Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 5,948
- 22,277
Nina yakini ingekuwa ni ndugu yako alieuliwa comment yako ingekuwa na swali tofauti kabisa.Wamejitakia, kwa nini ufanye biashara ya mkaa bila kufuata sheria?
Nina yakini ingekuwa ni ndugu yako alieuliwa comment yako ingekuwa na swali tofauti kabisa.Wamejitakia, kwa nini ufanye biashara ya mkaa bila kufuata sheria?
Hiyo kesi vyomba vya habari navyo kimya utafikiri haipo.Mibaba mizima inayopewa shikamoo na eti maofisa wa polisi na masharubu yao yanaua kijana mpambanaji pumbavu kabisa.Unakumbuka yule dogo mpambanaji aliyeibiwa na polisi hela zake za madini mtwara hadi wakamchoma na sindano ya sumu. Na dogo kwenda kudai haki yake kabla ya kumuua yani walivyomtreat utadhani jambazi wakamfungia nakumkalisha chini. Ndugu zake kufuatilia nao vitisho kutaka kubambikiziwa kesi. Mungu akasaidia maza kuingilia kati sijui kesi imefika wapi? Nachukia hawa watu watatu WAONEVU, WASALITI NA WADHULUMATI.
Ndio nakula kirahisi mamaako ananileaMs3n&3 wewe, kwaku we unakul unashiba kirahisi?
sawa police nao ni wadau wa matumizi ya silaha za moto,lakini habari hii inawahusu askari wa misitu.Tuendelee kujenga tabia hii ambayo itatufanya na sisi tuwe violence national, police hawaruhusiwi kutumia deadly force, unless maisha ya raia au ya kwake yakiwa hatarini, police state in the making, kulalama humu hakusaidii chochote ni push back ndio lugha hawa kenges watakayo isikia
No shortcut hapa, mnamaliza misitu halafu kizazi kijacho kitaishi vipi. Ubinafsi tu umewajaa. Gesi yote hii ya bei rahisi bado tu mnahangaika na mkaa tena mkaa haram.Una shida ya akuli? Kuna watu wezi na wanaiba n a kuuza maliasuli na bado wako ofisini. Je kwanini wasiwakamate
Wewe ukisoma neno police, unaelewa nini, tuanzie haposawa police nao ni wadau wa matumizi ya silaha za moto,lakini habari hii inawahusu askari wa misitu.
tuwe waaminifu wakati mwingine,sio kila lawama inahusu police.
Wakikamatwa hukumu yao wapande miti 10000 kila mmoja na elimu inatakiwa sana kila wakatiJapo kuua ni kosa kisheria.
Lakini watanzania wafate na kutii sheria wasitake huruma zisizo na msingi kutokana na hali zao za kiuchumi.
Maoni yako yamenitoa machozi mkuuWanaume tunapitia mateso sana ili familia iende,hapo ukute ana mke watoto wazazi wote wanamtegemea.
Hapo ni sawa na kumua mama kuku.

mungu akulaan wewe na kizazi chako kwa haya ulie andikaWamejitakia, kwa nini ufanye biashara ya mkaa bila kufuata sheria?
Kwani wewe mkuu unaelewa nini kuhusu neno police?,ngoja tusaidiane, ni official anayeangalia public order, fighting CRIME, law enforcer, mali asili kile kitengo chao cha enforcer ni police na wamepewa silaha za moto,hizi royal families zitatawala sana kwa upumbavu huukumbe maliasili ni polisi?
Umebadilika sana siku hizi, sioni ukiandika chuki za uislam, umekua mtu wa kujali utu zaidi kuliko dini.Norway police waliwaspray waandamanaji usoni weeee ilikuwa kasheshe iyo disciplinary committee ilikesha usiku kucha na jeshi la police kuomba msamaha halafu waandamanaji wenyewe walikuwa waarabu wakipinga uvamizi wa Gaza. Halafu hii mijitu haiendagi kanisani na haimjui Yesu lakini ina utu balaa. Cha kushangaza enzi ziko za giza darkness ages ilipokuwa inamjua Yesu ilikuwaga mikatili na mi7aji.
Siku ukiambiwa mjomba wako nae katembezewa risasi ndio utajua hujui.Wamejitakia, kwa nini ufanye biashara ya mkaa bila kufuata sheria?
Hahaha noted mkuuUmebadilika sana siku hizi, sioni ukiandika chuki za uislam, umekua mtu wa kujali utu zaidi kuliko dini.
