Mauaji ya watu 3 Ilala - Dar

Hiyo ya Ilala Boma labda ni nyingine ila hii ya saubuhi ya leo kwenye saa moja unusu hivi imetokea karibu na klabu ya wazee, eneo kati ya Amana na Bungoni, na sidhani kama kuna benki ya CRDB hapo.

kwani Amana na Bungoni si ziko Ilala au?
 
I can't believe it...So sad, rest in peace my Friend Alfa, and poleni sana Tina, Nyokasi na mama
 

huu utakuwa ni UONGO sababu ata safari yenyewe ilikuwa CYPRUS siyo USA kaka wa marehemu ndio kasema.
 
Sasa jamaa kafaidika nini maana na yeye kajitoa uhai huku demu wake na mume mwenzake wanapeta,sasa bwana Mzava atajilia vyake kwa ulaiiiini bila hofu ya Bastola..,lkn mademu nyie mnakera hadi basi..,kalale panapokustahili Kamanda
 
daah.. Nilihisi kama naota... Nilisikia milio mie nkaendeleza usingizi... Duuuh.. Ntajalipuliwa nikiwa ndani... Hii naomba kuwaomba wadau.. Tafadhali.. Tena nawaombeni teeena... Mkiwa na mikasa... Weka hasira pembeni.. Ukiwa huna wa kuongea naye... Am a doc..and i can be of help.. Ingia humu.. Ni-tumie text... I will consult u... And if possible will reffer u to a specialist(psychologist)... For therapy... Hakuna ugonjwa mbaya kama emotional breakdown... Usimnyooshee mtu kidole kama halijawahi kukufika...
 
When I think of such things, I worry a lot, about the woman I will marry tomorrow. So saddening,
 
Sasa jamaa kafaidika nini maana na yeye kajitoa uhai huku demu wake na mume mwenzake wanapeta,sasa bwana Mzava atajilia vyake kwa ulaiiiini bila hofu ya Bastola..,lkn mademu nyie mnakera hadi basi..,kalale panapokustahili Kamanda
wewe hivi umesoma kilichoandikwa au umekurupuka toa usingizini..kawatwangwa wote sasa watapetea wapi au ulikuwa unamaanisha watapetea kuzimu
 
kusomesha mwanamke noma labda we mkeo na hata akiwa mkeo vyuoni huko sio salama
 
Kapuya naye atajiua

Keep watching..kwa jinsi alivyo traumatized huku watu kibao wakimpotezea ili wasubiri majibu ya juu.Anaweza jiona yupo mwenyewe mapema sana.

Natamani serikli imtumie akajilipue na Kagame ,avalishwe kikombora akafe nae km alivyamua jilipua na huyo binti.Anaweza kuwa terrorist mzuri kuliko wa Pakistan.
 

Duh hii ngumu kumeza, ila bado watu hawajifunzi sana kwa wanawake na wanaume waliopo.Ni rahisi kukuambia mpe muda wa kujifikiria, kisha anakupa kuwa hakuwa kafanya maamuzi sahihi...wapo maboya wengi tuu ambao hupewa clue mapema sana kuwa mwendo wa wachumba watarajiwa unaonyesha kuwa analea mke wa mwingine.Jamaa wanajifanya kuwa wao ndio wanajua..baadae wanapewa live kuwa hawapendwi,ndipo wanageuka tena kutaka ushauri ila bado wanakuwa wanasikilizia hata kasalamu kazuri tuu km ishara ya marudiano.Bora kusaisia binti bure, na kuoa demu wa elimu isiyo mbali sana na wewe.

Wapuuzi wengi w aaina ya muhongo huwa wanawapa maneno ya kejeli sana wanawake walio na wanaume wasio na shule kubwa hata km wana mafanikio na mapenzi.mwishowe mabinti wasio na msimamo wanaingia line.
 
Kweli kabisa mkuu Ncholas! Kupenda sana napo mara nyingi kunamfanya mtu awe kama ZUZU, haoni wala hasikii la kuambiwa!

Ila tusiwanyoshee mademu tu kidole katika hili, maana.......kuna wanaume wengine huvumiliwa sana na mademu wakati wakiwa na hali mbaya kiuchumi, ili tukizipata tu ankara....tunawatosa, kisha tunatufata wengine wakutumia nao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…