MAUAJI ARUSHA: Tamko la Rais Jakaya Kikwete

Kitu ambacho sielewi ni kuwa yanapotokea mabaya wanajaribu kutenganisha CCM na serikali; yakitokea mazuri ya serikali CCM hutamba kuwa ni "serikali ya CCM". Ndio maana sikumuelewa kabisa Vuai jana! Alikuwa anazungumza kana kwamba yaliyofanywa hayahusiani na Chama kilichoko madarakani.

Mkuu umenena!
 
Rais Kikwete leo ametoa tamko lake huku akisikitishwa na tukio la Arusha lililosababisha mauaji ya raia wawili na kuacha mali za mamilioni ya shilingi zikiharibiwa.

Kikwete ameonesha ukomavu mkubwa wa kisiasa tofauti na mtangulizi wake BWM ambaye hakuonesha kusikitishwa na mauaji ya Pemba yaliyopoteza maisha ya watu 27 zaidi ya kuendelea kuwalaumu viongozi wa CUF.

SOURCE: HABARI TBC1

Je baada ya kusikitishwa amechukua hatua gani ili isitokee tena?

Mara zote watu usema pasipo na haki hakuna amani, Je serikali imepata funzo hapa?

Nilidhani serikali na jeshi la polisi zilikuwa zimejifunza lolote kutoka katika mauaji ya pemba ya January 27 2001, lakini nilikuwa nakosea. Hili liwe funzo tosha kwa polisi na serikali kuwa hata watanzania wakinyimwa haki wanaweza kudiliki kusimama mbele ya askari anayefyatua risasi! Shame on every KILLER.
 
Wakubwa! Hayo ni machozi ya mamba tu!!!! Silaha pekee ya mnafiki ni machozi yake mwenyewe.
 
Meanwhile he is very happy that is ofshore company(DOWANs) gonna be paid half openly and another half in secret...sorry folks you have to dig deeper into ya empty pockets in darkness
.. and he is coming to Washington DC end of January or early February to make sure
 
Unaua halafu unasikitika!!!
Nahisi anasikitika kwa sababu idadi ya waliokufa ni ndogo kuliko alivyotarajia.
 
Hili Swala kutojirudia haliwezi kutimizwa kwa maneno matupu tu.
Hapa lazima watu wawajibike au wawajibishwe kwanza ili nawale wengine watakaopewa dhamana ya maamuzi mazito waone mifano halisi lasivyo itakuwa nikudanganyana tu huku Watanzania wenzetu wakiuawa.
Wanaotakiwa kuwajibika au kuwajibishwa hapa ni:Makamba coz alikataa Mazungumzo na Chadema,Said Mwema,Andeng'enye pamoja na Maaskari wote waliowapiga wananchi Risasi uwajibikaji sambamba nakufukuzwa kazi walizokuwa wanafanya uambatane nakufunguliwa Mashtaka wakajibu kwa pilato.

NAKUBALIANA NA WEWE,SERIKALI ya KIKWETE imewawajibisha CHADEMA kwa kuwapeleka mahakamani kujibu tuhuma za kuandamana bila kibali( hapo serikali imechukua hatua) Sasa Iwajibishe WAUAJI, IGP SAIDI MWEMA(mzee wa inteligensia), RPC ARUSHA AMDEMGENYE, OCD ARUSHA mjini, na ASKARI wanaoonekana bayana ktk picha wakitekeleza utesaji, unyanyasaji na UUAJI kwa raia wema wa ARUSHA MJINI, bila kumsahau mzanziberi SHAMSI VUAI NAHODHA.
MUUAJI NIA MUUAJI TU hata kama ni IGP, dhambi hii ya uuaji IGP MWEMA aikwepi, maana toka uchaguzi mkuu POLISI hawaruhusu mikutano na maandamano ya WAPINZANI eti wamepata inteligensia kuwa kutakuwa na uvunjifu wa amani. INTELIGENSIA HIZO UPATIKANA KWA MIKUTANO NA MAANDAMANO YA WAPINZANI TU? Pili POLISI ndio wasimamizi WAKUU uchakachuaji wa UMEYA ARUSHA maana wao waliweka ulinzi CHADEMA wasiingie hadi MEYA atangazwe, hivyo kuua ili MEYA aendelee kuwepo sio ajabu NDIO MAANA PAMOJA NA MAAFA YALIYOTOKEA ARUSHA GARBO WA ARUSHA MEYA LYIMO anasema hawezi kujiuzulu maana yeye ni mshindi halali. HANA AIBU WANANCHI HAWAMTAKI VIONGOZI WA DINI HAWAMTAMBUI, Binadamu wenzake wanauwawa kwa ajili yake YEYE JIBU LAKE NI RAHISI TU NIMESHINDA KIHALALI, HIVI MJINGA huyu anajua TOFAUTI YA HALALI NA HARAMU.

HALAFU kuna mtu anaitwa JK anasema kasikitika kwa mauaji ya RAIA tena anawaambia wahisani wake ili waendelee kumpa hisani, LAKINI MBELE YA WATANZANIA HAJATOA KAULI YOYOTE. HUYU ni muabudu WAHISANI ndio maana yupo radhi kutokwa machozi kwa kuwaomba radhi akibaini kunajambo linawaudhi ilimradi wasifute ufadhili kwake na wateule wake maana sisi watanzania hatuoni manufaa ya moja kwa moja ya wahisani hao.
 