Ni jambo jema, hongera pia kujua mkaya mkaa, mpalestina wa gaza wote ni binadamu wanahaki ya kuishi.
Shida ya hii nchi usipokuwa mtumishi wa umma unachukuliwa km wewe ni hasara.Wana jamvi habarini za wakati huu.
Jana majira ya saa sita usiku kuna mauaji yametokea yaliyosababishwa na watu wa maliasili.
Tukio hilo limetokea Mkoa wa Pwani, wilaya ya Kibaha (V), tarafa ya Ruvu, Kata ya Kwala, kijiji cha Kwala! ambapo watu wa kubeba mkaa maarufu kama booster wameuawa kwa kupigwa risasi na watu wa maliasili walipokuwa wakisafirisha mkaa majira ya usiku na kupita maeneo walipokuwa wameweka mtego maliasili.
Watu hao walipigwa risasi na mmoja wao akapoteza maisha hapo hapo, mwingine alifariki akiwa anapelekwa hospital leo saa sita mchana mara baada ya askari wa mlandizi kufika eneo la tukio, mtu huyo mmoja alishindwa kupata msaada wa kwanza kwa muda wa masaa zaidi ya 12 sababu kuu ikiwa ni zuio kutoka kwa watu wa maliasili huku akizidi kupoteza damu nyingi zaidi.
Maoni yangu
Hawa watu ni watafutaji kama watafutaji wengine, wameacha familia zao wakienda kutafuta maisha katika kipindi hiki kigumu tunachopitia watanzania wengi,
Hivyo basi, ni vyema maliasili kuongozwa na utu wakati wa kufanya kazi zenu, silaha ya moto itumike pale penye ulazima tena baada ya kuchukua precautions kama sheria inavyotaka.
Wanajukwaa tupaze sauti ili haki intendeke kwa ndugu wa marehemu, uchunguzi katika hili ninmuhimu sana, maana mauaji yamekuwa yakichukuliwa kama kawaida na hawa wanaojiita watu wa maliasili.
huu ni uonevu,kwani huo mkaa wanauiba?Wana jamvi habarini za wakati huu.
Jana majira ya saa sita usiku kuna mauaji yametokea yaliyosababishwa na watu wa maliasili.
Tukio hilo limetokea Mkoa wa Pwani, wilaya ya Kibaha (V), tarafa ya Ruvu, Kata ya Kwala, kijiji cha Kwala! ambapo watu wa kubeba mkaa maarufu kama booster wameuawa kwa kupigwa risasi na watu wa maliasili walipokuwa wakisafirisha mkaa majira ya usiku na kupita maeneo walipokuwa wameweka mtego maliasili.
Watu hao walipigwa risasi na mmoja wao akapoteza maisha hapo hapo, mwingine alifariki akiwa anapelekwa hospital leo saa sita mchana mara baada ya askari wa mlandizi kufika eneo la tukio, mtu huyo mmoja alishindwa kupata msaada wa kwanza kwa muda wa masaa zaidi ya 12 sababu kuu ikiwa ni zuio kutoka kwa watu wa maliasili huku akizidi kupoteza damu nyingi zaidi.
Maoni yangu
Hawa watu ni watafutaji kama watafutaji wengine, wameacha familia zao wakienda kutafuta maisha katika kipindi hiki kigumu tunachopitia watanzania wengi,
Hivyo basi, ni vyema maliasili kuongozwa na utu wakati wa kufanya kazi zenu, silaha ya moto itumike pale penye ulazima tena baada ya kuchukua precautions kama sheria inavyotaka.
Wanajukwaa tupaze sauti ili haki intendeke kwa ndugu wa marehemu, uchunguzi katika hili ninmuhimu sana, maana mauaji yamekuwa yakichukuliwa kama kawaida na hawa wanaojiita watu wa maliasili.
Kenge mamako lazima maliasili ilindwe kwa nguvu zote. Walikuwa wanapima kina cha maji.Tuendelee kujenga tabia hii ambayo itatufanya na sisi tuwe violence national, police hawaruhusiwi kutumia deadly force, unless maisha ya raia au ya kwake yakiwa hatarini, police state in the making, kulalama humu hakusaidii chochote ni push back ndio lugha hawa kenges watakayo isikia
Panga na kisu siyo silaha? Unakata amri halali ya askari badala yake unamshambulia? Lazima uwahishwe.Huyo jamaa nimemshangaa sana!
Unatumia risasi kwa mtu asiyekuwa na silaha.