Ajaye
JF-Expert Member
- Sep 25, 2020
- 334
- 621
- Thread starter
- #41
Reasoning hawana wakuuKwa Nini hao askari wasiwe bize kulinda hyo misitu isivunwe,wakati mwingine mkaaa unaweza Toka kwenye shamba la mtu .wabunge wa sisi emu hawawezi kututetea wananchi wa Hali ya chini,tunalazimiahana kutumia gesi ambayo hatuimidu gharama zake