The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,381
- 103,732
Aisee.

waiokutwa na umauti Mungu apumzishe roho zao kwa amani.Akili hii ingekuwepo kwa hawa askari! Basi Hakuna mtafutaji angewachukiaHaki huinua Taifa, bali uovu na dhuluma huliangamiza Taifa, wenzetu walioendelea(wazungu) wanabarikiwa zaidi naamini ni kwa ajili wanajali haki ya Uhai wa Mwanadamu pamoja na mapungufu mengine hili likizingatiwa vema linaweza kusababisha Taifa kubarikiwa
Hata kama angekuwa na silaha bado kwa askari mwenye mafunzo hakutakiwa kupoteza Uhai wake, tofauti ya askari na jambazi ni kuwa askari ana mafunzo certified ya kujilinda na kupmbana na uhalifu(walipelekwa range kulenga sehemu zaidi za kujeruhi ili kumkamata mhalifu na sio kumuua)Huyo jamaa nimemshangaa sana!
Unatumia risasi kwa mtu asiyekuwa na silaha.
Yani mkuu, umenifikirisha sana, kiukweli uhai wa mtu kwa gunia la mkaa kweli, na silaha hizo hizo zinawalinda mafisadi na watu wanaofanya hao askari kuishi maisha magumu.Wabongo bhana tunauana kwa sababu ya Mkaa daah Nchi masikini tunajali sana vitu kuliko Uhai..
kumbe maliasili ni polisi?Tuendelee kujenga tabia hii ambayo itatufanya na sisi tuwe violence national, police hawaruhusiwi kutumia deadly force, unless maisha ya raia au ya kwake yakiwa hatarini, police state in the making, kulalama humu hakusaidii chochote ni push back ndio lugha hawa kenges watakayo isikia
Hakika wengi wao hawajitambui na hawafanyi kazi kama wito bali bora liende hakuna namna wamejikutatu bora kwa sababu ni ajira, hii ni mbaya Sana lisipodhibitiwa, tunapokwenda hizi ajira za majeshi ya ulinzi na usalama inabidi waangalie suala la vettingAkili hii ingekuwepo kwa hawa askari! Basi Hakuna mtafutaji angewachukia
Aisee Una Moyo mgumu sanaWamejitakia, kwa nini ufanye biashara ya mkaa bila kufuata sheria?
Hawa jamaa siku hizi wanafanya kazi kwa hatari sana.Wana jamvi habarini za wakati huu.
Jana majira ya saa sita usiku kuna mauaji yametokea yaliyosababishwa na watu wa maliasili.
Tukio hilo limetokea Mkoa wa Pwani, wilaya ya Kibaha (V), tarafa ya Ruvu, Kata ya Kwala, kijiji cha Kwala! ambapo watu wa kubeba mkaa maarufu kama booster wameuawa kwa kupigwa risasi na watu wa maliasili walipokuwa wakisafirisha mkaa majira ya usiku na kupita maeneo walipokuwa wameweka mtego maliasili.
Watu hao walipigwa risasi na mmoja wao akapoteza maisha hapo hapo, mwingine alifariki akiwa anapelekwa hospital leo saa sita mchana mara baada ya askari wa mlandizi kufika eneo la tukio, mtu huyo mmoja alishindwa kupata msaada wa kwanza kwa muda wa masaa zaidi ya 12 sababu kuu ikiwa ni zuio kutoka kwa watu wa maliasili huku akizidi kupoteza damu nyingi zaidi.
Maoni yangu
Hawa watu ni watafutaji kama watafutaji wengine, wameacha familia zao wakienda kutafuta maisha katika kipindi hiki kigumu tunachopitia watanzania wengi,
Hivyo basi, ni vyema maliasili kuongozwa na utu wakati wa kufanya kazi zenu, silaha ya moto itumike pale penye ulazima tena baada ya kuchukua precautions kama sheria inavyotaka.
