toka benk ya crdb

Ilala Boma, Bungoni kuna CRDB? nadhani umechanganya
 
Mkitaja bungoni nakumbua miaka ya mwanzoni mwa 80's kulikuwa na hotel mbili tu eneo hilo na nyingine cristal palace ilikuwa anaanza kujengwa.. Hiyo club ya wazee wakti huo ikiitwa Aviation. na YAMUNGU MENGI siku hizi New Yamungu mengi ambayo ndio ilikuwa barza yangu enzi hizo za Kampuni ya Tours ya Bungoni super auto garage chini ya maalim Ali.
 
Chadema bhana! Mnalalamika eti silaha Kova amegawa sana! Mkipewa masharti magumu ya kumiliki silaha mnaandamana! Chadema hopeless!

wewe ni -------- namba moja,puuuuuumbaaaaavuuuu zako....!? silaha,chadema na kuuwawa watu vinauusiaana nini, nyyyyyyyooooooo.
 
Haya manati ya mzungu mbona yanamilikiwa kiholela samaaa
 
Huu mwaka umetawaliwa na milio ya risasi na mabomu,sijui mwakani itakuwaje??,mungu atunusuru na awalaze mahala pema peponi waliotangulia mbele ya haki.

Utatawaliwa na wang'oa kucha na meno bila ganzi, pamoja na vitu vizito vyenye ncha kali!
 
Duh, poleni sana ndugu na jamaaa, ila kwa maeleo yako inamaana hao kwenye picha ni wengine tena sio akina dada uliowaeleza hapo?

Umeambiwa dereva na muuaji walifariki pale pale....mwanamke alifia hospital na mwingine kajeruhiwa mguuu....so usitegemee kuwaona hapo as walikimbizwa hospital..usiwe mvivu wa kusoma.,, kuelewa na kufikiri
 
Bunduki zipunguziwe masharti ili wengi zaidi tuzimiliki. Zinaleta heshima sana. Wenye hela mnatugongea sana mademu zetu. Vijana wachochole (hali ya kati) tunapata wakati mgumu sana kuoa maana dada zetu wachochole mmewaharibu sanaa. Kova we need more Gunz. Nasikia kigoma, mara, kagera zinapatikana kwa buku hamsini.
Sema wanakosea wanapoamua kujiua, inabidi wabaki ili watupe mkasa mzima.
 
Muuaji anaonekana alikuwa na shabaha! alikuwa analenga kichwa tuu.
Msiwasifie hawa vijana wataenda kuapply kwa wenzao,kwa case ya ufuo saro moja humu alisemaga jamaa alikosea kupiga kwa kuacha wengine hai' unaona huyu alichokifanya kaua wote! wengine wanayabeba ya humu kama yalivyo!Mungu awahurumie wapunzike kwa amani,pole kwa ndugu jamaa na jamii nzima!
 
Duh, poleni sana ndugu na jamaaa, ila kwa maeleo yako inamaana hao kwenye picha ni wengine tena sio akina dada uliowaeleza hapo?
naam mimi mwenyewe nimeshindwa kupata connection ya picha na habari ya wasichana na mama wa msichana!
 
Aah yale yale ya mushi, mlengwa amepona ameuwawa shdmeji na mume mwenza. Ila kina mangi wameamua mwaka huu

Mume mwenza hajafa,na hakuwemo kwenye gari,huyo driver inaaminika ni shemeji yake Alfa(nafikiri ana undugu na mume wa marehem Alfa)....mumewe yuko salama salimin......worse enough marehem kaacha mtoto wa miezi miwili hv......so painful...!!!
 
huyu dogo anaishi mwanza. kaja dar na demu wake. huyu dogo aliyepigwa lisasi ni mdogo wa demu. hawa jamaa walikua wachumba. pole yao
 
haya majina pia yanafanana na yale ya akina ufoo...a.k.a machamez
 
Back
Top Bottom