Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 7,516
- 12,649
Tangu wapewe vile vi cruiser vyao vya 0..ju.. wamekua kama wamewehuka, Mungu awasamehe na marehemu wapumzike kwa amani
Hao sio majangili kwamba wana siraha mkuu si wanawakamata kama wanavyofanya wanachukua Mkaa na piki piki watazikuta mali asili kuliko kupotezeana Uhai aisee..Ukataji wa misitu labda
Ova
Alaaniwe aliyejimilikisha gas na genge lake aliloliita wawekezajiWatu hao walipigwa risasi na mmoja wao akapoteza maisha hapo hapo, mwingine alifariki akiwa anapelekwa hospital leo saa sita mchana mara baada ya askari wa mlandizi kufika eneo la tukio, mtu huyo mmoja alishindwa kupata msaada wa kwanza kwa muda wa masaa zaidi ya 12 sababu kuu ikiwa ni zuio kutoka kwa watu wa maliasili huku akizidi kupoteza damu nyingi zaidi.
Maoni yangu
Hawa watu ni watafutaji kama watafutaji wengine, wameacha familia zao wakienda kutafuta maisha katika kipindi hiki kigumu tunachopitia watanzania wengi,
Una shida ya akuli? Kuna watu wezi na wanaiba n a kuuza maliasuli na bado wako ofisini. Je kwanini wasiwakamateWamejitakia, kwa nini ufanye biashara ya mkaa bila kufuata sheria?
Labda kweli. Wazungu enzi hizo dark ages walivyoukuwa wakristo kweli kweli walikuwa makatili balaa. Lakini sasa hi hayana dini yana utu balaa.Kilichoturoga ni Dini Gulizoletewq, balaa linaanzia hapo
JWamejitakia, kwa nini ufanye biashara ya mkaa bila kufuata sheria?
If You Don't Have Any Shadows, You're Not In The Light.Wamejitakia, kwa nini ufanye biashara ya mkaa bila kufuata sheria?
So sad brotherAfrican we are not yet a complete human being .
So Fanya self-investment ili uwe civilized enough.
Then Anza kutafuta Certification and acceptance
Tafuta kibali kwa Mungu certifaction na tafuta kukubalika kea Mungu acceptance.
Kwa kushukuru Sana bila kulalamika , kuishi katika wewe na kuwa wewe authentic.
Kugusa Sana watu kwa kutotegema kulipwa na uliyemgusa.
Zingatia this formula
Source = God
Giver =
Taker
So be a giver in this life
Don't complain about anything embrace Love, Affection , kindness , humbleness, goodness .
Practice more gratitude .
Sure , ila sheria za kibongo zipo kwa ajili ya wanyonge tu apo ndio tatzo.Japo kuua ni kosa kisheria.
Lakini watanzania wafate na kutii sheria wasitake huruma zisizo na msingi kutokana na hali zao za kiuchumi.