Wanajukwaa tupaze sauti ili haki intendeke kwa ndugu wa marehemu, uchunguzi katika hili ninmuhimu sana, maana mauaji yamekuwa yakichukuliwa kama kawaida na hawa wanaojiita watu wa maliasili.
Siku hizi serikali haichukui kabisa ushuru kwa wasafirishaji wa njia ya bodaboda.Hawa miamba ni wapambanaji sana, kuwe na njia rafiki ya kuchukua ushuru
So sadHawa jamaa siku hizi wanafanya kazi kwa hatari sana.
Na wao muda wote wanatembea kwa kujihami wakiwa na sime,majambia,mapanga na visu. Wakikutana na hao askari wa maliasili inakuwa vita, usichukulie poa.
Jamaa hawaogopi,akari anafyatua risasi wao wanarusha mapanga na mawe.
Watu wamechoka.
Mama nae hataki kusikia kuhusu mkaa
Mkuza ni Gereza la Mahabusu, sasa hapo kafungwa?Yule alofanya mauaji ya kwanza nasikia alifungwa yuko gereza la Mkuza.

Maskini mwenye sare amuua maskini asiye nayo...Wana jamvi habarini za wakati huu.
Jana majira ya saa sita usiku kuna mauaji yametokea yaliyosababishwa na watu wa maliasili.
Tukio hilo limetokea Mkoa wa Pwani, wilaya ya Kibaha (V), tarafa ya Ruvu, Kata ya Kwala, kijiji cha Kwala! ambapo watu wa kubeba mkaa maarufu kama booster wameuawa kwa kupigwa risasi na watu wa maliasili walipokuwa wakisafirisha mkaa majira ya usiku na kupita maeneo walipokuwa wameweka mtego maliasili.
Watu hao walipigwa risasi na mmoja wao akapoteza maisha hapo hapo, mwingine alifariki akiwa anapelekwa hospital leo saa sita mchana mara baada ya askari wa mlandizi kufika eneo la tukio, mtu huyo mmoja alishindwa kupata msaada wa kwanza kwa muda wa masaa zaidi ya 12 sababu kuu ikiwa ni zuio kutoka kwa watu wa maliasili huku akizidi kupoteza damu nyingi zaidi.
Maoni yangu
Hawa watu ni watafutaji kama watafutaji wengine, wameacha familia zao wakienda kutafuta maisha katika kipindi hiki kigumu tunachopitia watanzania wengi,
Hivyo basi, ni vyema maliasili kuongozwa na utu wakati wa kufanya kazi zenu, silaha ya moto itumike pale penye ulazima tena baada ya kuchukua precautions kama sheria inavyotaka.
Wanajukwaa tupaze sauti ili haki intendeke kwa ndugu wa marehemu, uchunguzi katika hili ninmuhimu sana, maana mauaji yamekuwa yakichukuliwa kama kawaida na hawa wanaojiita watu wa maliasili.
Mkuu, hakuna resistance hao jamaa walifanya ni upuuzi wa hizi pimbi za maliasiliHawa ni binadamu sio kuku au mbuzi ni binadamu kama Mimi , wewe na yule .....uhai wao ni wathamani kama Mimi , wewe na yule ......
Nimeumia sana sababu sidhani kama wao waliweza kujitetea kwa kutumia silaha za moto kama waliowatoa uhai.
najua waliotokea maisha ya ushuani hawawezi kuelewa sababu kila kitu walikua au wanakikuta mezani ila wapo wanaoelewa ugumu wa haya maisha mpaka inabidi wafanye hizo kazi familia iweze kula wanaelewa.
Binafsi nimeumia sana na Mwenyezi Mungu azisimamie familia zao zilizobakia maana watafutaji wameshatangulia mbele za haki.
Hujui kuwa magereza ya mahabusu wapo wafungwa? Nenda gereza lolote la mahabusu wapo wafungwa tena wakiume kwa wakike katika separate jailMkuza ni Gereza la Mahabusu, sasa hapo kafungwa?![]()