Wahuni wakishindwa uchaguzi hufanya fujo ili kuipaka matope serikali. Hongera sana muheshimiwa rais kwa kazi nzuri uliyoifanya kuwaonyesha wahuni kwamba serikali ipo na haiwezi kuvumilia uhuni.

By the way, Slaa I give you respect on your uncanny ability to manipulate the twats, without forgetting your strategic choice of Arusha. Very calculative....

Tofauti ya MUNGU NA SHETANI ni bayana hata kwa mtoto mdogo, kama ilivyo tofauti ya MJINGA na MPUMBAVU mbele ya jamii. Uonapo mtu anapongeza kiongozi ambaye serikali yake imesimamia kikamilifu mauaji ya raia wake Ujue mtu huyo dhahiri ni mfuasi wa IBILISI SHETANI, pia ukimuana mtu anapongeza maovu yaliyofanywa na watendaji wa serikali ya rais ampendaye kisa tu waliouwawa ni wapinzani wa rais wake kipenzi mtu huyo si MJINGA, bali ni ................................ ALIYEKUBUHU.
 
JKK(1).jpg



""Tunatarajia matukio hayo yatakuwa ni ya mwisho kutokea," alisema Rais Kikwete bila kutoa ufafanuzi"".

source: mwananchi
 
Na damu ya waliokufa arusha iwe juu yako jk,kuna taarifa kuwa waliokufa wamefika 10,ni idadi kubwa sana kwa watu wasiokuwa na hatia
naungana na familia za marehemu mashujaa wa taifa hili,kuomboleza
 
JK ameshakunywa damu ya watanzania, amenogewa tutarajie mauji ya kutisha katika kipindi chake hiki kabla hajaikimbia nchi
 
....shame on them (CCM)!!! umeya tu!!! shame on you CCM blood suckers!!!

Shame on cdm.
Mmewaponza watu wasio na hatia na sasa mnataka kutumia misiba yao kisiasa.

Mkakati huu mnaoutumia wa kuponza watu wasio na hatia wafe ili mpate mileage za kisiasa ni wa kishetani.

Mmeshapata laana na kamwe hamtafanikiwa kama chama cha siasa.

Au ndio matambiko ya biashara zenu za mahoteli, madanguro, casinos na guest houses?

Mafanikio ya biashara si lazima uue mtu....one day you will pay for it.
 
Shame on cdm.
Mmewaponza watu wasio na hatia na sasa mnataka kutumia misiba yao kisiasa.

Mkakati huu mnaoutumia wa kuponza watu wasio na hatia wafe ili mpate mileage za kisiasa ni wa kishetani.

Mmeshapata laana na kamwe hamtafanikiwa kama chama cha siasa.

Au ndio matambiko ya biashara zenu za mahoteli, madanguro, casinos na guest houses?

Mafanikio ya biashara si lazima uue mtu....one day you will pay for it.


.... you must be a retard!
 
JKK(1).jpg



"Tunatarajia" matukio hayo yatakuwa ni ya mwisho kutokea," alisema Rais Kikwete bila kutoa ufafanuzi"".

source: mwananchi


Nani hajui kuwa MKWERE ni Msahaulifu?
Anaongea kwa mdomo lakini utekelezaji hakuna.
Ili kujua huyu JK ni msanii angalia alivyotoa kauli. Hata kufafanua inakuwa shida.
SHAME ON YOU JK! BLOOD SUCKER!!!
 
Shame on cdm.
Mmewaponza watu wasio na hatia na sasa mnataka kutumia misiba yao kisiasa.

Mkakati huu mnaoutumia wa kuponza watu wasio na hatia wafe ili mpate mileage za kisiasa ni wa kishetani.

Mmeshapata laana na kamwe hamtafanikiwa kama chama cha siasa.

Au ndio matambiko ya biashara zenu za mahoteli, madanguro, casinos na guest houses?

Mafanikio ya biashara si lazima uue mtu....one day you will pay for it.



Ukichelewa kwenda Muhimbili iko siku utajikuta uko MIREMBE! Nenda Hospitali unaumwa wewe!
 
Amen... Mungu awaangazie nuru ya uso wake, kwakuwa si sahii kwa wanyonge kutafuta haki zao basi kikwete atawajika juu ya damu yao siki ile ya hukumu.
 
Shame on cdm.
Mmewaponza watu wasio na hatia na sasa mnataka kutumia misiba yao kisiasa.

Mkakati huu mnaoutumia wa kuponza watu wasio na hatia wafe ili mpate mileage za kisiasa ni wa kishetani.

Mmeshapata laana na kamwe hamtafanikiwa kama chama cha siasa.

Au ndio matambiko ya biashara zenu za mahoteli, madanguro, casinos na guest houses?

Mafanikio ya biashara si lazima uue mtu....one day you will pay for it.

Hata Yesu alivyo kuja kuwakomboa watu walimbeza hivi hivi na mwisho wa siku akatundikwa msalabani
 
Nadhani huyu Mungi kachanganyikwa!! whom to blame CHadema OR CCM na KJ, IGP, RPC na askari wao???? are you in tanzania au kuzimu wewe shut your blood f**king mouse coz u dont know what you are talking about. CHADEMA and wananchi we will keep stand for our rights and against mafisadi
 
Back
Top Bottom